Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Protein ni kitu unachotakiwa kula kila siku, ndiyo maana kuna viwango vya daily intake vya protein, hujui hilo?Sidhani kama watakula sembe na mchicha kila siku, naamini kunasiku protein ya aina yoyote itakatiza mitaa hiyo.