Kwanini walioshangilia kujeruhiwa kwa Tundu Lissu hawakukamatwa?

Kisasi cha mnyonge hulipwa na Mungu.

Ukipata madaraka, utambue kuwa huo ni wajibu tu, wala madaraka hayabadilishi ubinadamu wako. Wewe bado ni binadamu.
 

Unaweza kutuwekea ushahidi wa hizo shangwe?
 
Kwenda zako kwani lissu alikua rais? Upumbavu wake wa kujibizana na kukejeli mamlaka ya rais hadi akawaaminisha maamuma wafuasi wake yeye ni sawa na rais [emoji23][emoji23]
Kwa mujibu wa katiba yetu, kila MTU ana haki ya KUISHI bila Kujali Ni Kiongozi Ama ni Raia Wa kawaida.
 

Aisee inafanyanywa nini? kama nini?
 
Ukiangalia kwa makini wanaoshangilia ni kama tone la maji baharini . Mafisadi na wapiga madili , wasio wazalendo . Mzalendo mwenye akili TIMAMU hawezi kushangilia . Walioshangilia watakutana na MAMA ambae ameahidi kuendeleza alipoachia JPM ,nawashauri wahame nchi .

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza sio uungwana wala ubinadamu kushangilia kifo ama mateso ya mtu mwingine no matter what.

Pili kuna mzungu mmoja aliwahi kutudhihaki kuwa huku Afrika

"all animals are equal, but some are more equal"
Acha kubagua wa wazi mbona yeye alishangilia Mo kutekwa,?? hakutoa kauli za uchungu!!
Watu waishi km mashetani hivi hii ni haki kweli?tundu lisu ilikuwa amuue!!

Anzoli gwanda ana watoto ebu fikiria. Yule hata wewe ukimkalia vibaya hajali kuwa eti unampenda
Kuna mengi alikuwa anashangilia km Rais nimekupa kwa kifupi tu!!

Kumbuka mla kuku wa mwenziwe miguu humuelekea
 
U
Unataka ushahidi gani wakati clips za akina Cyprian Musiba zimejaa mitandaoni?
sijamuona huyu msiba kwenye huu msiba mzito. Tangu Dsm ina maana kala kona nini...
 
Kwanza sio uungwana wala ubinadamu kushangilia kifo ama mateso ya mtu mwingine no matter what.

Pili kuna mzungu mmoja aliwahi kutudhihaki kuwa huku Afrika

"all animals are equal, but some are more equal"
Mkuu sentence ya mwisho umetupiga kamba, hiyo sentence ipo kwenye kitabu cha "The animal Farm " hiki kitabu kiliandikwa na mwandishi wa Kiingereza (I stand to be corrected) na wala hakikuwalenga waafrika.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Tena bila kujali!! wala chembe ya Huruma kuwa Lisu ana watoto mke na msomi.shindilia binadamu mwenzio km una ua nyoka!!!??? Aaaahh! Hapana.

vitoto vinasoma, vinakula.vinalia baba!!! Baba!!kuna nini!!
Jamani ebu mfikilie hili nalo.kisa mtu unataka madaraka??,
je sasa unayo? kwa Mungu utajibu nini??
Mbaya zaidi hukupata nafasi ya kutubu!!
 
Wewe ni zero brain sana,wapiga deal awamu ya JPM ndio walizidi sana. JPM alichofanya ni kuwaondoa wapiga dili wa Kikwete na kuweka wapiga deal wake, Makonda amekuwa bilionea kipindi cha Magufuli.
Tena amekuwa bilionea ndani ya kipindi cha miaka 3, mshahara wake ni around MIL 5, huyu anapaswa aandaliwe utaratibu afikishwe mahakama za mafisadi atuambie alipopata utajiri wa usiku mmoja

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…