Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Unaotea kwenye kiti cha dalaldala, kwenye sofa kwa jirani au nyumbani kitandani?Ndoto za alinacha.hakuna katiba wala tume huru,hakuna uchaguzi.patamu hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaotea kwenye kiti cha dalaldala, kwenye sofa kwa jirani au nyumbani kitandani?Ndoto za alinacha.hakuna katiba wala tume huru,hakuna uchaguzi.patamu hapo
Ndio
Ukiniondoa mimi Tz raia wake ni waigazaji mpaka msaba halisi watu watazimia huku wameshikilia vifungashio.Natambua kwamba Rais Samia Ph.D, anaanza ziara ya kikazi Mkoani Manyara, hongera kwake na kwa Wenyeji wake.
Lakini cha kushangaza kwenye ziara hii ni kitendo cha Rais kupokelewa na mamia ya wakazi wa Dar es Salaam! jambo hili kwangu ni geni mno, Inakuwaje Rais apokelewe na wakazi wa Dar, Je Manyarq haina watu?
Kwamba Rais naye ameamua kusomba Watu kama anavyofanya Chongolo ili kuongeza Uwingi wa watu?
Chongolo kafunga kazi juzi Sumbawanga. Sijawahi kuona Mkutano wa hadhara wahudhuriaji wanalipwa 2000 na Mbunge ndo nimeiona Sumbawanga. Vijana wa stendi Kuu wamepewa jezi za kijani na 5000 ili wakashangilie, walivyorudi Stendi wakapewa jina la "WAUZA BANDARI" wakazivua.Natambua kwamba Rais Samia Ph.D, anaanza ziara ya kikazi Mkoani Manyara, hongera kwake na kwa Wenyeji wake.
Lakini cha kushangaza kwenye ziara hii ni kitendo cha Rais kupokelewa na mamia ya wakazi wa Dar es Salaam! jambo hili kwangu ni geni mno, Inakuwaje Rais apokelewe na wakazi wa Dar, Je Manyarq haina watu?
Kwamba Rais naye ameamua kusomba Watu kama anavyofanya Chongolo ili kuongeza Uwingi wa watu?
Faiza my wangu autaki kupata raha 🤣Tafadhali Fanya adabu kidogo.
Chongolo kafunga kazi juzi Sumbawanga. Sijawahi kuona Mkutano wa hadhara wahudhuriaji wanalipwa 2000 na Mbunge ndo nimeiona Sumbawanga. Vijana wa stendi Kuu wamepewa jezi za kijani na 5000 ili wakashangilie, walivyorudi Stendi wakapewa jina la "WAUZA BANDARI" wakazivua.Natambua kwamba Rais Samia Ph.D, anaanza ziara ya kikazi Mkoani Manyara, hongera kwake na kwa Wenyeji wake.
Lakini cha kushangaza kwenye ziara hii ni kitendo cha Rais kupokelewa na mamia ya wakazi wa Dar es Salaam! jambo hili kwangu ni geni mno, Inakuwaje Rais apokelewe na wakazi wa Dar, Je Manyarq haina watu?
Kwamba Rais naye ameamua kusomba Watu kama anavyofanya Chongolo ili kuongeza Uwingi wa watu?
Kwa hiyo watu wa Dar ndio WaTz wa Manyara siyo WaTzKwani Dar es salaam siyo Tanzania?
Jamaa katokea mbali
Unawajua Waandazi wewe kwenye shughuli?Kwa hiyo watu wa Dar ndio WaTz wa Manyara siyo WaTz
[emoji38] we kweli mtoto wa kariakooKijana wa kiume fanya mbinu upambane na mfumuko wa bei kivyako. Unakuwa kila kitu "maaa' "maaa" mpaka aje kukufanyia mama? Ebooo, namna gani kijana?
Alikuwa house boy wa mama Ray 😂Jamaa katokea mbali
Kutokuwa kuwa --- mpk kuwepo
Kwenye misafara [emoji1]
Ova
Hizo tisheti zimeandikwaje?Natambua kwamba Rais Samia Ph.D, anaanza ziara ya kikazi Mkoani Manyara, hongera kwake na kwa Wenyeji wake.
Lakini cha kushangaza kwenye ziara hii ni kitendo cha Rais kupokelewa na mamia ya wakazi wa Dar es Salaam! jambo hili kwangu ni geni mno, Inakuwaje Rais apokelewe na wakazi wa Dar, Je Manyarq haina watu?
Kwamba Rais naye ameamua kusomba Watu kama anavyofanya Chongolo ili kuongeza Uwingi wa watu?
Nikiwa na hela nyingi nitatafuta suruali kama steve nyerere.Natambua kwamba Rais Samia Ph.D, anaanza ziara ya kikazi Mkoani Manyara, hongera kwake na kwa Wenyeji wake.
Lakini cha kushangaza kwenye ziara hii ni kitendo cha Rais kupokelewa na mamia ya wakazi wa Dar es Salaam! jambo hili kwangu ni geni mno, Inakuwaje Rais apokelewe na wakazi wa Dar, Je Manyarq haina watu?
Kwamba Rais naye ameamua kusomba Watu kama anavyofanya Chongolo ili kuongeza Uwingi wa watu?
BWANA yupo kazini. Jiandaeni kabla ya 2025 au punde baada ya 2025 mtaona atakachofanya BWANA! Waovu hawana nafasi kwa nchiHiyo ni trela tu tena isiyokoma,
yaani ni none stop hadi 2035 wakati wa picha Kamili.
+ kuwd [emoji1] connection zikaanzia hapoAlikuwa house boy wa mama Ray [emoji23]
Watu wanapambana Kamanda
Bwana wako au bwana wake?BWANA yupo kazini. Jiandaeni kabla ya 2025 au punde baada ya 2025 mtaona atakachofanya BWANA! Waovu hawana nafasi kwa nchi