Kwanini walioshangilia kujeruhiwa kwa Tundu Lissu hawakukamatwa?

so far mpaka sasa magufuli ndo rais mbovu kuwahi kutokea Tanzania.chadema walivyotaka kumuombea tundu lissu polisi waliwapiga na kuchukua mashine zao za kuprint t shirt.ameligawanyisha sana taifa yule mzee.alipomgiga risasi tundu lissu ccm wakawa wanachekelea na kumwita tundu lissu mabaga fresh.je chadema wakimwita magufuli mzoga uliooza watakuwa wanakosea?
 
Pia Biblia inasema mshahara wa dhambi ni mauti.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Daaa! Kukariri shida sana mara nyingi hawanaga akili.
Sasa huo msemo uko kwenye kitabu hicho tuuu!!
Misemo unaweza tumia popote na ukaisoma popote.kakitabu kako kamoja hako ndo unakuja kutukoga hapa.!!! Eeen!!
watu wenye akili fupi sana ni pamoja na wewe.mnawazaga nini
 
Mama ni mkali na hataki ujinga, ila hana viashiria vya kutumia magenge ya kihalifu kupambana na raia, waswahili wana werevu na staha za kudeal na maadui zao, jifunze kutoka kwa JK.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Huu ni msemo maarufu katika hicho kitabu, sasa tuambie jina la huyo mzungu na ni wapi alizungumza hiyo kauli, ujinga na kubishana na vitu vilivyo dhahiri, ulifikiri unawadanganya watoto wa chekechea??

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Bahati mbaya uneandika mambo ya Kikristu kwa mtu ambaye hakuwa Mkristu. Ukristu ni kumkubali Bwana yetu Yesu Kristu na kumuishi kimatendo.

Magufuli hakuwa Mkristu kwa vitendo vyake bali alitumia jukwaa la Kikristu kujijenga kisiasa. Angekuwa Mkristu asingefanya vitendo vya KIFEDHULI ambavyo tumeviona kwenye Utawala wake Kama Wizi, uuaji, utekaji, chuki, kubambikiza kesi watu na uwongo.

HASIRA ya Mungu imemteremkia hasa baada ya kuiba uchaguzi wa 2020 na kutaka awe Rais wa maisha. Yule ni wa Shetani tu
 
Mambo ya mabaga fresh na mzoga si mazuri
 
Kwa sababu aliyetakiwa kutoa amri ya kuwakamata ndio aliyetoa amri ya Tundu Lissu kupigwa risasi
 

Jidanganye wewe mamlaka zote za wanadamu hutoka kwa Mungu. Ndio maana nikasema Mfalme Solomoni alijenga madhabahu kwa wake zake wa amini mabaal. Mungu huangalia mwisho wa mtu wake. Tumeshuhudiwa mwisho wa Mh JPM ulikuwa vipi.
 
Sina uhakika kama unaelewa ni mauti yapi yanayo zungumziwa na hii Biblia?
Msaidie Lissu apate hekima ya kwa nini mpaka leo anaishi? Haja alewa kusudi la Neema ya Mungu juu yake.
Mkishashiba mihogo kama nguruwe pori huwa mnajiona smart sana, hivi wewe una akili zipi za kumshauri TL?

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Mkishashiba mihogo kama nguruwe pori huwa mnajiona smart sana, hivi wewe una akili zipi za kumshauri TL?

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app

Mimi nimeumbwa kwa mfano wa Mungu huna jipya. Mihogo kwa amani tele biriani huku u mtumwa wa mafisadi na majizi na huna hakika lini kichwa kitaliwa.
 
Hawa watu wanajiona wao ni bora kuliko Watanzania wenye mitazamo na itikadi tofauti na wao.

Uzuri wote tutaishia kaburini na tutaoza na kubaki mavumbi matupu.
Wakamate au kama una ushahidi upeleke polisi ufungue kesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…