Kwanini walimu hawajitambui! Kimshahara kiduchu lakini bado anasema CCM mbele kwa mbele?

Kwanini walimu hawajitambui! Kimshahara kiduchu lakini bado anasema CCM mbele kwa mbele?

Na wewe je? Kwa nini usitoke kwenye hiyo cobweb inayokufukarisha
Hapa JF tunatumia fake IDs kwa hiyo hakuna anayejua nani ni nani na anafanya nini. Cha muhimu tusidharauliane. Kuwadharau waalimu haiwezi kukusaidia lolote maishani.
 
Hapa JF tunatumia fake IDs kwa hiyo hakuna anayejua nani ni nani na anafanya nini. Cha muhimu tusidharauliane. Kuwadharau waalimu haiwezi kukusaidia lolote maishani.
Hatuwadharau tunataka watoke kwenye dimbwi hilo la maskini. Umaskinaia wao unasababishwa na wao wenyewe
 
Hakuna kada inayodharaulika kama ya ualimu, polisi na jwtz. Hawa wote wapo kwa ajiri ya kuiweka ccm madarakani kwa njia yoyote.

Hebu imagine mwezi mzima mwalimu au askari anapata mil 1 ambbayo mi natumia wiki moja tu imeisha lakini yeye mwezi mzima na humwambii kitu kuhusu ccm.

Wana mastress kibao lakini huwaambii kitu kabisa kuhusu ccm
CCM mbele kwa mbele ni wimbo wa kuhamasisha wananchi kujitegemea na kufanya kazi kwa uaminifu na kwa bidii zaidi na sio kuongezewa mishahara,

so,
acha upotoshaji na dhana potofu gentleman :pulpTRAVOLTA:
 
CCM mbele kwa mbele ni wimbo wa kuhamasisha wananchi kujitegemea na kufanya kazi kwa uaminifu na kwa bidii zaidi na sio kuongezewa mishahara,

so,
acha upotoshaji na dhana potofu gentleman :pulpTRAVOLTA:
Get ccm out for better future of your kids
 
Ndo mana ya "no reforms no election" ili ccm ipumuzishwe kiwekwe chama kipya chenye mawazo mapya. Mawazo ya ccm ni outdated.
Chama kipya hakitoshi kuleta mabadiliko kama Dola inayoshikwa Ina mitazamo Ile ile!!

Watu wanafikiri matatizo meengi ni ccm imeleta wanasahau kwamba chama hiki kimeanza mwaka 1977, wakati jamuhuri ilianza 1964 na bado matatizo yalikuwepo ya rushwa,kujuana etc japo hayakua Kwa kiwango kama hiki lakini Bado matatizo hayo hayo yapo kwenye vyama vyote nchini!!
 
Chama kipya hakitoshi kuleta mabadiliko kama Dola inayoshikwa Ina mitazamo Ile ile!!

Watu wanafikiri matatizo meengi ni ccm imeleta wanasahau kwamba chama hiki kimeanza mwaka 1977, wakati jamuhuri ilianza 1964 na bado matatizo yalikuwepo ya rushwa,kujuana etc japo hayakua Kwa kiwango kama hiki lakini Bado matatizo hayo hayo yapo kwenye vyama vyote nchini!!
Chama kinaweza kupiga chni dola hiyo na kuanzisha dola nyingine
 
Walimu na baadhi ya taasisi ulizozitaja hapo juu wengi wamebweteshwa na vizawadi vya danganya toto vinavyotolewa na wanasiasa kuonyesha kuwa wanaona umuhimu wa kundi hilo na kulijali.
Walimu wengi wamebuni miradi ya kujikimu kupitia fursa za mikopo zinazowaandama. Hawa hawawezi kuzungumza chochote madhari kinywani kuna vyakula wanatafuna. Wapiga kelele ni wale walioachwa pembezoni.

Juzi tu nikiwa mkoa fulani, nilipata kukutana na maafisa usafirishaji wawili, waliojinunulia vyombo vya usafiri ili kujiingizia kipato mwishoni mwa wiki mbali na shughuli zao rasmi za kufundisha.
 
vijana jihadharini na epukeni kutapeliwa na vibaka wa siasa Tanzania :pulpTRAVOLTA:
Haiwezekani mpaka leo mwalimu mwenye degree analipwa laki na nusu na wengine wanajitolea. Huu ni utumwa unaoasisiwa na ccm
 
Hakuna kada inayodharaulika kama ya ualimu, polisi na jwtz. Hawa wote wapo kwa ajiri ya kuiweka ccm madarakani kwa njia yoyote.

Hebu imagine mwezi mzima mwalimu au askari anapata mil 1 ambbayo mi natumia wiki moja tu imeisha lakini yeye mwezi mzima na humwambii kitu kuhusu ccm.

Wana mastress kibao lakini huwaambii kitu kabisa kuhusu ccm
Upo kwa dada yako unasubiri amkatie mauno shemeji yako ili na wewe upate jero ya kubetia ,halafu hapa unajifanya unatumia 1mil kwa siku, utoto wako pelekea watoto wenzio
 
WALIMU wameanzisha magroup ya whasap yanaitwa WALIMU MAKADA WA CCM yapo kiwilaya mpaka taifa Yani nipo huko kimya kimya naangalia upuuzi wao Yani wanatia kinyaa wengi kama sio wote ni ili wapate vyeo.
 
Haiwezekani mpaka leo mwalimu mwenye degree analipwa laki na nusu na wengine wanajitolea. Huu ni utumwa unaoasisiwa na ccm
ualimu ni wito na sio mshahara gentleman,

degree yako ikusaidie kuwekeza zaidi kwenye kilimo, biashara au ufugaji na itapendeza zaidi, ukiwa unafundisha pia wananchi ufugaji na kilimo cha kisasa kwa vitendo

hakuna mshahara wa kumtosheleza mtu gentleman :pulpTRAVOLTA:
 
Bongo ni nchi inayo ongoza kwa uchawa na kujipendekeza na hapo ndo shida inapoanzia
 
Hakuna kada inayodharaulika kama ya ualimu, polisi na jwtz. Hawa wote wapo kwa ajiri ya kuiweka ccm madarakani kwa njia yoyote.

Hebu imagine mwezi mzima mwalimu au askari anapata mil 1 ambbayo mi natumia wiki moja tu imeisha lakini yeye mwezi mzima na humwambii kitu kuhusu ccm.

Wana mastress kibao lakini huwaambii kitu kabisa kuhusu ccm
Wengine wameunda chama chao kinaitiwa NETO! Madai yao sasa eti hawajaariwa kuanzia 2015!
Wangapi wamesoma lakini hawana ajira za serikalini? Kwani hawaishi?
 
Vipi na kuhusu wale ndugu zako wa kijijini wanaopewa tshirts, kofia, vitenge, chumvi, pilau, nk. Wanajitambua?

Polisi wetu kila siku wanatumiwa na hao ccm kupiga raia wanaotaka kuandamana kudai haki zao! Je, na wenyewe wana mishahara mikubwa?
Katiba mpya, katiba mpya!
 
Back
Top Bottom