Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Hao wanaolia lia,sio watanzania,na wengi ni wavivu wakufanyakazi.Binafsi mimi bado namshukuru Mungu kuingilia kati na kutuondolea ibilisi Magufuli.
Nitakuwa namkufuru Mungu nikianza ulalamishi sasa hivi, dhamira ya mama inaonekana kwa macho wala huitaji propaganda kujuwa ana utu.