Kwanini Wanajeshi wenye Vyeo vya chini ( hasa Vijana) wanapenda sana Kuigana katika Mambo yafuatayo?

Kwanini Wanajeshi wenye Vyeo vya chini ( hasa Vijana) wanapenda sana Kuigana katika Mambo yafuatayo?

Unaujua wimbo wao wanaimbaga kwenye rootmatch au mchakamchaka

[emoji441][emoji443][emoji449][emoji448]"Hiloo jeshi mambo yao na.vitendo vyao sawasawa"[emoji2236]šŸŖ•[emoji447]

Maisha yao muda wote wapo kota kwanini wasiigane?
[emoji445][emoji443]tembea yao sawa sawa,kulala kwao sawa sawa
 
Mmoja akinunua Gari aina ya IST basi Wote watanunua, kwa sasa wameshaacha Kununua IST wamehamia katika Gari aina ya Rumio ( Rumion )

Mmoja wao akinunua tu T-shirt au Jeans fulani basi ndani tu ya Siku 3 zijazo utaona Wwnzake wengi nao wananunua na kuanza Kufanana na Kuboa Mitaani na Machoni kama Jezi mpya hizi na mbaya za Klabu ya Yanga.

Mmoja wao tu akipendelea Kununua ama Bia fulani au Wine fulani awapo Baa au Kwingineko tegemea Siku chache zijazo na wengine nao wataiga ( watamuiga )

Mmoja wao tu akianza kupenda kwenda Baa fulani ( Mfano Juliana na Beach Kidimbwi ) na wengine wote watahamia na Kufurika hapo Kunywa japo wengine huwa wanagongea Bia kwa Wana ( Washikaji ) au Wanakopa vile vile.

Mmoja wao tu akipenda Kununua Malaya ( Madanga ) wa Kijiwe fulani basi Kesho yake utawaona na Wengineo wote wanahamia hapo japo huwa Wanakomeshwa mno na Magonjwa ya Gono na Kaswende wanayoyapata hapo lakini hawakomi tu.

Mmoja wao tu akianza tabia ya Kumpiga Mpenzi au Mke wake ( tena hata bila sababu yoyote ya Msingi ) Basi tegemea kuanza Kusikia na wengine nao Wakianza Kuwanyoosha ( Kuwatandika ) Wenzi wao huko.

Kwa sasa nahisi kuna Mmoja wao kama kawaida alianzisha kupenda kupitisha Gari yake Jirani na Mnara wa Tigo uliopo Buza kwa Mpalange kiasi kwamba hivi sasa hawa Wajeda wa Vyeo vya Chini ( Kawaida ) huwaambii Kitu kuhusu kupita hiyo njia ya kwa Mpalange na ukitaka Ugombane nao wazuie wasipite huko.

Naomba kujua hawa wana shida gani?
Popoma genta katika kiwango cha juu cha upopoma wako
 
Mmoja akinunua Gari aina ya IST basi Wote watanunua, kwa sasa wameshaacha Kununua IST wamehamia katika Gari aina ya Rumio ( Rumion )

Mmoja wao akinunua tu T-shirt au Jeans fulani basi ndani tu ya Siku 3 zijazo utaona Wwnzake wengi nao wananunua na kuanza Kufanana na Kuboa Mitaani na Machoni kama Jezi mpya hizi na mbaya za Klabu ya Yanga.

Mmoja wao tu akipendelea Kununua ama Bia fulani au Wine fulani awapo Baa au Kwingineko tegemea Siku chache zijazo na wengine nao wataiga ( watamuiga )

Mmoja wao tu akianza kupenda kwenda Baa fulani ( Mfano Juliana na Beach Kidimbwi ) na wengine wote watahamia na Kufurika hapo Kunywa japo wengine huwa wanagongea Bia kwa Wana ( Washikaji ) au Wanakopa vile vile.

Mmoja wao tu akipenda Kununua Malaya ( Madanga ) wa Kijiwe fulani basi Kesho yake utawaona na Wengineo wote wanahamia hapo japo huwa Wanakomeshwa mno na Magonjwa ya Gono na Kaswende wanayoyapata hapo lakini hawakomi tu.

Mmoja wao tu akianza tabia ya Kumpiga Mpenzi au Mke wake ( tena hata bila sababu yoyote ya Msingi ) Basi tegemea kuanza Kusikia na wengine nao Wakianza Kuwanyoosha ( Kuwatandika ) Wenzi wao huko.

