Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Hao wanaolia lia,sio watanzania,na wengi ni wavivu wakufanyakazi.Binafsi mimi bado namshukuru Mungu kuingilia kati na kutuondolea ibilisi Magufuli.
Nitakuwa namkufuru Mungu nikianza ulalamishi sasa hivi, dhamira ya mama inaonekana kwa macho wala huitaji propaganda kujuwa ana utu.
Acha kulia lia. Fanyakazi.Kwani ukimwaadress huyu mama utapungukiwa na nini?
Utakuta jinga kama wewe mke wako unamuita mama.
Acha uvivu,fanyakazi.sasa kwanini anaogopa katiba mpya , ambayo ndio itakayoweka msingi wa haki na utawala bora ?
Binafsi naamini watu walitegemea nyayo mpya ila kivuli cha Msoga kinamuharibia na kitamuharibia mno.Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.
Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.
Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya,au wanataka wakiiba wasiulizwe?
Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
Acheni kulia lia,Fanyeni kazi.Picha linaanza..wale waliotumbuliwa kipindi cha magu kwa kuonekana hawafai na hawana weredi..wote wamerudishwa mzigoni..pia yule mtoto wa kubwa ambaye alisifika sana kwa dili na kuuza nchi yupo mzigoni.
Serikali kutwa kutembeza bakuli..wakuambiwa wasitembeze bakuli wanakuNdugai.
Kingine porojo nyingi sana..kila kukicha hasa upande wa wizara ya mwezi wa kwanza.
Hali ya maisha haishikiki hali si swali..ila serikali inakuja na propaganda na vichaka vya kujificha ambavyo ni kovidi na vita vya urusi.
#MaendeleoHayanaChama
Bora umesema kabla jua halijazama, wataopinga wote watakula maneno yao miaka si mingi kama hatobadilika.nisiwe mnafiki,mimi niliogopa sana Makamba na Riz1 kuwa mawaziri wizara vyeti
Kwahali aliyotufikisha Magufuli kuujaza hofu umma, mtu anakufa na Corona wataalam wanalazimika kusema ni changamoto za upumuwaji, sasa Mungu ametenda na kuliponya Taifa leo tuanze kumlaumu huyu mama wakati ndio anarekebisha uharibifu uliofanywa na yule mwehu tutakuwa watu wa ajabu sana.Hao wanaolia lia,sio watanzania,na wengi ni wavivu wakufanyakazi.
Wazalendo mmekuja?🤣Hiyo awamu ya sita nani aliipigia kura
Basi achana na mitandao, LEA WAJUKUU kama umebahatika kupata.Mimi sio "age go sana", ila nina makaka na dada wanampita mbali na wengine wanalingana na huyo SHH.
Hivi wewe huoni kuna shida sehemu mtu kama Mbowe au Lissu kumuita SSH mama??
Nimekataa huo mkumbo, kwakua anapendwa kuitwa mama badala ya Rais basi mimi nitamwita dada.
Daaah! Sio mama tena?Wewe unaona sawa utawala wa huyu dada?
Umemaliza mjadala,kama wanajifanya hawakuelewi,waache wameshakuelewa.Kwahali aliyotufikisha Magufuli kuujaza hofu umma, mtu anakufa na Corona wataalam wanalazimika kusema ni changamoto za upumuwaji, sasa Mungu ametenda na kuliponya Taifa leo tuanze kumlaumu huyu mama wakati ndio anarekebisha uharibifu uliofanywa na yule mwehu tutakuwa watu wa ajabu sana.
Au tuambiwe tatizo ni jinsia yake, dini yake au Uzanzibar wake? watu wawe wawazi wasifiche rangi zao halisi.
why watu wamekaa kiwasiwasi
Mtu mvivu wa kazi,siku zote,huwa wa kulalamika.Hata ukiwa naye karibu,ni kulalamika tu.Fanyeni kazi,mpate pesa.Malalamiko hayasaidii kitu.why watu wamekaa kiwasiwasi
Kupanda kwa hali ya maisha ni porojo?wewe jamaa upo Tanganyika ama?Achana na propaganda ndugu. Magufuli hakuwa SI unit ya nchi kuhusu nani anafaa au hafai. Walioshika nafasi hizo ni watanzania na wana haki hiyo. Mengineyo ni porojo tu.