Kwanini wanaompokea Rais Samia huko Manyara wametokea Dar es Salaam?


hahahaha umenichekesha sana hapo kwenye ubongo wa Mwafrica hususani Mtanzania kuwa na ukomavu wa kutosha kuleta maendeleo.

Huwa nikiangalia viongozi wa mataifa makubwa yaliyoendelea hususani huko nyuma walipokuwa kwenye mapambano ya kiuchumi halafu nije nifananishe na hizi akili zetu huwa naumia sana.

Hivi kweli USA, Russia, Japan, Uingereza, Germany nk, huko nyuma wangekuwa na viongozi kama hawa sijui ingewachukua miaka mingapi kufika hapo walipo leo.
 
Steve nyerere ni nan huko chamani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…