Kwanini wanandoa wengi hawawaruhusu wenza wao kuwapeleka watoto kwa wazazi wenza ?

Kwanini wanandoa wengi hawawaruhusu wenza wao kuwapeleka watoto kwa wazazi wenza ?

Didododi

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2023
Posts
347
Reaction score
465
Imekuwa ikisikika kwamba baadhi ya wanandoa huwakataza wenza wao kwenda kuwapeleka watoto kwa wazazi wenza endapo waliwahi kupata mtoto/watoto kabla ya mahusiano mapya yaliyozaa ndoa.Mfano unaishi na mtoto uliyempata na mzazi mwingine inapofika hata kipindi cha likizo unataka ukutane na mzazi mwenza mpangilie kuhusu matunzo ya mtoto na kumpatia mwanao nafasi ya kumuona mzazi wake unakuta unakatazwa na mtu wako wa ndoa hivi shida nini wakulungwa.Si ndyo kumnyima mtoto fursa ya ku interact na mzazi wake pia kuwanyima wazazi hawa nafasi ya kujadili juu ya matunzo ya mtoto wao?
 
Mwanamke mwenye uthubutu na ujasiri wa kuomba rubusa hiyo kwa mumewe, huyo anatakiwa kuachika ASAP pasipo kusubiri mjadala wa aina yeyote na kutoka kwa mtu yeyote.
Mume ni mamlaka kamili ndani ya nyumba, na mke anapaswa kutii mamlaka ikiwa alizaa kabla ya kuingia kwenye ndoa l.... basi baba wa mtoto anapaswa tu kuwasiliana na baba mlezi wa mtoto na mengine watapanga wanaume wenyewe.
 
Nikuulize mleta mada unaweza kurudi katika ardhi wakati ulishatoka kwenye ardhi yenye mgogoro?
 
Imekuwa ikisikika kwamba baadhi ya wanandoa huwakataza wenza wao kwenda kuwapeleka watoto kwa wazazi wenza endapo waliwahi kupata mtoto/watoto kabla ya mahusiano mapya yaliyozaa ndoa.Mfano unaishi na mtoto uliyempata na mzazi mwingine inapofika hata kipindi cha likizo unataka ukutane na mzazi mwenza mpangilie kuhusu matunzo ya mtoto na kumpatia mwanao nafasi ya kumuona mzazi wake unakuta unakatazwa na mtu wako wa ndoa hivi shida nini wakulungwa.Si ndyo kumnyima mtoto fursa ya ku interact na mzazi wake pia kuwanyima wazazi hawa nafasi ya kujadili juu ya matunzo ya mtoto wao?
Kwa Ufupi hiyo Bongo haipoo, Wanawake wa kibongo ,Hawa sitaki nataka, ndio ni hapana na hapana ni ndio??.


Wangekua Wazungu sawa.


Ndio maana tunasisitiza, kuoa mwanamke mwenye mtoto, ni lazima akuonyeshe kaburi la baba yake.
 
hili nalo tulijadili? una miaka mingapi shemeji? wewe mruhusu huyo wako ikibidi akalale huko huko kwa baba mtoto wake
Kwann
Mwanamke mwenye uthubutu na ujasiri wa kuomba rubusa hiyo kwa mumewe, huyo anatakiwa kuachika ASAP pasipo kusubiri mjadala wa aina yeyote na kutoka kwa mtu yeyote.
Mume ni mamlaka kamili ndani ya nyumba, na mke anapaswa kutii mamlaka ikiwa alizaa kabla ya kuingia kwenye ndoa l.... basi baba wa mtoto anapaswa tu kuwasiliana na baba mlezi wa mtoto na mengine watapanga wanaume wenyewe.
Wanasema eti heri aombe ruhusa kuliko ya kimya kimya
 
Ukijua kuna umuhimu wa kulea mtoto pamoja na mzazi mwenzako then zingatia kujenga mahusiano imara ili usipatwe na hii kadhia ya kuhangaika kuharibu mahusiano ya mtu mwingine aliyechukuzana na mwanaume au mwanamke uliyepata nae mtoto. Waache walee mtoto wako kwa amani,akikua atakutafuta. Ukishindwa ,then subiri miaka saba ipite ukachukue mtoto wako ukamlee mwenyewe.
 
Back
Top Bottom