Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ugali ni chakula cha kushangaza ambacho hupendwa sana na watu wengi Africa Mashariki, kati na magharibi. Tatizo la ugali ni kwamba hauna ladha, hauliki wenyewe bila chakula cha ziada.
Wazungu waliotuletea mahindi Africa karne ya 17 wao hawali ugali, wachache wanaokula wameendelea kula mahindi ya kuchemsha badala ya ugali.
Hakuna namna Waafrika tumeingizwa kingi kwenye hiki chakula kweli??
Wazungu waliotuletea mahindi Africa karne ya 17 wao hawali ugali, wachache wanaokula wameendelea kula mahindi ya kuchemsha badala ya ugali.
Hakuna namna Waafrika tumeingizwa kingi kwenye hiki chakula kweli??