Nilikuelewa, lakini huwa hatuli ugali mkavu, ndio maana nikakwambia kuna picha ina nishati, protein na fibers hapo juu.Post #3 ina ugali samaki na mboga.
Mimi nazungumzia ugali. Siongelei samaki na mboga.
Ugali mweupe hauna protein. Ni wanga mtupu.
Tunapokoboa tunatupa protein yote.