Kwanini walimu hawajitambui! Kimshahara kiduchu lakini bado anasema CCM mbele kwa mbele?

Mwalimu ndiyo chanzo cha maarifa nani wa kumdharau labda we mwanaharamu uliyelaaniwa
 
Wamelogwa na mwenge
 
Kazi ya ualimu ina laana ya kiuchumi
 
Hatari sn
 
Wakati tunaambiwa waalimu hawajitambui, hatujawahi kuambiwa kada inayojitambua ni ipi, ili zilinganishwe, Kama jeshi linaimba pambio za kusifu chama, hiyo kada ya wababe ni ipi, au chuki tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…