GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!Uzi wa kijinga mnoo
Hv kama huna content kwann unaforce kuonekana Main stream?
Hopeless kama Wewe ambao Kutwa mnahubiri Kunichukia hapa JamiiForums ila 24/7 mnanisoma ndiyo kwa kutokujua Kwenu mnaniongezea Umaarufu hadi GENTAMYCINE nafuatiliwa mpaka na Rais Samia huku akiwa anacheka na mengi hapa.