Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tumepigwa butwaa!Wamanyara mbona hawalalamiki!
Nimekuelewa mkuu, hata kule India niliona team ya mapokezi pindi aliposhuka kwenye Ndege, miongoni alikuwepo January Makamba.Kwani Dar es salaam siyo Tanzania?
Kawaida sana 😂Nimekuelewa mkuu, hata kule India niliona team ya mapokezi pindi aliposhuka kwenye Ndege, miongoni alikuwepo January Makamba.
Hata hili nalo ni la kawaida!
Kama sio Mzanzibari basi ni mzaramoWivu tu!
Wivu tu!Kama sio Mzanzibari basi ni mzaramo