Mhmhmh
Mbunge wa wapi? Umemfananisha.
Yes ni mbunge wa nkasi, rukwa huko kwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhmhmh
Mbunge wa wapi? Umemfananisha.
Na imani kila mmoja ameelimika.View attachment 2547842
Zile ni muundo huo hapo bulletproof briefcase
Mama hana Maadui wengi kwa Mfumo wa utawala wake kiasi cha kumfanya ahofie kuhusu usalama wake kwa kiwango hicho.Mimi nilidhani wanabebea hela maana mzee alikua anagawa sana hela
Ila sasa swali lamleta mada bado lipo palepale kwanini walinzi wa mama hawatembei na hizo nyenzo? Wajuaji majibu tafadhali
Jicho ni kama linaongea "yure lazima nimuuwe"Naombeni mnijuze wakuuView attachment 2547505
Bila kusahau lile gari lenye nondo juu ( jammer car )Mama hana Maadui wengi kwa Mfumo wa utawala wake kiasi cha kumfanya ahofie kuhusu usalama wake kwa kiwango hicho.
Tofauti na Mtangulizi wake aliumiza watu wengi sana so alilazimika kuwa na ulinzi kila mahali na wa aina tofauti, wakati mwingine anapita na gari lakini kuna ndege inafuatilia msafara huko angani. Hii ni kutokana na mfumo wa maadui aliokuwa amewatengeneza.
we jamaa ni mshamba sana, nimeandika mara mbili nafuta.Alovera bro bullet proof bags zibebwe mkononi? Kimantiki haiwezi kuwa bro maana sidhani kama mtu mwenye nia ya kumuua rais ata target begi
Akili tope.We mshamba kweli! Hivyo vibegi si mapambo wala vibebeo ni bullet proof kwa ajili ya ulinzi.
Unaposema Samia hana hela za kugawa bure una maana gani?
Hizo 5,000,000/= kwa kila goli za walipa kodi anazonunua magoli ya Simba na Yanga aliziahidi na anazitoa nani?
Asantewe jamaa ni mshamba sana, nimeandika mara mbili nafuta.
Unadhani kama kuna snipers wazuri zinaweza kumsaidia wakati kichwa kiko wazi? Nauliza lakini.Hizo sio begi za fasion ni bullet proof bag, inakua special kukinga risasi kwa dharura huku utaratibu wa kumuondoa kiongozi unafanyika kama kuna mashambulizi
No one want him dead, if there is,
a lot of loophole aliziachia.
Sniper wangemuhitaji huo msululu wa walinzi usingesaidia kitu. zilikuwa drama tu.
Umenielewa najuaNo one want him dead, hapo unamaanisha nini mkuu
Acha Tu!! Ila Mzilankende Apumzike Mabeberu Hayatupendi Na Vita Ya Uchumi Ni Mbaya Ndugu ZanguKwa ulinzi wa yule bwana! Huwezi amini kama angetema ndoano!
Kwahiyo?Rais alikuwa mgonjwa
JF Inatoa Diploma, Degree, Masters, PhDJf ni shule tosha.
Ngoja wenye degree wakienda VETA wengine tubakie hapa tutajifunza mengi. VETA siendi