Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #61
Naunga mkono hoja 👍Wengine ni wapishi jeshini sio wote wana mishahara mikubwa 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja 👍Wengine ni wapishi jeshini sio wote wana mishahara mikubwa 😂
🤣🤣🤣Tuacheeeee😂😂Ila waalimu shikamoo yao🙌
Hatareee!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kabisa
Full gwanda Muda wote kitaa kututishia kumbe ni wapishi kutoka kolomije😳🤨😏🤭🤣🤣🤣🤣Hatareee!! 🤣🤣🤣
Na ndio wasumbufu hao
Na kazi yao kutamani wake za watu hovyo ipo siku ntamtoa mmoja busha awe mfano aiwezekani umshike mke wangu makalio alafu nakuchekea ndo maana nilmipiga mmoja tukapelekana polisiFull gwanda Muda wote kitaa kututishia kumbe ni wapishi kutoka kolomije😳🤨😏🤭🤣🤣🤣🤣
Utasema wana nyota kumbe waonja chumvi jeshini 🤣🤣🤣🤣Full gwanda Muda wote kitaa kututishia kumbe ni wapishi kutoka kolomije😳🤨😏🤭🤣🤣🤣🤣
Mwanajeshi mwenye cheo kuanzia nyota moja huwa wanajitambua kuna hawa vijana hasa form 4 leavers, ndio malimbukeni hasaa! Hawajui kuwa siku hizi ubabe umeishaaKuwa na adabu na wanajeshi wetu. We unazungumzia wa zamani. Wa kisasa wana elimu zao na wanalipwa vizuri.
**** Madaktari, wanasheria, Engineers, Land officers, Architects, nurses, Geologists, Walilmu n.k
Hawa wote wanalipa almost double salaries kwa majukumu yao ya Kitaalum then maslahi ya kijeshi
Papa yule anayefichwa na kyupi hapoPapa yupi unamzungumzia?🤣
Naunga mkono hojaMwanajeshi mwenye cheo kuanzia nyota moja huwa wanajitambua kuna hawa vijana hasa form 4 leavers, ndio malimbukeni hasaa! Hawajui kuwa siku hizi ubabe umeishaa
🤣🤣🤣🤣🤣Hii kesi mi simo aisee🙌Utasema wana nyota kumbe waonja chumvi jeshini 🤣🤣🤣🤣
Afu kwenye vita kazi yao kubeba mabomu na kuchungulia maadui. Kifupi vitani wao ni darubini za kuangalia maadui wako wapi
🤣🤣🤣🤣🤣🤭 Watakugeuza naniliuNa kazi yao kutamani wake za watu hovyo ipo siku ntamtoa mmoja busha awe mfano aiwezekani umshike mke wangu makalio alafu nakuchekea ndo maana nilmipiga mmoja tukapelekana polisi
Hawawezi hata kidogo ntakufa na mtu🤣🤣🤣🤣🤣🤭 Watakugeuza naniliu
Wanajeshi hasa nazungumzia military officers sio wale wa chini...Papa wa yule anayefichwa na kyupi hapo
Usifanye ivo Kwa sababu ya mwanamke....siye hatuaminikiHawawezi hata kidogo ntakufa na mtu
Maisha noma haya....🤭 Nilijua walimu tu🥴
Huu Uzi hauna maisha marefu utafutwa na mods.......Wanajeshi wengi sio wote ni masikini wenye uhakika wa mshahara na posho, yaani ni masikini wenye pesa.
Na hapo ndio ujivuni, ujuaji, ulimbukeni, ushamba wao huonekana.
Hamna nyie mna haaminika ndo maana mna tuzaa na mnatupenda saana bila nyie sisi tusingekuwepo duniani mimi nilimkuta jamaa yupo dukani na mke wangu anamlazimisha kukopa akamkopesha ile anatoka nje kufungua friji ampe soda akamgusa makalio asee nikivo ona kwanza alishtuka nikaenda kumpiga ngumi moja nzito hadi akatoa damu ulikuwa ugomvi mkubwa mno yaaniUsifanye ivo Kwa sababu ya mwanamke....siye hatuaminiki
Mimi nilienda hadi mgulani pale lakini wapi wanamteteaKesi ya mwanajeshi usipeleke polisi hata Mara moja, polisi Wana tabia ya kuwaogopa.
Wanajeshi wameapa kiapo cha utii wa Sheria za nchi hivyo ni kosa kubwa wao kuvunja hizo Sheria. Siku nyingine ulipata tatizo karipoti jeshini, Wana mahakama zao na tofauti na kada nyingine huwa hawalindani. Kabla ya kumpeleka mwambie.kabisa usiponilipa naenda kukushitaki ofisini kwako atakulipa haraka maana anajua kesi ikishafika balaa lake ni kubwa.
Nenda lugalo makuu na waeleze niliripoti Mgulani wakamlinda.Mimi nilienda hadi mgulani pale lakini wapi wanamtetea