MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Mahindi ni machakula ya mifugo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haibadilishi maana, ingredients tunazo Consume kula ugali na ingredient wanazo consume wazungu ni zile zile, wao zinawasumbua na sisi pia zinatusumbua.Ugali sio aina ya mahindi bali ni bidhaa ya kuchakata itokanayo na mahindi, ikiwa sembe inakuwa ni mahindi yaliyochakatwa zaidi kwa kuondoa virutubisho vingi zaidi.
Hivi ndio watu wanavyodanganyana, Wazungu na nchi zilizoendela wanakula sana Mahindi na bidhaa zake kuliko sisi,Mahindi ni machakula ya mifugo
Machakula yasiyokua na swaggerHivi ndio watu wanavyodanganyana, Wazungu na nchi zilizoendela wanakula sana Mahindi na bidhaa zake kuliko sisi,
Mkuu huko nchi za watu mahindi yanauzwa kwenye restaurants na kuwa saved na mlo mwingine. Huwezi kula kavu ni hali ya maisha tuuuMahindi ya kuchemsha
Bisi ni chakula cha farasi nasikiaUnataka kuniambia watu wamarekani hawali mahindi hizi bisi wanazokula sio mahindi
Asilimia kubwa ya watu wanakula vitu pasipokujua vina virutubisho vya aina aina gani na vina kazi gani!Nakwambia ugali unaweza kuwa na protein, bado huelewi somo.
Tunaongelea ugali pekee mkuuMbona nimesema nimekuelewa? Nilichoongeza ni kwamba hakuna jamii inayokula ugali mkavu, jamii zetu zote hula ugali na kiambatanisho fulani siyo lazima iwe samaki.
Kwa hoja yako nikasema labda upikwe uji.
Salama kivipi wakati mahindi mengi yanayokuja kuzalisha ugali ni mbegu za GMO sasa huo usalama uko wapi? Watu tunajali uzalishaji mwingi hivyo mahindi yanayopendwa ni GMO ili kupata uzalishaji mkubwa mahindi ya asili sijui unaweza yapata wapi kwa sasa.Cha mzungu na cha kwetu hakiwezi kuwa sawa especially kwenye vitu vya misaada. Wengi wetu tunafahamu kabisa mahindi yao yankuzwa artificially sana. Hivyo kiwango cha virutubisho asilia ni vidogo mno na vinavyopatikana hujakuongezewa tu na wanakemia.
Mwisho wa siku ugali wetu utabaki kuwa salama na bora zaidi. Mwisho wa siku ni hilo janga la njaa tu lituepuke la sivyo itatulazimu tule kemikali zao.
All in all Muthungu sio wa kumwamini