Kwanini walimu hawajitambui! Kimshahara kiduchu lakini bado anasema CCM mbele kwa mbele?

Kwa akili hizi mkiambiwa ccm itatawala miaka 30000 ijayo mnakasirika lakini huo ndo ukweli. Wapumbavu watakuchekea kweli hapa na watakuja mbio mbio kukuunga mkono katika kuwatusi hao mlioamua kuwatusi. Lakini nakuapia, kwa mwenye akili, hizi hoja zenu za kuwatukana walimu zinawaharibia zaidi kuliko kuwajenga.......hamjijui na hamjui tu.
 
Hatuwatukani. Tunawaonea huruma. Elimu zao haziwasadii. Utapataje mshahara w laki moja na nusu halafu unajiita umesoma
 
Hatuwatukani. Tunawaonea huruma. Elimu zao haziwasadii. Utapataje mshahara w laki moja na nusu halafu unajiita umesoma
Basi waongwzeeni sehemu % flani ya ruzuki yenu ya chadema.....nasikia km 200m na zaidi.
 
Miaka ya nyuma hiyo kada ilikuwa ni zao la division four, unategemea nini yaaani
Mkuu wala devision 4 haihusiani na u zero brain , kwani hakuna maprofesa vilaza wanaokimbilia siasa badala ya fani zao? Tena wengine ni machawa kabisa ?
 
Tusubiri NETO labda watalianzisha kuelekea uchaguzi
 
Kwenye maisha haya hata walipwe hela nyingu maana yake kuna watu wengine watakuwa chini yao na wao watalalamika.
Hatuwezi kuwa matajiri wote na hatuwezi kuwa masikini wote. Yule anaye ona haimufau ache akafanye mambo mengine yenye manufaa zaidi kwake.
It supply and demand rule.
 
Toa ccm madarani. Weka wanaowajali
 
Vipi na kuhusu wale ndugu zako wa kijijini wanaopewa tshirts, kofia, vitenge, chumvi, pilau, nk. Wanajitambua?

Polisi wetu kila siku wanatumiwa na hao ccm kupiga raia wanaotaka kuandamana kudai haki zao! Je, na wenyewe wana mishahara mikubwa?
Usimjibu lolote,anasema anatumia milioni Moja kwa wiki,wakati kulala hotel room Moja pale Deeper lodge ni laki tano kwa siku moja
 
Ccm inatumia walimu kwa sababu wako chini ya mwajili (mkurugenzi) hivyo maelekezo yoyote anayo yatoa lamima wafanye goma uone (kuhamishwa,kunyimwa fursa za visemina na nk vyote wanakubania ) ikumbukwe mkurugenz ni msimamizi wa uchaguz ngaz ya jimbo
 
Nimekumbuka mwaka Juzi nilikuwa wilaya ya nyasa (Ruvuma) Kuna Kijiji wanaita mpepo

Bhasi bhana tumepita kama saa 4 Asubuh kwenda huko mpepo, tukakuta walimu na wanafunzi wengi wamejipanga barabarani hata hatukujua what's going on

Eeeh tumerud kama saa4 usiku tukapita Ile road eh bhana uwez amini wale watoto na walim wao wapo
Barabarani palepale tulishangaa kunani watoto had mda huu
Kumbe aisee Kuna mbunge wa hilo Jimbo alikuwa anapita inabidi wampokee kwahyo ziara yake aliwahidi angelipita na hapo na kweli msafara wake tulikutana nae

Kwahyo walikaa walimu na wanafunzi mda wote huo kusuburi huo msafara

Kuna baridi hizo sehem watoto waliteseka Sana ule usiku hili tukio siwezi sahau katika maisha yangu, na sijui huyo mbunge alipita mda gani
 
walimu wamekaa kama nyumbu fulani hizi amazing
Nenda katika ghorofa Moja la kati kaliakoo DSM,au Makoroboi mwanza waangalie kwa umakini watanzania wanavyopita,alafu nenda wall street new york au Toronto,utajua ni jinsia gani watanzania tunatia huruma,hakuna kitu ni vijora na Jerseys za sundland,hivi mnawaza nini?
 
Basi Kuna mpumbavu mmoja humu jf ataamini upumbavu huu kutoka kwa tozi Moja pumbavu lililojichokea zake mbaya hivi lakini linajifananisha
 
We waache, umaskini utakuwa mbele kwa mbele kwenye maisha yao.
 
Wamechanjiwa damu ya chawa na uchawa.
 
Sasa si bora hta hao walimu kuna chochote wanapata huku mtaani pmj na hii njaa lkn hutuambii kitu kuhusu Ccm #mamamitanotena
 
We unajitambua? We ht mshahara mdogo hauna unawaonea gere bloodfaken. Na km we siyo shoga unaelekea huko, pilipili usisozila za kuwashia nini we bwege.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…