Kwanini wanamziki wa Twanga Pepeta wamepukutika?

Ali Choki Amechoka Kweli Kweli Yuko Mwanza Na Kabendi Kamoja Nilimuona Stejin Nikasikitika Sana Dah Haya Maisha Haya
 
Kweli wewe mhenga umewakumbuka wote hakika ulikula raha ila diamondo saundo hukuitaja ile ya kamuke sukari, diana astovila, eliston angai elly kinyama, jesus, elly longomba na Lillian internet. Na mkuu wa majeshi
 
Noma sana yule mdada mkuu.

Nilikuwa nikimwona tu akipita lazima dushe lisimame aisee manake alikuwa na ndugu zake pande za Sinza Mori ambao walikuwa ni majirani wetu,hivyo mara nyingi akija nilikuwa namtolea macho balaaa
Ulimla?? Aliondoka na ngwengwe huyo
 
Duh, Kweli wajinga wasingekuwepo vibaya dukani visingenunuliwa..

Huyu alikuwa na utamu gani kwa macho mkuu.?
Mbona alikuwa kibungo.?

View attachment 1032166View attachment 1032167

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata POMBE ukiiona kwenye CHUPA imetulia,,,,

UKIINYWA ndy UNAANZA KUSUMBUWA....

MWANAMKE mwingine MTAMU akiwa UCHI,,

hapo GUSA unate..
tena hapo kishaanza KUCHOKA MKUU,,,

usimdharau ANAYELILIA MAPENZI,,

hujuwi anachopewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaishi Uingereza siku hizi!

Mkuu? Kuanzia mwaka gani asee. Mara ya mwisho kumuona huyu jamaa ilikua ni Igo pale mapambao aliomba kununuliwa beer nikiwa na washkaji zangu. Alikua kachoka sana.
Au nime mchanganya ?
 
Wewe ni Mwanamuzki? Bravo Bro! Data kamilifu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…