Kwanini wanamziki wa Twanga Pepeta wamepukutika?

Nimesikitika hujamtaja Waziri Sonyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wadada wameumbika aisee mkuu
Hata mimi hua inanitokea hiyo kuna sehemu jirani n geto hua naenda kupata break first kuna binti pale anafanyakazi maeneo yale mtoto mweupe na vichuchu vidogoo shepu kama lote.muda si mrefu pia nimemuona nikabaki tu kumuangalia.
Tatizo mimi siendani nae.pia kazi anayofanya ni bar nadhani.so wengi lazima wanamtumia
Noma sana yule mdada mkuu.

Nilikuwa nikimwona tu akipita lazima dushe lisimame aisee manake alikuwa na ndugu zake pande za Sinza Mori ambao walikuwa ni majirani wetu,hivyo mara nyingi akija nilikuwa namtolea macho balaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo "Kadie Katanga" ni Gabby kwa maana ya Gabriel. Huyu alifariki kwa ajali ya gari maeneo ya Oysterbay karibu na Mbuyu wa matambiko pale karibu na nyumba za mabalozi akiwa ni mwanamuziki wa Chuchu Sound mwanzoni mwa miaka ya 2000.
Duu aisee. Sikujua kama alitangulia. Kuhusu jina kuna mdau alinirekebisha,hata hivyo ahsante kwa more info.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaopukutika sio Twanga Pepeta peke yao, kuna like kundi la Akina Suleiman Mbwembwe ndio limekwisha kabisaaaa, tatizo la wasanii wa bongo karibu wote ugonjwa wao upo Chini


Sent from my iPad using JamiiForums
 

Hahaaaaaaaa,huyo mkuu ni wa kumvalia ndoms na kumbutua tu,ila usirogwe kumla kavu,kama huwezi kufanya hivyo achana naye
 
Wanaopukutika sio Twanga Pepeta peke yao, kuna like kundi la Akina Suleiman Mbwembwe ndio limekwisha kabisaaaa, tatizo la wasanii wa bongo karibu wote ugonjwa wao upo Chini


Sent from my iPad using JamiiForums

Kwa kweli hako kaugonjwa kamekaa pabaya sana,kunusurika ni majaliwa sana kwa kizazi hiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…