Kwanini wanafunzi wasianze kidato cha kwanza na michepuo ya sayansi (Physics, Chemistry) au arts kwa kuzingatia matokeo ya Darasa la Saba?

Kwanini wanafunzi wasianze kidato cha kwanza na michepuo ya sayansi (Physics, Chemistry) au arts kwa kuzingatia matokeo ya Darasa la Saba?

Kama mitihani ya darasa la saba haiaminiki, sasa kwanini tuendelee kuamini ubora wa mitihani ya kidato cha pili na cha nne?
Shida ni kwamba mitihani ya kuchagua majibu haimpimi vema mwanafunzi. Si lazima mtu ajue kuandika ili aweze kuchagua majibu na kushade kwa penseli.
Angalau sekondari kuna maswali ya kutumia akili na kujieleza ingawa pia kuna mapungufu yake.
Halafu tambua kuwa wanafunzi wanasakwa sana wakati wa mitihani ya mwisho. Hata mwanafunzi aliyeacha shule anafanya umachinga au kaolewa, wakati wa mtihani atanyofolewa huko aliko kuja kufanya mitihani. Halafu utakuta kapasua sana eti unampanga darasa la sayansi wakati anatakiwa kurudi kwa mume au kibaruani imara moja.
 
primary au sec ,inahitaji muda na kufikiri kwa kina
Swali la msingi ni hili mkuu;

Kwanini wanafunzi wasianze kidato cha kwanza na michepuo ya sayansi (Physics, Chemistry) au arts kwa kuzingatia matokeo ya Darasa la Saba?
 
Swali la msingi ni hili mkuu;

Kwanini wanafunzi wasianze kidato cha kwanza na michepuo ya sayansi (Physics, Chemistry) au arts kwa kuzingatia matokeo ya Darasa la Saba?
Mfumo wa ufaulu wa darasa la saba,hauandai future ya mtoto.sabab Ni wa kubuni na kukalili sana.kipimo kilichowekwa mi naona Ni sahihi form three mwanafunzi anajitambua,na mwalimu wa sayansi anajua wake ni yupi .vile vile upungufu wa walimu wa sayansi ulivyo,na pindi lianze form 1 -4 Ni zaidi ya kazi.
 
Mfumo wa ufaulu wa darasa la saba,hauandai future ya mtoto.sabab Ni wa kubuni na kukalili sana.kipimo kilichowekwa mi naona Ni sahihi form three mwanafunzi anajitambua,na mwalimu wa sayansi anajua wake ni yupi .
Sasa kama mfumo wa ufaulu wa darasa la saba unatia mashaka, kwanini tuwe na imani na mfumo wa ufaulu wa kidato cha pili (form II)?...
 
Kwani wanaofundisha sasa huko Primary wanatoka

Sasa kama mfumo wa ufaulu wa darasa la saba unatia mashaka, kwanini tuwe na imani na mfumo wa ufaulu wa kidato cha pili (form II)?...
Ule Ni compitate kuanzia maswali na usahihishaji.thus why now dayz wameanza kutoa vyeti pia.mitihani ya darasa la saba ,maswali Ni ya kuchagua(multiple choice) mitihani yote Hadi maths.so mtoto anaweza angalizia akafaulu lakini asiwe na content kichwani.shida inakuja baada ya kufaulu sasa.nakupa ushuhuda pia Kuna watoto wamefaulu na kusoma hawajui .Hawa utakuja wabaini baada ya masomo ya kidato cha kwanza na mitihani.swali ,mtoto huyo baadae amefaulu kusoma physics na chemistry what do you expect? Au art tu na mzito hata kujieleza hawezi .form 1 na 2 Ni kipimo kizur cha matazamio ya mtoto kuwa art or science.
 
mitihani ya darasa la saba ,maswali Ni ya kuchagua(multiple choice) mitihani yote Hadi maths.so mtoto anaweza angalizia akafaulu lakini asiwe na content kichwani.shida inakuja baada ya kufaulu sasa.
Ni mmoja kati ya wanafunzi 100 ndio wanaoweza kufaulu mitihani ya darasa la saba kwa kugerezea kwa jirani. Kwa hiyo usitumie justification ya wanafunzi wachache vilaza kutaka sisi tuamini hoja yako...
 
