Haujatembea bado. Kuna kabila linaishi ndani ya serengeti. Hili liko ndani baada ya gate ukitokea Nyamuswa na Nata kupitia gate hilo. Nasikia walitakuwa wahamishwe na Rais wetu wa kwanza wakasema mungu wao hawawezi kumhamisha KWA VILE HAVUKI MTO. Na wanaendelea kuishi. Nikiikumbuka jina la kabila nitalitoa.