To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
KabisaMe nawajua nafanya nao kazi wengi tatizo kuzalisha ovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaMe nawajua nafanya nao kazi wengi tatizo kuzalisha ovyo
Wanajeshi wa wapi wanapewa mshahara tarehe 15? UrongoooooPamoja na kupewa pesa tarehe 15....nachingwea huku wananichekeshaga wakipata mshahara basi jua mademu wote wao hupati hata mmoja..wakienda bar hawajuagi kununuliana pombe kila mtu anajinunulia kreti lake...cha ajabu wanapanga Lodge moja unakuta chumba kimoja wanajeshi 6 hawalali hiko chumba ni kwa ajili ya kupokezana kwenda kupiga miti..kuna vitu vinachekesha sana karibu nachingwea Zurich pub,y2k,kidimbwi ujionee vituko vyao...mimi pia ni limbukeni wa pesa ila kwao asee hapana ubabe wanaofanyiwa wasimamizi wa guest sio poa
Aisee,moto wanaoSi unajua hawa mazoezI mengi na vyakula vizuri hawapigi punyeto kwa hiyo ukijichanganya lazima wakushangaze so wanazaa sana unakuta ana watoto watano hapo lazima ahudumie hawezi kuwakimbia wote na ndo hapo kipengele...pombe na umalaya
Hii imekuwa kero sana baadhi ya wanajeshi wamekuwa wakikopa madukani na hawarudishi vitu na pengine hutumia ubabe wao kutokulipa hata unakuta ukimpeleka polisi ana achiwa tu maana hutumia kazi yao kujiona wakubwa kwa wenzao yaani wanapewa pesa kubwa kila mwezi lakini huishia kwenye pombe na kukopa hovyo sana wanajeshi badilikeni
Sasa kwa nini waje kukopa dukani kwangu halafu hawanilipi kwa wakati na hutumia ubabe kunitishia kabisaMadaktari, wanasheria, Engineers, Land officers, Architects, nurses, Geologists, Walilmu n.k
Hawa wote wanalipa almost double salaries kwa majukumu yao ya Kitaalum then maslahi ya kijeshi
Sio mshahara kuna posho wanapewa tena hii ni kwa majeshi yote mpaka polisi ulizia hapahapa jf upewe hii elimu..kuna posho ya nyumba,n.k....inafika mpaka laki 3 uliziaWanajeshi wa wapi wanapewa mshahara tarehe 15? Urongooooo
Kabisa mimi huwa wanakuja kunikopa hadi pombe hapa dukani kwanguSi unajua hawa mazoezI mengi na vyakula vizuri hawapigi punyeto kwa hiyo ukijichanganya lazima wakushangaze so wanazaa sana unakuta ana watoto watano hapo lazima ahudumie hawezi kuwakimbia wote na ndo hapo kipengele...pombe na umalaya
Mazoezi na vyakula uhakika.kwa hiyo bao linakuja likiwa standard..nina classmates zangu watatu wajeda mmoja ana watoto 5,mwingine wa 4 ,mwingine tena wa 4...wote tumezaliwa BTW 95-96Aisee,moto wanao
Walimu tunawapumzisha kwa muda! 😇🤭 Nilijua walimu tu🥴
Hizo posho zinakuja pamoja na mshahara. Nina uhakika na hili jambo. Hakuna pesa inaiingia katikati ya mwezi.Sio mshahara kuna posho wanapewa tena hii ni kwa majeshi yote mpaka polisi ulizia hapahapa jf upewe hii elimu..kuna posho ya nyumba,n.k....inafika mpaka laki 3 ulizia
Huyo ni mpuuzi kabisa mie soon ntamtoa mmoja bushaKuna mmoja alikuwa njia ya Goba yaani akiona duka jipya lazima aende story kibao anakopa na kupotea...wenyewe maduka wengi wanamfahamu sijui bado anaendelea na hiyo tabia na huwa halipi..
Kuna mmoja alianza mazoea na mke wangu nilimpiga ngumi ya uso paka tukapelekana polisiMazoezi na vyakula uhakika.kwa hiyo bao linakuja likiwa standard..nina classmates zangu watatu wajeda mmoja ana watoto 5,mwingine wa 4 ,mwingine tena wa 4...wote tumezaliwa BTW 95-96
Mkuu zinazokuja na mishahara ni za watu wa afya ila kwa majeshi wanapoozwa katikati..ulizia hapa jf utapewa jibu maana mtu kumuulizia nje ya hapa atakuona unamchoraHizo posho zinakuja pamoja na mshahara. Nina uhakika na hili jambo. Hakuna pesa inaiingia katikati ya mwezi.
Mimi nilienda paka jeshini kwao lakini wapi wananizungusha tu ooh mvumilie mfanye kama ndugu yakoKabla ya kumkopesha mwanajeshi;Unatakiwa ufahamu namba yake utambulisho,kikosi/kambi aliyopo,halafu unamsainisha kwenye deni lake.Siku ikitokea anazungusha kulipa usimpeleke polisi bali nenda kwenye kikosi chake,ukutane na wakubwa wake,kule watamuadabisha na utapata haki yako.Jeshi ni moja ya taasisi zenye nidhamu sana kwa ujumla wake 🤔
Hili kweli nalikubali kabisa ma MP wako vizuri sana na ndo maana hata kwenye ma bar haleti nyokonyoko akijiona mwenyewe lazima awe na ka tag cha wakubwa hata wawili hapo ndo kidogo anaweza kulewa akaleta utemiKabla ya kumkopesha mwanajeshi;Unatakiwa ufahamu namba yake utambulisho,kikosi/kambi aliyopo,halafu unamsainisha kwenye deni lake.Siku ikitokea anazungusha kulipa usimpeleke polisi bali nenda kwenye kikosi chake,ukutane na wakubwa wake,kule watamuadabisha na utapata haki yako.Jeshi ni moja ya taasisi zenye nidhamu sana kwa ujumla wake 🤔
DuhMazoezi na vyakula uhakika.kwa hiyo bao linakuja likiwa standard..nina classmates zangu watatu wajeda mmoja ana watoto 5,mwingine wa 4 ,mwingine tena wa 4...wote tumezaliwa BTW 95-96
Hao watano kumbuka kila mtu na mama yake..wanne hao wawili mama mmoja wengine tofauti na wote anawazingatia kama sio yeye basi mama yake yaani bibi yao watoto