Kwanini wanaoruhusiwa kuchinja ni Waislamu peke yao?

Kwanini wanaoruhusiwa kuchinja ni Waislamu peke yao?

Wakristo ni watu wepesi kujamiiana/ kujumuika na watu wengine sio kwamba hawawezi kuchinja ila waislamu wana kasumba ya kutokula kilichochinjwa na watu wenye imani nyingine.

Kwahiyo wakristo wanawaita waislamu ili akikaribishwa isilete shida ndio maana machinjio yote wapo waislamu na wakristo wamekubaliana na hali hiyo ili kutoleta migogori isiyo sababu.
Ukiskia chongo kuita kengeza ndo huku sasa!

With all due respect, waislamu wana utaratibu kamili tofauti na dini nyengine zote! Kuchinja ni jambo moja, mimi ntakwambia kuanzia kuamka mpaka kulala waislamu wamefundishwa utaratibu kamili wa kila jambo, na hii namaanisha straight kutoka kwa Mtume (SAW) na sio shekhe fulani ameota au amefunuliwa.

Mfano, Ukiamka asubuhi useme na ufanye nini, ukila useme nini na ule vp, Ukitoka kwako useme nini na utoke vp, ukiwa kwenye mihangaiko yako ni kipi halali kwako na kipi haramu kwako (usipunguze katika mizani, usile riba, n.k). Ukirudi kwako useme nini na uingie vp nyumbani kwako, wasalimie watu wako kwa salamu bora itokayo kwa Mola wako (assalaam alaykum), hii ni salamu ya mitume wote waliopita including Yesu (nenda kaangalie aliwasalimia vp watu wake na hiyo salamu katika lugha yake ilitamkika vp na ilikuwa na maana gani then linganisha na salamu hii ya waislamu then utajua nani yupo karibu zaidi kimatendo na Yesu kati ya waislamu na wakristo.

The list goes on and on! so hiyo ya kuchinja kuku ni moja katika taratibu alizowekewa muislamu vp achinje na aseme nini wakati wa kuchina! na yote hayo ni kumuweka mbele Mungu katika kila unachokifanya katika maisha yako.
 
Ukiskia chongo kuita kengeza ndo huku sasa!

With all due respect, waislamu wana utaratibu kamili tofauti na dini nyengine zote! Kuchinja ni jambo moja, mimi ntakwambia kuanzia kuamka mpaka kulala waislamu wamefundishwa utaratibu kamili wa kila jambo, na hii namaanisha straight kutoka kwa Mtume (SAW) na sio shekhe fulani ameota au amefunuliwa.

Mfano, Ukiamka asubuhi useme na ufanye nini, ukila useme nini na ule vp, Ukitoka kwako useme nini na utoke vp, ukiwa kwenye mihangaiko yako ni kipi halali kwako na kipi haramu kwako (usipunguze katika mizani, usile riba, n.k). Ukirudi kwako useme nini na uingie vp nyumbani kwako, wasalimie watu wako kwa salamu bora itokayo kwa Mola wako (assalaam alaykum), hii ni salamu ya mitume wote waliopita including Yesu (nenda kaangalie aliwasalimia vp watu wake na hiyo salamu katika lugha yake ilitamkika vp na ilikuwa na maana gani then linganisha na salamu hii ya waislamu then utajua nani yupo karibu zaidi kimatendo na Yesu kati ya waislamu na wakristo.

The list goes on and on! so hiyo ya kuchinja kuku ni moja katika taratibu alizowekewa muislamu vp achinje na aseme nini wakati wa kuchina! na yote hayo ni kumuweka mbele Mungu katika kila unachokifanya katika maisha yako.
Ngoja waje wakuulize na yale majini wamefundishwa juyatumikia na nani?
Hivi utawajibuje?
 
Apendae kutukuzwa atataka afanye yote yeye ili aonekane yeye ni bora zaid ya wengine au yeye ni muhmu zaid ya wengine.
Haya yote ni ubadhilifu tu kwa Mungu kunataka roho safi na yenye kumtaka yeye siku zote
 
Kwa kuwa nyama inaliwa na wengi katika Imani tofauti, ni ili kuwahakikishia Waislamu kuwa mnyama amechinjwa bila kuteswa.
 
Ngoja waje wakuulize na yale majini wamefundishwa juyatumikia na nani?
Hivi utawajibuje?
Acha akili ndogo wewe! na yale majini mnayokurupushana nayo kule makanisani kunakuwa na muislamu pale?

Yani nyinyi tatizo lenu mnakuwa na akili ya kushikiwa kama watoto, manaambiwa waislamu wana majini na nyinyi Ameen! halafu bado hapohapo kanisani mnakurupushana na mapepo "pepo tokaaa" au na nyie pia waislamu?

Mnadanganywa ili muwaogope na kuwachukia waislamu na nyinyi bila kufikiri mnafata.
 
Utakuta watu wa Dini zingine mfano Wakristo wakiwa na vitoweo vyao wanapoitaji kuvichinja walio wengi lazima wawapeleke Waisilamu wawachinjie, ina mana wao hawaruhusiwi kuchinja?
Hakuna yoyote aliekatazwa kuchinja, kila mtu anaweza kuchinja kwa imani yake akala yeye mwenyewe. Ila wapo waliokatazwa kwa imani yao/zao kula vilivyochinjwa na watu wa imani nyingine.

Mfano A amekatazwa kula kilichochinjwa na B ila yeye B hajakatazwa kula kilichochinjwa na A, na imetokea kuna kitoweo kinachotakiwa kuchinjwa na kuliwa na wote wawili, busara itamtaka tu A ndio achinje hapo.

