Kwanini wana Yanga SC na Uongozi wao haujakanusha kauli ya shabiki mwenzao kuwa ushindi wao NBC ni wa Tigo Pesa tu?



Sasa mazingira kama haya unaanzaje kukanusha?
 
Hawana ubavu wa kukanusha, wanajua wakikanusha watu wataweka ushahidi hadharani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…