Kwanini Wanajeshi wenye Vyeo vya chini ( hasa Vijana) wanapenda sana Kuigana katika Mambo yafuatayo?

Kwanini Wanajeshi wenye Vyeo vya chini ( hasa Vijana) wanapenda sana Kuigana katika Mambo yafuatayo?

Tatizo Ni mfumo wakuchukua failures na kuwaweka jeshini,wengi wao washamba mno, migwanda yao tu ila vichwani ni jiiiiiiirooo
 
Unatazizo la kufikili...

Ungetambua hawa unaowaongelea ni watu wanaotoka kwenye jamii yetu hii inayotuzunguka usingeandika utumbo..:
Pengine kwenye ukoo wako kuna Askari japo mmoja asa hutaki anunue nguo wakati ndo hizohzo zinazouzwa Tanzania...
IST ni gari inayo hitaji budget ndogo kwaajil ya kuimiliki asa unataka wamiliki crown wakati budget haitoshi..
Acha ushamba.

Unachotakiwa kufahamu ni kwamba wanajeshi ni watu kama watu wengine tofauti ni majukumu tu.
Absolute Rubbish.....!!
 
Back
Top Bottom