Ila ikitokea wakabishana basi A hana haki zaidi kuliko B hivyo kila mtu atalazimika kuchinja kitoweo chake ale mwenyewe.
 
Acha akili ndogo wewe! na yale majini mnayokurupushana nayo kule makanisani kunakuwa na muislamu pale?

Yani nyinyi tatizo lenu mnakuwa na akili ya kushikiwa kama watoto, manaambiwa waislamu wana majini na nyinyi Ameen! halafu bado hapohapo kanisani mnakurupushana na mapepo "pepo tokaaa" au na nyie pia waislamu?

Mnadanganywa ili muwaogope na kuwachukia waislamu na nyinyi bila kufikiri mnafata.
BAadhi yenu mnamiliki MAJINI na kuyatumikia.
Hayo ni ya uhakika na hayana chenga.
Ukikubali ni sawa hata ukikataa ni sawa ila ukweli haujawahi kuwa na uongo.
Weka kichwani hili
 
BAadhi yenu mnamiliki MAJINI na kuyatumikia.
Hayo ni ya uhakika na hayana chenga.
Ukikubali ni sawa hata ukikataa ni sawa ila ukweli haujawahi kuwa na uongo.
Weka kichwani hili
Mababu zako wanaokwenda kutambika kwenye miti mikubwa pia waislamu?
 
Muslim ni wendawazimu miaka flani kuna mchungaji alianzisha bucher lake nafkiri ilikuwa Geita kama sijakosea. Akasema yeye anachinja mwenyewe anaetaka anunue asietaka aache basi bhana wapenda vurugu wakaenda haribu bucher.
Asa kitu najiuliza mbona hawaharibu mabucha ya kitimoto?? Mana kama lile la ng'ombe lilokuwa limeandikwa kabisa nyama safi iliyochinjwa na mkristo walilivunja kwanini wasichome na ya nguruwe..??
Nikajua hawa jamaa ni bogazi tu huwa hawana point yoyote kwenye matakwa yao ni kutaka tu kujulikana wapo...
 
Mababu zako wanaokwenda kutambika kwenye miti mikubwa pia waislamu?
Hawana majini kama wale watu naojifanya ntakusomea albadiri kumbe ushirikina mtupu. Anyway tumshike Mungu kwa mioyo yetu yote na tuache unafiki. Roho safi itapata mwisho mwema
 
Kuchinja kuna utaratibu wake kwanza uombe ruksa kwa Mwenyezi Mungu na kunauelekeo wa kumuweke myama,pili kunajinsi ya kupitisha kisu,yaani hutakiwi uchinje kama unakata mti,ili usimpe maumivu sana mnyama unayemchinja,unashauliwa kisu kianzie chini kwenda juu na kiwe kikali
Samaki yeye maumivu yake huwa mnayapunguza vipi??na nyavu huwa mnavua kufata uwelekeo upi.??
 
Muslim ni wendawazimu miaka flani kuna mchungaji alianzisha bucher lake nafkiri ilikuwa Geita kama sijakosea. Akasema yeye anachinja mwenyewe anaetaka anunue asietaka aache basi bhana wapenda vurugu wakaenda haribu bucher.
Asa kitu najiuliza mbona hawaharibu mabucha ya kitimoto?? Mana kama lile la ng'ombe lilokuwa limeandikwa kabisa nyama safi iliyochinjwa na mkristo walilivunja kwanini wasichome na ya nguruwe..??
Nikajua hawa jamaa ni bogazi tu huwa hawana point yoyote kwenye matakwa yao ni kutaka tu kujulikana wapo...
Hivi na zile sehemu wanawake wanakojiuza na sisi kwenda kuwanunua mbona haziharibiwiiii? Au kule ni ruksa nini.
 
Utakuta watu wa Dini zingine mfano Wakristo wakiwa na vitoweo vyao wanapoitaji kuvichinja walio wengi lazima wawapeleke Waisilamu wawachinjie, ina mana wao hawaruhusiwi kuchinja?
Ndio maana uwa nawaambiaaga watu mbalimbali dunia inatakiwa kuja tanzania kujifunza namna ya kuishi kwa umoja na kuchukuliana.
Ni tz pekee muisilam atapika siku ya Eid na kumwalika mkrito aje kula au mkrito atapika siku ya chrisman atamwalika muisilam wale wote..
Kwa hili ecko sana kwa viongozi waanzilishi wa hii nchi.
 
Hivi na zile sehemu wanawake wanakojiuza na sisi kwenda kuwanunua mbona haziharibiwiiii? Au kule ni ruksa nini.
Hawa jamaa wanachagua vitu vidogo vidogo na vya kijinga..
Pombe ni haramu mbona wasiziharibu huko kwenye ma club na bar? Huli kitimoto ila unaenda kwenye madanguro.
Huli kibudu ila unaliwa jicho au unakula jicho..huu ni upuuzi
 
Hawa jamaa wanachagua vitu vidogo vidogo na vya kijinga..
Pombe ni haramu mbona wasiziharibu huko kwenye ma club na bar? Huli kitimoto ila unaenda kwenye madanguro.
Huli kibudu ila unaliwa jicho au unakula jicho..huu ni upuuzi
Mm nasema unafki ni DHAMBI NYINGINE tena kubwa itatufanya tupoteze mwelekeo.
Wamejaa unafiki sanaa.
Kufirana si kosa
Kuzini si kosa.
Kuua si kosa
Kuiba si kosa
Kupiga ramli si kosa
Kuwanga si kosa
Kusengenya si kosa

Ila kosa ni

Kula nguruwe
Kula kibudu.

Huu unafiki utapeleka watu kunako jehanam
 
Huwa tunawasanifu tu ili na wao waonekane wana majukumu....

Wakristo wanachinja vizuri tu.
 
Back
Top Bottom