Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu yenyewe hii hapaNimekuelewa mkuu, hata kule India niliona team ya mapokezi pindi aliposhuka kwenye Ndege, miongoni alikuwepo January Makamba.
Hata hili nalo ni la kawaida!
Jamaa ni mfupi sana aisee. Duh!.Naona st3ve anatamba tu sahvi
Ova
Natambua kwamba Mh Rais Samia Ph.D, anaanza ziara ya kikazi Mkoani Manyara, hongera kwake na kwa Wenyeji wake.
Lakini cha kushangaza kwenye ziara hii ni kitendo cha Rais kupokelewa na mamia ya wakazi wa Dar es Salaam ! jambo hili kwangu ni geni mno, Inakuwaje Rais apokelewe na wakazi wa Dar, Je Manyarq haina watu?
Kwamba Mh Rais naye ameamua kusomba Watu kama anavyofanya Chongolo ili kuongeza Uwingi wa watu ?
Cha kushangaza mnapompokea huyo Rais Dar mbona wa mikoani hamuwaaliki ?Alipo Rais wetu nasi Tupo hapo hapo.
Kwamba ili kusaidiwa nchi hii ni mpaka uonane na Rais ?Kumbe hata huelewi wanazikimbilia fursa za kuonana na mama?
Watu wakielewa tu mama ana ziara ya huku au kule, wanawahi mapema kabisa, hata mimi nikisikia na nikiwa na jambo langu nawahi kabisa, huko ndiyo pa kumpata kiwepesi...
Sikiliza kijana, hakuna mtu anayetafutwa kuonana na watu Tanzania hii zaidi ya Rais. Na hii si Tanzania tu, karibia nchi zote duniani ni hivyohivyo.Kwamba ili kusaidiwa nchi hii ni mpaka uonane na Rais ?
Huwezi ukaona kwa kuwa Dar Tu pekee yake ina wakazi zaidi ya milioni 6 ambapo kutokana na msongamano mkubwa siyo rahisi kumuona kila mtu aliyepo eneo la Tukio.Alipo Rais wetu nasi tupo hapo hapo.Cha kushangaza mnapompokea huyo Rais Dar mbona wa mikoani hamuwaaliki ?
Rais anatakiwa kupima kukubaliwa kwakwe kwa njia ya mapokezi, uungwaji mkono pamoja na kujisikia yuko nyumbani popote aendapo juu ardhi hii ya Tanzani!Natambua kwamba Rais Samia Ph.D, anaanza ziara ya kikazi Mkoani Manyara, hongera kwake na kwa Wenyeji wake...
Alafu wee Faza wewe!Sikiliza kijana, hakuna mtu anayetafutwa kuonana na watu Tanzania hii zaidi ya Rais. Na hii si Tanzania tu, karibia nchi zote dunuani ni hivyohivyo.
Watu wana mambo yao mbalimbali, usifikiri wewe kwa kuwa yako yanaweza kuishia hukuhuku mitaani basi wote ni hivyo hivyo.
Huku mtaani mfumuko wa bei unatishaa! Wacha inyeshe tuone panapovujaa!Mama amezungukwa na Machawa sijui kama anajua hali halisi ya Maisha ya dhiki wanayopitia Watanzania
Daaah!Natambua kwamba Rais Samia Ph.D, anaanza ziara ya kikazi Mkoani Manyara, hongera kwake na kwa Wenyeji wake...
YANI HUYO ANDUNJE KISTULI ANA PRACTISE UCHAWA HADI ANATIA KINYAA, KHA....Natambua kwamba Rais Samia Ph.D, anaanza ziara ya kikazi Mkoani Manyara, hongera kwake na kwa Wenyeji wake...
Kwani Tanzania ni Dar es salaamKwani Dar es salaam siyo Tanzania?
Mama amezungukwa na Machawa sijui kama anajua hali halisi ya Maisha ya dhiki wanayopitia Watanzania
Hawa chawa ndio useme mamiaNatambua kwamba Rais Samia Ph.D, anaanza ziara ya kikazi Mkoani Manyara, hongera kwake na kwa Wenyeji wake...