Kwa sasa nahisi kuna Mmoja wao kama kawaida alianzisha kupenda kupitisha Gari yake Jirani na Mnara wa Tigo uliopo Buza kwa Mpalange kiasi kwamba hivi sasa hawa Wajeda wa Vyeo vya Chini ( Kawaida ) huwaambii Kitu kuhusu kupita hiyo njia ya kwa Mpalange na ukitaka Ugombane nao wazuie wasipite huko.

Naomba kujua hawa wana shida gani?

Unatazizo la kufikili...

Ungetambua hawa unaowaongelea ni watu wanaotoka kwenye jamii yetu hii inayotuzunguka usingeandika utumbo..:
Pengine kwenye ukoo wako kuna Askari japo mmoja asa hutaki anunue nguo wakati ndo hizohzo zinazouzwa Tanzania...
IST ni gari inayo hitaji budget ndogo kwaajil ya kuimiliki asa unataka wamiliki crown wakati budget haitoshi..
Acha ushamba.

Unachotakiwa kufahamu ni kwamba wanajeshi ni watu kama watu wengine tofauti ni majukumu tu.
 
Nilionaga polisi wamefanana na ule urefu wako wanne wamenyoa sawa wanatembea pamoja ni vijana kabisa wanavimba na zile suruali zao za kaki kama wanafunzi wa bweni
 
Kama yote wanafanya kwa pesa zao na hawavunji sheria za nchi mi sioni tatizo ni kama vile tu waalimu wanavyo fikiri siku kuu ya wafanyakazi (mei mosi) ni ya kwao peke yao.
Jamani!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mmoja akinunua Gari aina ya IST basi Wote watanunua, kwa sasa wameshaacha Kununua IST wamehamia katika Gari aina ya Rumio ( Rumion )

Mmoja wao akinunua tu T-shirt au Jeans fulani basi ndani tu ya Siku 3 zijazo utaona Wwnzake wengi nao wananunua na kuanza Kufanana na Kuboa Mitaani na Machoni kama Jezi mpya hizi na mbaya za Klabu ya Yanga.

Mmoja wao tu akipendelea Kununua ama Bia fulani au Wine fulani awapo Baa au Kwingineko tegemea Siku chache zijazo na wengine nao wataiga ( watamuiga )

Mmoja wao tu akianza kupenda kwenda Baa fulani ( Mfano Juliana na Beach Kidimbwi ) na wengine wote watahamia na Kufurika hapo Kunywa japo wengine huwa wanagongea Bia kwa Wana ( Washikaji ) au Wanakopa vile vile.

Mmoja wao tu akipenda Kununua Malaya ( Madanga ) wa Kijiwe fulani basi Kesho yake utawaona na Wengineo wote wanahamia hapo japo huwa Wanakomeshwa mno na Magonjwa ya Gono na Kaswende wanayoyapata hapo lakini hawakomi tu.

Mmoja wao tu akianza tabia ya Kumpiga Mpenzi au Mke wake ( tena hata bila sababu yoyote ya Msingi ) Basi tegemea kuanza Kusikia na wengine nao Wakianza Kuwanyoosha ( Kuwatandika ) Wenzi wao huko.

Kwa sasa nahisi kuna Mmoja wao kama kawaida alianzisha kupenda kupitisha Gari yake Jirani na Mnara wa Tigo uliopo Buza kwa Mpalange kiasi kwamba hivi sasa hawa Wajeda wa Vyeo vya Chini ( Kawaida ) huwaambii Kitu kuhusu kupita hiyo njia ya kwa Mpalange na ukitaka Ugombane nao wazuie wasipite huko.

Naomba kujua hawa wana shida gani?
Kama hujawahi ishi nao kambini hata mwezi tu hutawaelewa hao jamaa

Kiufupi ni washamba wa kila idara awe afisa au kuruti

Huko kwenye mapenzi ndio usisema wanalizwa wanawake pamoja na maubabe yao na miguvu yao.

Kuna limoja lilimtongoza demu likakataliwa siku likanikuta na na huyo demu likatishia kunipiga [emoji1][emoji1787]

Anyway kuna ambao wako peace yaani very very peace hawanaga mbwembwe za kijinga

All in all Mara 100 life la soja kuliko mandata,manjagu,mwamwela

Hao jamaa achana nao kabisa acha waendelee kufuga bata
 
Back
Top Bottom