Israeli ya kwenye 'baibo' ni OG ila hii ya Netanyahu siyo.Waisraeli si wakrsito, na hadharani Wayahudi wanamkana Yesu Kristo kwamba hawamtambui wanamuona ni tapeli tu. Na hata mafundisho yake hawayafati. Agano jipya la biblia kwao hawalitambui. Na mafundisho yote ya yesu hawayatambui.
Je, ni kwanamna gani taifa lilokataa Ukiristo likawa taifa la Mungu, kwa mujibu wa Ukiristo?
Kwa nini Wakristo hatujaifata dini ya waisraeli kama tunamuabudu Mungu wa israel ?
Tofautisha kati ya kujibu na kuhubiri.Mbona nilishakujibu Hilo au hukuridhika?
Hahahaha hutaki kuamini kwasababu unataka kujua pole sana sababu huwezi kujua pasipo kuamini.Tofautisha kati ya kujibu na kuhubiri.
Maelezo unayotoa ni mahususi kwa mtu ambaye tayari anaamini ila kuna concept ndogo ambayo inamtatanisha hivyo anahitaji mahubiri kiasi ili kum shape.
Sasa mimi siamini na sitaki kuamini.
Sitaki kuamini kwasababu nataka kujua.
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Wewe ndio unasema unajua kiswahili?Hahahaha hutaki kuamini kwasababu unataka kujua pole sana sababu huwezi kujua pasipo kuamini.
Tofautisha kati ya kujibu na kuhubiri.
Maelezo unayotoa ni mahususi kwa mtu ambaye tayari anaamini ila kuna concept ndogo ambayo inamtatanisha hivyo anahitaji mahubiri kiasi ili kum shape.
Sasa mimi siamini na sitaki kuamini.
Sitaki kuamini kwasababu nataka kujua.
Unaweza kuthibitisha Mungu yup
Yes, misingi ya ujuzi inapatikana kwenye imani lakini pia fact.Wewe ndio unasema unajua kiswahili?
Kwa mujibu wa ufahamu wako unaona misingi ya ujuzi inapatikana kwenye imani au kwenye fact ambazo zimekuwa observed?
Vp umesepa!Wewe ndio unasema unajua kiswahili?
Kwa mujibu wa ufahamu wako unaona misingi ya ujuzi inapatikana kwenye imani au kwenye fact ambazo zimekuwa observed?
Hawa jamaa hawakubali ukinakili kwenye Bible coz hawaiamini, wao wanataka Mungu aonekane laivu awaambie wamwabudu. Wanadai biblia imeandikwa na watu. Wao wanataka Mungu aonekane kwanjia wanayoitaka wao na sio anayoitaka Mungu mwenyewe. Wanasahau kwamba hakuna mahali unaweza kumpata zaidi ya kwenye imani. Anaishi humo, ilimpendeza kuishi humo. Labda watueleze wao walitaka ajidhihirishe kwa mwanadamu kupitia njia ipi?Ni kutokusoma vizuri kitabu au aliyoyasema Yesu na kujua kusudi ni lipi?
Maana Yesu mwenyewe walipomkataa aliwaambia ufalme utahama kwenda taifa lingine litakalo mzalia muumba matunda.
Mathayo 21:43
Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.
Ukianzia mstari wa 33 Yesu anawatolea mfano kuwaonyesha kila nabii aliyetumwa kwao walikuwa wanamkataa.
Wewe ni muislamu pyure kabisa kinachokusumbua ni kukosa kujiamini.Ungeandika tu andiko lako straight pasipo kufekiWaisraeli si wakrsito, na hadharani Wayahudi wanamkana Yesu Kristo kwamba hawamtambui wanamuona ni tapeli tu. Na hata mafundisho yake hawayafati. Agano jipya la biblia kwao hawalitambui. Na mafundisho yote ya yesu hawayatambui.
Je, ni kwanamna gani taifa lilokataa Ukiristo likawa taifa la Mungu, kwa mujibu wa Ukiristo?
Kwa nini Wakristo hatujaifata dini ya waisraeli kama tunamuabudu Mungu wa israel ?
Sasa mbona hakuna kanisa lililoanzishwa Israel?Waisraeli walikuwepo tangu wakati wa Yesu, na wapo waliomwamini na kumfuata. Aidha, uwepo wa taifa la Israeli haukuanzia 1948!
Sasa mbona hakuna kanisa lililoanzishwa Israel?
-anglican
-roman catholic
Simple logic ni kwamba, wale viongozi waliobaki baada ya yesu kufa walikuwa ni binadam kama wewe, wenye uoga na kuogopa kufa au kuuawa kama kiongozi wao yesu alivyouawa, hivyo isingekuwa rahisi kujenga kanisa maana wangeuawa kabla ya kufanikisha mpango wa ujenzi. Lakini yesu alitembea nchi mbalimbali kutangaza injili hivyo wale wanafunzi walienda kwenye mataifa kuitangaza injili na kujenga makanisa. Kwanini Israel ya sasa kwa asilimia kubwa sio wakristo!?? Jibu ni kwamba kabla ya yesu kuja wayahudi walikuwa na mahekalu Yao na walikuwa wanamuabudu mungu na mafundisho Yao waliyoyaamini, yesu akaja akafundisha wakakataa mafundisho na kumuua, nao wanafunzi wakatawanyika kuhubiri sehem nyingine kuhofia kuuawa hivyo kwa asilimia kubwa tamaduni zao na njia za kumuabudu mungu zilibaki vilevile.
