Kwanini Wanafunzi wa kuanzia mwaka 2000 hadi sasa hawawajui Walimu wao Wakuu na hata Walimu tu wa Kawaida?

Kwanini Wanafunzi wa kuanzia mwaka 2000 hadi sasa hawawajui Walimu wao Wakuu na hata Walimu tu wa Kawaida?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Akina GENTAMYCINE tuliosoma miaka hiyo ya mid 80's hadi late 90's mpaka leo Majina ya Walimu Wakuu, Walimu waliotufundisha hadi Walinzi wa Shule tunajua majina yao.

Mitoto ya Siku hizi hawawajui Walimu Wakuu Wao na wanaowajua zaidi ni Wasanii, Madereva wa School Bus zao, Bajaji na Wauza Chips tu.

Hovyo kabisa!
 
Kwani nilienda shule kujua walimu, ila elimu ya zamani ni ya kichoko sana kwamba bila kujua majina ya walimu unakuwa hujasoma bado.

Ushauri wangu futa huu uzi kabla watu wenye akili timamu hawajaendelea kukushambulia
 
Sasa jina la mkuu wa shule ni kitu cha kukariri kweli.

Mambo ya maana yapo mengi.
 
Pamoja na wizi wizi wanapanguliwa kila kukicha. Na ndicho kinachotokea shuleni kuna mabadiliko daily
Mawaziri wenyenye ndo hao wiziwizi niwajue wa kazi gani....
 
Pana vitu mkikaa mnadanganyana sana watoto wa kidato cha kwanza wanaweza kutengeneza Web wakati ipo miaka mpaka wanamaliza Chuo ishu ya mambo ya PC hawajui kitu kabisaa...mambo ya Computer room yalikua vyuo huko sasa hivi watoto wanakuja nyumbani hivi vitu ni kawaida tu kwao.

20230311_094446.jpg
20230311_095857.jpg
 
Akina GENTAMYCINE tuliosoma miaka hiyo ya mid 80's hadi late 90's mpaka leo Majina ya Walimu Wakuu, Walimu waliotufundisha hadi Walinzi wa Shule tunajua majina yao.

Mitoto ya Siku hizi hawawajui Walimu Wakuu Wao na wanaowajua zaidi ni Wasanii, Madereva wa School Bus zao, Bajaji na Wauza Chips tu.

Hovyo kabisa.....!!!!!!
Uzi wa kijinga mnoo

Hv kama huna content kwann unaforce kuonekana Main stream?
 
Back
Top Bottom