Kwanini wanandoa wengi hawawaruhusu wenza wao kuwapeleka watoto kwa wazazi wenza ?

Kwanini wanandoa wengi hawawaruhusu wenza wao kuwapeleka watoto kwa wazazi wenza ?

Ukijua kuna umuhimu wa kulea mtoto pamoja na mzazi mwenzako then zingatia kujenga mahusiano imara ili usipatwe na hii kadhia ya kuhangaika kuharibu mahusiano ya mtu mwingine aliyechukuzana na mwanaume au mwanamke uliyepata nae mtoto. Waache walee mtoto wako kwa amani,akikua atakutafuta. Ukishindwa ,then subiri miaka saba ipite ukachukue mtoto wako ukamlee mwenyewe.
Ni kweli ila SI unajua Kuna ile unakomaa kumake sure unajenga good relationship ila shetan nae du
 
Back
Top Bottom