BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Jiji kama Arusha limejaa Internatiinal schools zilizo karibu karibu sana tena zingine jirani kiasi na Shule za wanao soma wajinga wa hili Taifa kama radius ya km 5 hadi 10 hivi. Ila hizi International School wao kwa sababu wana jua what is Education huwezi watoa Darasani kwenda kushangilia.
Wazazi wa watoto wanao soma hizi shule za Internationa schools hawawesi kubaliana na ujinga huu wa kuwatoa Darasani watoto wao eti wakamfurahishe Samia.
Kumbuka wazazi hawa ni wajanja na watoto wao ni wajanja pia na walimu ni wajanja pia.
Hizi shule pia usisahau pia kwamba zinaandaa watoto watakao tawala wajinga wa nchi hii huwezi ona wao wanatolewa Darasani kwenda kushangilia watawala wa nchi hii kwa sababu wana jukumu moja tu kusoma ili watawale wajinga.
Mfano hizi shule utakuta wapo watoto wa Mwigulu Nchemba ambao kabla hatujafa lazima tushuhudie akitutawala sisi na watoto wetu na huenda na wajukuu zetu.
Sasa shule wanao soma wajinga wa hili taifa ndio hao lazima watolewe Darasani kwenda kushangilia watawala. Kumbuka pia Ujinga ni mtaji namba 2 wa CCM baada ya mtaji wa masikini.
Hizi shule zina wazazi wajinga sana + Wanafunzi full wajinga + Walimu Over Wajinga= Internationa Ujinga.
Na wazazi wa hizi shule kwa sababu ni wajinga wanakubaliana na watoto wao ambao ni full wajinga, waache kusoma waende kushangilia watawala.Yaani hapa kuna Cycle ya ujinga inazalishwa hapa.
Na last huwa watawala wanatufurahisha na matokeo, sasa hizi shule tukiona watoto wamepata Division 1 tunaelewa kwamba ndio elimu yenyewe kumbe ni ujinga mtupu.
Jiulize kwani watawawa hawataki watoto wao wawe Tanzania one au wapate Div 1? kwa nini wanawapeleka International? Jibu unalo.
Tuendelee kushangilia ujinga make ujinga ni jadi yetu.
Wazazi wa watoto wanao soma hizi shule za Internationa schools hawawesi kubaliana na ujinga huu wa kuwatoa Darasani watoto wao eti wakamfurahishe Samia.
Kumbuka wazazi hawa ni wajanja na watoto wao ni wajanja pia na walimu ni wajanja pia.
Hizi shule pia usisahau pia kwamba zinaandaa watoto watakao tawala wajinga wa nchi hii huwezi ona wao wanatolewa Darasani kwenda kushangilia watawala wa nchi hii kwa sababu wana jukumu moja tu kusoma ili watawale wajinga.
Mfano hizi shule utakuta wapo watoto wa Mwigulu Nchemba ambao kabla hatujafa lazima tushuhudie akitutawala sisi na watoto wetu na huenda na wajukuu zetu.
Sasa shule wanao soma wajinga wa hili taifa ndio hao lazima watolewe Darasani kwenda kushangilia watawala. Kumbuka pia Ujinga ni mtaji namba 2 wa CCM baada ya mtaji wa masikini.
Hizi shule zina wazazi wajinga sana + Wanafunzi full wajinga + Walimu Over Wajinga= Internationa Ujinga.
Na wazazi wa hizi shule kwa sababu ni wajinga wanakubaliana na watoto wao ambao ni full wajinga, waache kusoma waende kushangilia watawala.Yaani hapa kuna Cycle ya ujinga inazalishwa hapa.
Na last huwa watawala wanatufurahisha na matokeo, sasa hizi shule tukiona watoto wamepata Division 1 tunaelewa kwamba ndio elimu yenyewe kumbe ni ujinga mtupu.
Jiulize kwani watawawa hawataki watoto wao wawe Tanzania one au wapate Div 1? kwa nini wanawapeleka International? Jibu unalo.
Tuendelee kushangilia ujinga make ujinga ni jadi yetu.