Kwanini wananchi hawana imani na awamu ya 6, kila kitu wanahisi wanapigwa?

Binafsi mimi bado namshukuru Mungu kuingilia kati na kutuondolea ibilisi Magufuli.

Nitakuwa namkufuru Mungu nikianza ulalamishi sasa hivi, dhamira ya mama inaonekana kwa macho wala huitaji propaganda kujuwa ana utu.
Hao wanaolia lia,sio watanzania,na wengi ni wavivu wakufanyakazi.
 
Binafsi naamini watu walitegemea nyayo mpya ila kivuli cha Msoga kinamuharibia na kitamuharibia mno.

Kivuli ni dhahiri ukiuliza yeyote anayempenda au asiyempenda anaona kivuli ambacho watu wasingependa kurudi huko.
 
Acheni kulia lia,Fanyeni kazi.
 
Reactions: Tui
Ni wakati muuafaka sasa ile silaha ya msaada ya kumtegemea Mungu inayo tumia MAOMBI NA KUFUNGA ikatumiwa kusadia msukumo wa kutafuta Katiba mpya. Wako wapi wacha MUNGU Tanzania wakasimama kwa maslahi ya Taifa lao.
 
Wengi bado hawajazinduka kwenye ndoto za alinacha za mwendazake.
Au ni hangover ya mwendazake.
 
Hao wanaolia lia,sio watanzania,na wengi ni wavivu wakufanyakazi.
Kwahali aliyotufikisha Magufuli kuujaza hofu umma, mtu anakufa na Corona wataalam wanalazimika kusema ni changamoto za upumuwaji, sasa Mungu ametenda na kuliponya Taifa leo tuanze kumlaumu huyu mama wakati ndio anarekebisha uharibifu uliofanywa na yule mwehu tutakuwa watu wa ajabu sana.

Au tuambiwe tatizo ni jinsia yake, dini yake au Uzanzibar wake? watu wawe wawazi wasifiche rangi zao halisi.
 
Basi achana na mitandao, LEA WAJUKUU kama umebahatika kupata.
 
Umemaliza mjadala,kama wanajifanya hawakuelewi,waache wameshakuelewa.
 
Kwasababu awamu hii ya 6 inafanana kwa kila kitu na awamu ya 4

Kilichonishanganza zaidi ni mpaka kafara zilizotumika za kushikiria uongozi zinafanana,sahiv kila siku magari yanachinja
 
Achana na propaganda ndugu. Magufuli hakuwa SI unit ya nchi kuhusu nani anafaa au hafai. Walioshika nafasi hizo ni watanzania na wana haki hiyo. Mengineyo ni porojo tu.
Kupanda kwa hali ya maisha ni porojo?wewe jamaa upo Tanganyika ama?


#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…