BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,417
- 3,590
SiwajuiUnawajua Waandazi wewe kwenye shughuli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SiwajuiUnawajua Waandazi wewe kwenye shughuli?
Huwepo popote kwenye shughuliSiwajui
Wakati wenu huu itumieni hii fursa vizuri,kesho ni mbali sana.Alipo Rais wetu nasi Tupo hapo hapo.
Utaondoka wewe kabla ya hiyo 2025 kamwe usimtamanie mwenzio jambo bayaBWANA yupo kazini. Jiandaeni kabla ya 2025 au punde baada ya 2025 mtaona atakachofanya BWANA! Waovu hawana nafasi kwa nchi
Naona Steve Nyerere ameanza kula matunda ya Uchawa tangu Mama Samia achukue uongozi mwaka 2021.Natambua kwamba Rais Samia Ph.D, anaanza ziara ya kikazi Mkoani Manyara, hongera kwake na kwa Wenyeji wake.
Lakini cha kushangaza kwenye ziara hii ni kitendo cha Rais kupokelewa na mamia ya wakazi wa Dar es Salaam! jambo hili kwangu ni geni mno, Inakuwaje Rais apokelewe na wakazi wa Dar, Je Manyarq haina watu?
Kwamba Rais naye ameamua kusomba Watu kama anavyofanya Chongolo ili kuongeza Uwingi wa watu?
Kazi ya mama yenu ni ipi?Kijana wa kiume fanya mbinu upambane na mfumuko wa bei kivyako. Unakuwa kila kitu "maaa' "maaa" mpaka aje kukufanyia mama? Ebooo, namna gani kijana?
Hali ni mbaya sana kwa mama Abdul.Natambua kwamba Rais Samia Ph.D, anaanza ziara ya kikazi Mkoani Manyara, hongera kwake na kwa Wenyeji wake.
Lakini cha kushangaza kwenye ziara hii ni kitendo cha Rais kupokelewa na mamia ya wakazi wa Dar es Salaam! jambo hili kwangu ni geni mno, Inakuwaje Rais apokelewe na wakazi wa Dar, Je Manyarq haina watu?
Kwamba Rais naye ameamua kusomba Watu kama anavyofanya Chongolo ili kuongeza Uwingi wa watu?
Ila aka kamtu kafupi huwa kanajiona kama ni first Born wa Mama Abdul kumbe Chawa tu.Wanaume tutafute sana pesa na kwa wale wenye familia tuhakikishe watoto wetu wanasoma kwa namna yoyote Ile na siyo kunukuru elimu.Natambua kwamba Rais Samia Ph.D, anaanza ziara ya kikazi Mkoani Manyara, hongera kwake na kwa Wenyeji wake.
Lakini cha kushangaza kwenye ziara hii ni kitendo cha Rais kupokelewa na mamia ya wakazi wa Dar es Salaam! jambo hili kwangu ni geni mno, Inakuwaje Rais apokelewe na wakazi wa Dar, Je Manyarq haina watu?
Kwamba Rais naye ameamua kusomba Watu kama anavyofanya Chongolo ili kuongeza Uwingi wa watu?
😆😆😆😆Chongolo kafunga kazi juzi Sumbawanga. Sijawahi kuona Mkutano wa hadhara wahudhuriaji wanalipwa 2000 na Mbunge ndo nimeiona Sumbawanga. Vijana wa stendi Kuu wamepewa jezi za kijani na 5000 ili wakashangilie, walivyorudi Stendi wakapewa jina la "WAUZA BANDARI" wakazivua.
Mnakwepesha jibu la msingi ambalo ni gumu kabisa!Kwani Dar es salaam siyo Tanzania?
😆😆😆😆😆Mnakwepesha jibu la msingi ambalo ni gumu kabisa!
Hana mvuto maza hata kidogoNatambua kwamba Rais Samia Ph.D, anaanza ziara ya kikazi Mkoani Manyara, hongera kwake na kwa Wenyeji wake.
Lakini cha kushangaza kwenye ziara hii ni kitendo cha Rais kupokelewa na mamia ya wakazi wa Dar es Salaam! jambo hili kwangu ni geni mno, Inakuwaje Rais apokelewe na wakazi wa Dar, Je Manyarq haina watu?
Kwamba Rais naye ameamua kusomba Watu kama anavyofanya Chongolo ili kuongeza Uwingi wa watu?