Kwanini wanaompokea Rais Samia huko Manyara wametokea Dar es Salaam?

Kwanini wanaompokea Rais Samia huko Manyara wametokea Dar es Salaam?

Eti mtoa mada kwa fikra hizi za viongozi, wapambe wao na wananchi kwa ujumla unafikiri ubongo wa mwafrika na hususani Mtanzania umekomaa vya kutosha kuleta maendeleo ya kweli?.

Maana nchi hii hata serikali ikijenga vyoo kwa fedha za misaada Rais anapongezwa kwa mabango na umati wa watu utafikiri amefanya jambo la kipekee.

hahahaha umenichekesha sana hapo kwenye ubongo wa Mwafrica hususani Mtanzania kuwa na ukomavu wa kutosha kuleta maendeleo.

Huwa nikiangalia viongozi wa mataifa makubwa yaliyoendelea hususani huko nyuma walipokuwa kwenye mapambano ya kiuchumi halafu nije nifananishe na hizi akili zetu huwa naumia sana.

Hivi kweli USA, Russia, Japan, Uingereza, Germany nk, huko nyuma wangekuwa na viongozi kama hawa sijui ingewachukua miaka mingapi kufika hapo walipo leo.
 
Natambua kwamba Rais Samia Ph.D, anaanza ziara ya kikazi Mkoani Manyara, hongera kwake na kwa Wenyeji wake.

Lakini cha kushangaza kwenye ziara hii ni kitendo cha Rais kupokelewa na mamia ya wakazi wa Dar es Salaam! jambo hili kwangu ni geni mno, Inakuwaje Rais apokelewe na wakazi wa Dar, Je Manyarq haina watu?

Kwamba Rais naye ameamua kusomba Watu kama anavyofanya Chongolo ili kuongeza Uwingi wa watu?

Steve nyerere ni nan huko chamani??
 
Back
Top Bottom