nicholasmari
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 630
- 583
Mwalimu ndiyo chanzo cha maarifa nani wa kumdharau labda we mwanaharamu uliyelaaniwaHakuna kada inayodharaulika kama ya ualimu, polisi na jwtz. Hawa wote wapo kwa ajiri ya kuiweka ccm madarakani kwa njia yoyote.
Hebu imagine mwezi mzima mwalimu au askari anapata mil 1 ambbayo mi natumia wiki moja tu imeisha lakini yeye mwezi mzima na humwambii kitu kuhusu CCM.
Wana mastress kibao lakini huwaambii kitu kabisa kuhusu CCM