Kwanini wananchi hawana imani na awamu ya 6, kila kitu wanahisi wanapigwa?

Umenena vyema lakini ingekuwa vyema zaidi kama huu ujumbe ungefunguliwa uzi wake binafsi maana umejitosheleza sana.
 
Huyo mnemuita mama mwenyewe bado anahangaika na mitandao, labda kama umezoea kukutana na wazee wasiokuwa na kipato.
Kama Hakuna kipato chochote unachopata kupitia mitandaoni, usiipe sana mitandao umuhimu maishani mwako.
 
ivi wakuu sekeseke la katiba mpya la sasa lilianza lini
 
Acha kulia lia,ondoa uvivu.Fanyakazi.Mtu mvivu ndio analia lia.
 
serikali ya jumong inanuka harufu mbaya ya rushwa kubwakubwa
 
Umemalizia vizuri kabisaa, kwamba "...watu wakamdharau.. "
Kwahiyo, unakubaliana kwamba, kwa kiongozi kuteua watendaji wasiokubalika na wengi, au viongozi wasio waadilifu, inasababisha huyo aliyewateua kushindwa kuaminiwa na wananchi.

Na kwa wengi leo hii ni kama bado hawaelewi kusudi hasa la kuwapa nafasi viongozi walewale walioonekana hawafai kwa wakati uliopita! Tena nafasi nyeti
 
Kama Hakuna kipato chochote unachopata kupitia mitandaoni, usiipe sana mitandao umuhimu maishani mwako.
Wewe kuna kipatao unachopata kwa kudhurura kwenye kila nyuzi za jf kuanza asubuhi hadi usiku???
 
Usitusemee
 
Ni udini na ubaguzi unaowasumbua watu wengi. Nchi hii ina matatizo tangu ipate uhuru lakini Muislamu au Mzanzibari akiingia ikulu watu wanapagawa. Ndiyo historia ya nchi hii. Hao hao wananchi waliokuwa wanakufa njaa wakati wa Nyerere, walimpigia kelele Mwinyi aliposaidia kuinua uchumi.
 
Wala sio katiba mpya ila ni vijembe na vitendo vya awamu ya mama ndio vinatia shaka sio mtetezi wa umma kama magufuli. Kashasema vigogo wale kwa urefu wa kamba zao. Hapo ndio kawadhihirishia wananchi yeye ni kiongozi sampuli gani.
 
Wananchi wengi wanaona nchi inarudi kwenye enzi za fisadi Kikwete ambapo upigaji, ufisadi, wizi, uzembe, nk vilikuwa ndiyo mwendo wa kila siku.
 
Zimetengwa Trilioni 4 za maintenance Tanesco.

Na anayezisimamia ni mtu anayeimendea Ikulu.

Hizi pesa zitakuwa diverted kwenye safari ya Ikulu ya mtu.
 
Serikali hii ata mtoto mdogo atakumbia kuwa ni majizi yamejikusanya pamoja kutulindia mali zetu.
 
Mshauri wako Mkuu akiwa na Historia ya kuwa Fisadi, Mla Rushwa Mwandamizi, Mzururaji, Mswahili Mswahili, Mnafiki, Mshirikina wa Kutupwa na mpenda Anasa na Ujana uliomtupa mkono unategemea na Wewe Mkuu kuwa tofauti nae?
 
Mbona Magufuli alipokuwa hai wote mliufyata?

Msimchukulie powa kihivyo, katiba mpya ni muhimu ila si uungwana mtu amechukuwa nchi iliyoharibiwa na kichaa ukampachika Agenda zote kwa wakati mmoja, wananchi sasa tunapumuwa.
Mku. #ndu kwel wee jamaa... Kama ulivyomwita kipenz changu kichaa namim sina budi kukuita nitakavyo.. mk..** ndu kabisa wewe
 
Maon yako ni nin haswa... Kwan katiba mpya kuwepo kuna tatzo gan...?
 
Ndugu yangu, wewe kula tu kwa urefu wa kamba yako na si kuanza kuandika upumbavu hapa!
 
Reactions: nao
Ni mpumbavu pekee na mjinga tuu mwenye kukuunga mkono ktk ujinga huu uliotukukuka

Kula kwa kamba yako na utokomee na si kuandika upumbavu kama huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…