Ule Ni compitate kuanzia maswali na usahihishaji.thus why now dayz wameanza kutoa vyeti pia.mitihani ya darasa la saba ,maswali Ni ya kuchagua(multiple choice) mitihani yote Hadi maths.so mtoto anaweza angalizia akafaulu lakini asiwe na content kichwani.shida inakuja baada ya kufaulu sasa.
Mbona kwa mitihani hiyo hiyo ya maswali ya kuchagua bado kuna wanafunzi wana-fail darasa la saba? Mbona hakuna ufaulu wa darasa la saba wote kama mambo ni rahisi hivyo?...
 
Mbona kwa mitihani hiyo hiyo ya maswali ya kuchagua bado kuna wanafunzi wana-fail darasa la saba? Mbona hakuna ufaulu wa darasa la saba wote kama mambo ni rahisi hivyo?...
Nmekupa summary ya mambo jinsi yalivyo kwa asilimia kubwa bro.sababu mi mwenyew Ni msimamiz wa moja ya taasisi hizo for ten yrs now.so let me ended here for my experience,let wait for others
 
Nmekupa summary ya mambo jinsi yalivyo kwa asilimia kubwa bro.sababu mi mwenyew Ni msimamiz wa moja ya taasisi hizo for ten yrs now.so let me ended here for my experience,let wait for others
Sawa mkuu. Ninashukuru sana kwa muda pamoja na michango yako mizuri
 
nakupa ushuhuda pia Kuna watoto wamefaulu na kusoma hawajui .Hawa utakuja wabaini baada ya masomo ya kidato cha kwanza na mitihani.swali ,mtoto huyo baadae amefaulu kusoma physics na chemistry what do you expect? Au art tu na mzito hata kujieleza hawezi .form 1 na 2 Ni kipimo kizur cha matazamio ya mtoto kuwa art or science.
Sawa mkuu
 
Mfumo wa ufaulu wa darasa la saba,hauandai future ya mtoto.sabab Ni wa kubuni na kukalili sana.kipimo kilichowekwa mi naona Ni sahihi form three mwanafunzi anajitambua,na mwalimu wa sayansi anajua wake ni yupi .vile vile upungufu wa walimu wa sayansi ulivyo,na pindi lianze form 1 -4 Ni zaidi ya kazi.
Good
 
Mimi nafikiri wanafunzi wasome cozi zote. Specification ianze baada ya 4m4. Ila matokeo yadepend na masomo aliyofaulu zaidi. Hii ni uganda, rwanda na kenya.
 
Shida ni kwamba mitihani ya kuchagua majibu haimpimi vema mwanafunzi. Si lazima mtu ajue kuandika ili aweze kuchagua majibu na kushade kwa penseli.
Kama mitihani ya darasa la saba ina hitilafu nyingi mbona kuna wanafunzi bado wana-fail?...
 
Kama mitihani ya darasa la saba ina hitilafu nyingi mbona kuna wanafunzi bado wana-fail?...
Ni sawa na kucheza kamari unaweza kupata au kukosa. Lakini kwa mwenye akili ayejua anafanya nini atafaulu tu kwa sababu halisi anajua majibu sahihi..
 
Angalau sekondari kuna maswali ya kutumia akili na kujieleza ingawa pia kuna mapungufu yake.
Halafu tambua kuwa wanafunzi wanasakwa sana wakati wa mitihani ya mwisho. Hata mwanafunzi aliyeacha shule anafanya umachinga au kaolewa, wakati wa mtihani atanyofolewa huko aliko kuja kufanya mitihani. Halafu utakuta kapasua sana eti unampanga darasa la sayansi wakati anatakiwa kurudi kwa mume au kibaruani imara moja.
Sawa
 
Back
Top Bottom