Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
š¤£Kama yote wanafanya kwa pesa zao na hawavunji sheria za nchi mi sioni tatizo ni kama vile tu waalimu wanavyo fikiri siku kuu ya wafanyakazi (mei mosi) ni ya kwao peke yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
š¤£Kama yote wanafanya kwa pesa zao na hawavunji sheria za nchi mi sioni tatizo ni kama vile tu waalimu wanavyo fikiri siku kuu ya wafanyakazi (mei mosi) ni ya kwao peke yao.
Ngoja niende kwenye kiooWewe hujioni ulivyo Mshamba Mwandamizi JF?
Ndiyo maana hata UKIMWI nao unawafyekeni kisawasawa ( 24/7 ) Ndugu."sisi tukiiwa jeshini,mambo sawa sawa, mambo sawa sawa mambo sawa sawa"
Wengi walugaluga na hata ikitokea amesoma bado anabaki na ushamba wake kichwanikivipi
Zoezi limewakolea kichwaniWengi walugaluga na hata ikitokea amesoma bado anabaki na ushamba wake kichwani
Ngoja niondoke hapa nisije pigwa mitamaUmemaliza kila Kitu na nakubaliana nawe 100% Ndugu.
[emoji445][emoji443]tembea yao sawa sawa,kulala kwao sawa sawaUnaujua wimbo wao wanaimbaga kwenye rootmatch au mchakamchaka
[emoji441][emoji443][emoji449][emoji448]"Hiloo jeshi mambo yao na.vitendo vyao sawasawa"[emoji2236]šŖ[emoji447]
Maisha yao muda wote wapo kota kwanini wasiigane?
Ukimkagua Mfukoni ukikuta ana Hela nyingi sana basi ni Tsh 500/= ( Mia Tano tu ) huku Mikogo ikiwa mingi mno.kuna mmoja yupo huku kitaa, ana IST, mda wote koti la baka baka kalivisha kwenye seat ya gari, kofia ipo mbele ya kioo,
ni private
Precisely 100% Chief.Wengi walugaluga na hata ikitokea amesoma bado anabaki na ushamba wake kichwani
Pia wana ubabe wa kishambashamba nahisi mazoezi na mafunzo yanawaharibu akilizoezi limewakolea kichwani
Popoma genta katika kiwango cha juu cha upopoma wakoMmoja akinunua Gari aina ya IST basi Wote watanunua, kwa sasa wameshaacha Kununua IST wamehamia katika Gari aina ya Rumio ( Rumion )
Mmoja wao akinunua tu T-shirt au Jeans fulani basi ndani tu ya Siku 3 zijazo utaona Wwnzake wengi nao wananunua na kuanza Kufanana na Kuboa Mitaani na Machoni kama Jezi mpya hizi na mbaya za Klabu ya Yanga.
Mmoja wao tu akipendelea Kununua ama Bia fulani au Wine fulani awapo Baa au Kwingineko tegemea Siku chache zijazo na wengine nao wataiga ( watamuiga )
Mmoja wao tu akianza kupenda kwenda Baa fulani ( Mfano Juliana na Beach Kidimbwi ) na wengine wote watahamia na Kufurika hapo Kunywa japo wengine huwa wanagongea Bia kwa Wana ( Washikaji ) au Wanakopa vile vile.
Mmoja wao tu akipenda Kununua Malaya ( Madanga ) wa Kijiwe fulani basi Kesho yake utawaona na Wengineo wote wanahamia hapo japo huwa Wanakomeshwa mno na Magonjwa ya Gono na Kaswende wanayoyapata hapo lakini hawakomi tu.
Mmoja wao tu akianza tabia ya Kumpiga Mpenzi au Mke wake ( tena hata bila sababu yoyote ya Msingi ) Basi tegemea kuanza Kusikia na wengine nao Wakianza Kuwanyoosha ( Kuwatandika ) Wenzi wao huko.
Kwa sasa nahisi kuna Mmoja wao kama kawaida alianzisha kupenda kupitisha Gari yake Jirani na Mnara wa Tigo uliopo Buza kwa Mpalange kiasi kwamba hivi sasa hawa Wajeda wa Vyeo vya Chini ( Kawaida ) huwaambii Kitu kuhusu kupita hiyo njia ya kwa Mpalange na ukitaka Ugombane nao wazuie wasipite huko.
Naomba kujua hawa wana shida gani?
