Kwanini Wanafunzi wa kuanzia mwaka 2000 hadi sasa hawawajui Walimu wao Wakuu na hata Walimu tu wa Kawaida?

Kwanini Wanafunzi wa kuanzia mwaka 2000 hadi sasa hawawajui Walimu wao Wakuu na hata Walimu tu wa Kawaida?

Hahaha haya unawajua tayar wamekusaidia nini kwenye maisha?

Hatukuenda shule kusajil nida bali kusoma

Kwanza watoto wa 90 ndo wenye akili Tanzania
Mh rais Samia alisema kabisa vijana wa 90 ndo wenye challenge kwake

Nyie wa miaka 70 hamna kitu kabisa kila kitu ndio
Kuna Hoja nyuma ya huu Uzi na Ujumbe naupitisha ila kwa Ulemavu wako wa Akili umeshindwa kujua.

RAI yangu Kwako siku zingine ukijijua huna Akili na una IQ ndogo usiwe unapenda Kusoma Mada zangu hapa JamiiForums sawa?

Nina Uhakika wa 100% kuwa wale Intelligent JF Members hapa wameshanielewa nini hasa nimelenga na Kukusudia.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Akina GENTAMYCINE tuliosoma miaka hiyo ya mid 80's hadi late 90's mpaka leo Majina ya Walimu Wakuu, Walimu waliotufundisha hadi Walinzi wa Shule tunajua majina yao.
Kabla hatujajadili hii hoja jibu swali hapa kama kweli ni wa miaka hiyo

Huu uzi umeandika wewe au kuna mtu amehack account yako? 👇

 
Kabla hatujajadili hii hoja jibu swali hapa kama kweli ni wa miaka hiyo

Huu uzi umeandika wewe au kuna mtu amehack account yako? 👇

Jibu lako........

Kuna Hoja nyuma ya huu Uzi na Ujumbe naupitisha ila kwa Ulemavu wako wa Akili umeshindwa kujua.

RAI yangu Kwako siku zingine ukijijua huna Akili na una IQ ndogo usiwe unapenda Kusoma Mada zangu hapa JamiiForums sawa?

Nina Uhakika wa 100% kuwa wale Intelligent JF Members hapa wameshanielewa nini hasa nimelenga na Kukusudia.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
We unasema Mwalimu Mkuu Mimi simjui hata classmates. Hata mmoja tangu nasoma Uganda primary Hadi secondary Lake Tanganyika mpaka Chuo simjui Mtu Mimi nachofanya sifatilii mtu au kutaka kumjua kwa vyovyote maana hamna umuhimu Mimi namfatilia Mandela Bob marley Lucky dube Peter Tosh na watu wenye IQ kubwa tu
 
Kuna Hoja nyuma ya huu Uzi na Ujumbe naupitisha ila kwa Ulemavu wako wa Akili umeshindwa kujua.

RAI yangu Kwako siku zingine ukijijua huna Akili na una IQ ndogo usiwe unapenda Kusoma Mada zangu hapa JamiiForums sawa?

Nina Uhakika wa 100% kuwa wale Intelligent JF Members hapa wameshanielewa nini hasa nimelenga na Kukusudia.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Uwezo wa IQ yangu hauwezi kupimwa na hoja mbovu namna hiyoo maana hata mimi ninweza kutengeneza hoja kwa mafumbo lakini wat for kama unaowakishia ujumbe hawatakuelewa.

My point, your deeds can make you appreciated and respected au kuonekana utopolo........
 
Akina GENTAMYCINE tuliosoma miaka hiyo ya mid 80's hadi late 90's mpaka leo Majina ya Walimu Wakuu, Walimu waliotufundisha hadi Walinzi wa Shule tunajua majina yao.

Mitoto ya Siku hizi hawawajui Walimu Wakuu Wao na wanaowajua zaidi ni Wasanii, Madereva wa School Bus zao, Bajaji na Wauza Chips tu.

Hovyo kabisa.....!!!!!!
Mbona me vitu vyote muhimu najua.
 
Kuna Hoja nyuma ya huu Uzi na Ujumbe naupitisha ila kwa Ulemavu wako wa Akili umeshindwa kujua.

RAI yangu Kwako siku zingine ukijijua huna Akili na una IQ ndogo usiwe unapenda Kusoma Mada zangu hapa JamiiForums sawa?