Unasoma Biblia ndugu yangu Muislamu? Soma Biblia ina majibu yote. Zamani nami nlikiwa mjinga kama wewe. Nikaja elewa. Sasa sina tena ujinga.Waisraeli si wakrsito, na hadharani Wayahudi wanamkana Yesu Kristo kwamba hawamtambui wanamuona ni tapeli tu. Na hata mafundisho yake hawayafati. Agano jipya la biblia kwao hawalitambui. Na mafundisho yote ya yesu hawayatambui.
Je, ni kwanamna gani taifa lilokataa Ukiristo likawa taifa la Mungu, kwa mujibu wa Ukiristo?
Kwa nini Wakristo hatujaifata dini ya waisraeli kama tunamuabudu Mungu wa israel ?
Hivyo ndivyo Biblia ndivyo inavyosema sio Wakristo kama unavyodai. Wayahudi kutomuamini Yesu ni kutimiza walichoaminishwa na wakuu wa dini ya Kiyahudi. Mathayo 28Waisraeli si wakrsito, na hadharani Wayahudi wanamkana Yesu Kristo kwamba hawamtambui wanamuona ni tapeli tu. Na hata mafundisho yake hawayafati. Agano jipya la biblia kwao hawalitambui. Na mafundisho yote ya yesu hawayatambui.
Je, ni kwanamna gani taifa lilokataa Ukiristo likawa taifa la Mungu, kwa mujibu wa Ukiristo?
Kwa nini Wakristo hatujaifata dini ya waisraeli kama tunamuabudu Mungu wa israel ?
Rulr number one kuna mungu wa kweli dini ya kweli na biblia ya kweli sema mzungu aliingilia kat na kuficha ficha baadh ya vifungu na kue dit kwa lengo la kuutawala ulimwengu din imetumika kama kigezo cha utawala ndio maana mpala leo wameficha kua hawa ni mwanamke wa pil baada ya lilith yaan adam na hawa waliumbwa pamoja na vitu vingine ving sanaaa kama shetan na mungu baada ya uasi waliwai kukutana na kupiga story mpaka shetan akampa ushaur mungu wa ayubu apokemywe mali zake zote na mungu akakubal ushaur wa shetan hiyvo kuna vingi vimefichwa kwa maslai ya wachacheWaisraeli si wakrsito, na hadharani Wayahudi wanamkana Yesu Kristo kwamba hawamtambui wanamuona ni tapeli tu. Na hata mafundisho yake hawayafati. Agano jipya la biblia kwao hawalitambui. Na mafundisho yote ya yesu hawayatambui.
Je, ni kwanamna gani taifa lilokataa Ukiristo likawa taifa la Mungu, kwa mujibu wa Ukiristo?
Kwa nini Wakristo hatujaifata dini ya waisraeli kama tunamuabudu Mungu wa israel ?
Kwa sababu hatutafsiri maandiko kwa namna sahihi, bali tunatafsiri literally. Sidhani kama kilichoandikwa kwenye Biblia kina uhusiano wowote na taifa la Israeli lililo chini ya Netanyau. Kufanana kwa majina hakuna maana ya kufanana kwa maana. Mfano, kwenye Biblia kuna neno limeandikwa "mana" (chakula Wana wa Israeli walichopata kutoka mbinguni wakiwa jangwani). Kwenye kabila letu kuna neno "mana" pia lenye maana ya sehemu za siri za mwanamke. Kwa hiyo, mtu wa kabila langu akisoma neno "mana" kwenye Biblia na kutafsiri kuwa ni "sehemu za siri za mwanamke" ni sawa na sisi tunaosoma "Israeli taifa takatifu la Mungu" na kuona taifa hilo ni taifa linaloongozwa na Waziri Mkuu Netanyau.Waisraeli si wakrsito, na hadharani Wayahudi wanamkana Yesu Kristo kwamba hawamtambui wanamuona ni tapeli tu. Na hata mafundisho yake hawayafati. Agano jipya la biblia kwao hawalitambui. Na mafundisho yote ya yesu hawayatambui.
Je, ni kwanamna gani taifa lilokataa Ukiristo likawa taifa la Mungu, kwa mujibu wa Ukiristo?
Kwa nini Wakristo hatujaifata dini ya waisraeli kama tunamuabudu Mungu wa israel ?
Brain washed educationWaisraeli si wakrsito, na hadharani Wayahudi wanamkana Yesu Kristo kwamba hawamtambui wanamuona ni tapeli tu. Na hata mafundisho yake hawayafati. Agano jipya la biblia kwao hawalitambui. Na mafundisho yote ya yesu hawayatambui.
Je, ni kwanamna gani taifa lilokataa Ukiristo likawa taifa la Mungu, kwa mujibu wa Ukiristo?
Kwa nini Wakristo hatujaifata dini ya waisraeli kama tunamuabudu Mungu wa israel ?
Waisraeli si wakrsito, na hadharani Wayahudi wanamkana Yesu Kristo kwamba hawamtambui wanamuona ni tapeli tu. Na hata mafundisho yake hawayafati. Agano jipya la biblia kwao hawalitambui. Na mafundisho yote ya yesu hawayatambui.
Je, ni kwanamna gani taifa lilokataa Ukiristo likawa taifa la Mungu, kwa mujibu wa Ukiristo?
Kwa nini Wakristo hatujaifata dini ya waisraeli kama tunamuabudu Mungu wa israel ?