Huu nao huwa Wanaigana pia Ndugu?Pia wana ubabe wa kishambashamba nahisi mazoezi na mafunzo yanawaharibu akili
Mmoja akinunua Gari aina ya IST basi Wote watanunua, kwa sasa wameshaacha Kununua IST wamehamia katika Gari aina ya Rumio ( Rumion )
Mmoja wao akinunua tu T-shirt au Jeans fulani basi ndani tu ya Siku 3 zijazo utaona Wwnzake wengi nao wananunua na kuanza Kufanana na Kuboa Mitaani na Machoni kama Jezi mpya hizi na mbaya za Klabu ya Yanga.
Mmoja wao tu akipendelea Kununua ama Bia fulani au Wine fulani awapo Baa au Kwingineko tegemea Siku chache zijazo na wengine nao wataiga ( watamuiga )
Mmoja wao tu akianza kupenda kwenda Baa fulani ( Mfano Juliana na Beach Kidimbwi ) na wengine wote watahamia na Kufurika hapo Kunywa japo wengine huwa wanagongea Bia kwa Wana ( Washikaji ) au Wanakopa vile vile.
Mmoja wao tu akipenda Kununua Malaya ( Madanga ) wa Kijiwe fulani basi Kesho yake utawaona na Wengineo wote wanahamia hapo japo huwa Wanakomeshwa mno na Magonjwa ya Gono na Kaswende wanayoyapata hapo lakini hawakomi tu.
Mmoja wao tu akianza tabia ya Kumpiga Mpenzi au Mke wake ( tena hata bila sababu yoyote ya Msingi ) Basi tegemea kuanza Kusikia na wengine nao Wakianza Kuwanyoosha ( Kuwatandika ) Wenzi wao huko.
Kwa sasa nahisi kuna Mmoja wao kama kawaida alianzisha kupenda kupitisha Gari yake Jirani na Mnara wa Tigo uliopo Buza kwa Mpalange kiasi kwamba hivi sasa hawa Wajeda wa Vyeo vya Chini ( Kawaida ) huwaambii Kitu kuhusu kupita hiyo njia ya kwa Mpalange na ukitaka Ugombane nao wazuie wasipite huko.
Naomba kujua hawa wana shida gani?
ItakuwaHuu nao huwa Wanaigana pia Ndugu?
Jamani!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama yote wanafanya kwa pesa zao na hawavunji sheria za nchi mi sioni tatizo ni kama vile tu waalimu wanavyo fikiri siku kuu ya wafanyakazi (mei mosi) ni ya kwao peke yao.
Kama hujawahi ishi nao kambini hata mwezi tu hutawaelewa hao jamaaMmoja akinunua Gari aina ya IST basi Wote watanunua, kwa sasa wameshaacha Kununua IST wamehamia katika Gari aina ya Rumio ( Rumion )
Mmoja wao akinunua tu T-shirt au Jeans fulani basi ndani tu ya Siku 3 zijazo utaona Wwnzake wengi nao wananunua na kuanza Kufanana na Kuboa Mitaani na Machoni kama Jezi mpya hizi na mbaya za Klabu ya Yanga.
Mmoja wao tu akipendelea Kununua ama Bia fulani au Wine fulani awapo Baa au Kwingineko tegemea Siku chache zijazo na wengine nao wataiga ( watamuiga )
Mmoja wao tu akianza kupenda kwenda Baa fulani ( Mfano Juliana na Beach Kidimbwi ) na wengine wote watahamia na Kufurika hapo Kunywa japo wengine huwa wanagongea Bia kwa Wana ( Washikaji ) au Wanakopa vile vile.
Mmoja wao tu akipenda Kununua Malaya ( Madanga ) wa Kijiwe fulani basi Kesho yake utawaona na Wengineo wote wanahamia hapo japo huwa Wanakomeshwa mno na Magonjwa ya Gono na Kaswende wanayoyapata hapo lakini hawakomi tu.
Mmoja wao tu akianza tabia ya Kumpiga Mpenzi au Mke wake ( tena hata bila sababu yoyote ya Msingi ) Basi tegemea kuanza Kusikia na wengine nao Wakianza Kuwanyoosha ( Kuwatandika ) Wenzi wao huko.
Kwa sasa nahisi kuna Mmoja wao kama kawaida alianzisha kupenda kupitisha Gari yake Jirani na Mnara wa Tigo uliopo Buza kwa Mpalange kiasi kwamba hivi sasa hawa Wajeda wa Vyeo vya Chini ( Kawaida ) huwaambii Kitu kuhusu kupita hiyo njia ya kwa Mpalange na ukitaka Ugombane nao wazuie wasipite huko.
Naomba kujua hawa wana shida gani?