Nina Uhakika wa 100% kuwa wale Intelligent JF Members hapa wameshanielewa nini hasa nimelenga na Kukusudia.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Nilikuwa naambiwa wewe ni Popoma sikuwa naamini

Ila bado siamini
Next time ukiulizwa kuhusu hoja yako focus na hoja sio kushambulia mtoa hoja

Haya nakuuliza mara ya mwisho
Wakiwajua majina hao walimu watawasaidia nini wanafunzi?
 
Kuna Hoja nyuma ya huu Uzi na Ujumbe naupitisha ila kwa Ulemavu wako wa Akili umeshindwa kujua.

RAI yangu Kwako siku zingine ukijijua huna Akili na una IQ ndogo usiwe unapenda Kusoma Mada zangu hapa JamiiForums sawa?

Nina Uhakika wa 100% kuwa wale Intelligent JF Members hapa wameshanielewa nini hasa nimelenga na Kukusudia.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Mshamba mshamba tu wewe
Utoto ujuha

Ndo unaweza
 
Uwezo wa IQ yangu hauwezi kupimwa na hoja mbovu namna hiyoo maana hata mimi ninweza kutengeneza hoja kwa mafumbo lakini wat for kama unaowakishia ujumbe hawatakuelewa.

My point, your deeds can make you appreciated and respected au kuonekana utopolo........
Kuna Hoja nyuma ya huu Uzi na Ujumbe naupitisha ila kwa Ulemavu wako wa Akili umeshindwa kujua.

RAI yangu Kwako siku zingine ukijijua huna Akili na una IQ ndogo usiwe unapenda Kusoma Mada zangu hapa JamiiForums sawa?

Nina Uhakika wa 100% kuwa wale Intelligent JF Members hapa wameshanielewa nini hasa nimelenga na Kukusudia.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Mshamba mshamba tu wewe
Utoto ujuha

Ndo unaweza
Kuna Hoja nyuma ya huu Uzi na Ujumbe naupitisha ila kwa Ulemavu wako wa Akili umeshindwa kujua.

RAI yangu Kwako siku zingine ukijijua huna Akili na una IQ ndogo usiwe unapenda Kusoma Mada zangu hapa JamiiForums sawa?

Nina Uhakika wa 100% kuwa wale Intelligent JF Members hapa wameshanielewa nini hasa nimelenga na Kukusudia.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Nilikuwa naambiwa wewe ni Popoma sikuwa naamini

Ila bado siamini
Next time ukiulizwa kuhusu hoja yako focus na hoja sio kushambulia mtoa hoja

Haya nakuuliza mara ya mwisho
Wakiwajua majina hao walimu watawasaidia nini wanafunzi?
Sitochoka Kuwaelimisha Wapumbavu na haya ndiyo Majibu yako tena.....

Kuna Hoja nyuma ya huu Uzi na Ujumbe naupitisha ila kwa Ulemavu wako wa Akili umeshindwa kujua.

RAI yangu Kwako siku zingine ukijijua huna Akili na una IQ ndogo usiwe unapenda Kusoma Mada zangu hapa JamiiForums sawa?

Nina Uhakika wa 100% kuwa wale Intelligent JF Members hapa wameshanielewa nini hasa nimelenga na Kukusudia.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!

Hopeless kama Wewe ambao Kutwa mnahubiri Kunichukia hapa JamiiForums ila 24/7 mnanisoma ndiyo kwa kutokujua Kwenu mnaniongezea Umaarufu hadi GENTAMYCINE nafuatiliwa mpaka na Rais Samia huku akiwa anacheka na mengi hapa.
Hao wanaona poa,watoto zao wakiwajua wakina j.lokole &Co Ltd

Ova
 
Sitochoka Kuwaelimisha Wapumbavu na haya ndiyo Majibu yako tena.....

Kuna Hoja nyuma ya huu Uzi na Ujumbe naupitisha ila kwa Ulemavu wako wa Akili umeshindwa kujua.

RAI yangu Kwako siku zingine ukijijua huna Akili na una IQ ndogo usiwe unapenda Kusoma Mada zangu hapa JamiiForums sawa?

Nina Uhakika wa 100% kuwa wale Intelligent JF Members hapa wameshanielewa nini hasa nimelenga na Kukusudia.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Sasa naungana na wana JF wote kuwa wewe ni POPOMA.
 
Back
Top Bottom