Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Dah!..hatari sanaZinakua na kufanya kazi kama hizo hapo chini
View attachment 2547838
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!..hatari sanaZinakua na kufanya kazi kama hizo hapo chini
View attachment 2547838
Tatizo wanataka waonekane wanajua nimeangalia dogo alivyocomment nikajiuliza kama jambo huna uhakika nalo kwann uje?Yaani brother kuna watu wajinga halafu badala ya kusubiria wajuvi wanavamia kulisha watu matangopori.
Ndiyo vijana wa hovyo tulio nao.
Brother hizo sample ndiyo zinawakilisha kundi kubwa hapa Tanzania, kuna watu wachache sana ambao hukubali kuacha kutoa maoni juu ya mambo wasiyoyajua, wengi huongea pumba bila kutafakari.Tatizo wanataka waonekane wanajua nimeangalia dogo alivyocomment nikajiuliza kama jambo huna uhakika nalo kwann uje?
si upitie hata google kwanza ili hata ukija kutoa challenge basi inakua kwa manufaa ya kujua na sio kuonyesha ushamba. Mfano hilo begi jpm mwenyewe alishaliongelea japo kimitego ila kama unajua kuunga dot unamuelewa vizuri.
Imagine mtu anasema lile linabeba chaji ya moyo wake hivi kama iPod zinakaa na chaji mpka masaa nane na zaidi walishindwa kumuwekea betrii zitakazo sukuma kwa muda mrefu? Mbali na hapo kutembea na bag inamaana hiyo betrii inaisha chaji ndani ya masaa mangapi au walishindwa kuchaji akiwa kwenye gari au sehemu kapumzika. Mengine ni ushamba wetu na kutotaka kujua mambo.
Sikupingi kabisa ila watabadilika ni swala la muda tuBrother hizo sample ndiyo zinawakilisha kundi kubwa hapa Tanzania, kuna watu wachache sana ambao hukubali kuacha kutoa maoni juu ya mambo wasiyoyajua, wengi huongea pumba bila kutafakari.
Najifunza [emoji1614][emoji1614][emoji1614]Hapa ni mfano kiongozi anatolewa kwenye mashambulizi
View attachment 2547840
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jf ni shule tosha.
Ngoja wenye degree wakienda VETA wengine tubakie hapa tutajifunza mengi. VETA siendi
Na Uzi ufungweZinakua na kufanya kazi kama hizo hapo chini
View attachment 2547838
Maushungi ana manyonyo makubwa hawezi kuvaa bullet proof haimtoshiHizo sio begi za fasion ni bullet proof bag, inakua special kukinga risasi kwa dharura huku utaratibu wa kumuondoa kiongozi unafanyika kama kuna mashambulizi
we jamaa kichwani mweupe kama mvi za lowasa,halafu unaish 'ndichi' sana.Alovera bro bullet proof bags zibebwe mkononi? Kimantiki haiwezi kuwa bro maana sidhani kama mtu mwenye nia ya kumuua rais ata target begi
Thank you sirwe jamaa kichwani mweupe kama mvi za lowasa,halafu unaish 'ndichi' sana.
Usiwe unajifanya kujua kila jambo, ujuaji ni hasara.Thank you sir
Hajui huyo mfano mdogo kuna miamba ipo SF yetu ukiiona ina kitambi ila tizi zinazopiga na kazi zinazofanya ni balaa.Waone ivyo ivyo,ila mazoezi wanayofanyaga kila siku asa wanao kaa kwenye apartment zao,usidhani ivyo vitambi wapo legelege.
Hiyo ni First Aid Kit
Labda ni PC ya raisNaombeni mnijuze wakuuView attachment 2547505
Jimbo ganiJamaa kwasasa ni Mbunge
Mhmhmh
Mbunge wa wapi? Umemfananisha.
Jimbo gani
Ni yeyeMhmhmh
Mbunge wa wapi? Umemfananisha.
Hii haikubaliki. Moderators hili nalo liangalieniMaushungi ana manyonyo makubwa hawezi kuvaa bullet proof haimtoshi