Kwanini wanaompokea Rais Samia huko Manyara wametokea Dar es Salaam?

Kwanini wanaompokea Rais Samia huko Manyara wametokea Dar es Salaam?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Natambua kwamba Rais Samia Ph.D, anaanza ziara ya kikazi Mkoani Manyara, hongera kwake na kwa Wenyeji wake.

Lakini cha kushangaza kwenye ziara hii ni kitendo cha Rais kupokelewa na mamia ya wakazi wa Dar es Salaam! jambo hili kwangu ni geni mno, Inakuwaje Rais apokelewe na wakazi wa Dar, Je Manyarq haina watu?

Kwamba Rais naye ameamua kusomba Watu kama anavyofanya Chongolo ili kuongeza Uwingi wa watu?

Screenshot_2023-10-13-15-32-27-1.png
Screenshot_2023-10-13-15-32-20-1.png
Screenshot_2023-10-13-15-32-16-1.png
Screenshot_2023-10-13-15-32-12-1.png
 
Nimekuelewa mkuu, hata kule India niliona team ya mapokezi pindi aliposhuka kwenye Ndege, miongoni alikuwepo January Makamba.

Hata hili nalo ni la kawaida!
Kawaida sana 😂

Ndio Netanyahu kawaambia Waisrael hii Vita ya sasa ni halisi

Maana yake mambo mengi yanayofanyika duniani huwa ni Maigizo tu
 
Labda huko watu ni wasafi, hakuna chama wa kutosha.
 
Eti mtoa mada kwa fikra hizi za viongozi, wapambe wao na wananchi kwa ujumla unafikiri ubongo wa mwafrika na hususani Mtanzania umekomaa vya kutosha kuleta maendeleo ya kweli?.

Maana nchi hii hata serikali ikijenga vyoo kwa fedha za misaada Rais anapongezwa kwa mabango na umati wa watu utafikiri amefanya jambo la kipekee.
 
Back
Top Bottom