Kwa Mwamposa kunahubiriwa Ushirikina.Kwani Uislamu haumtambui masiha? Wenye mafunzo ya kweli ya uislamu wanamtambuwa Masiha na ndiye anayehubiribiwa kwa Mwamposa ambaye wengi mnatambuwa kwa jina la Yesu na wengine wanamtambuwa kama Issa bin Mariam.
Wewe utakuwa ni mgeni mkuu.Mimi mwenyewe ninafuatilia hapa.ila nikuambie tu kuwa wengi wanaotendewa hususani sisi wakristu huwa tunakuwaga kama na aibu fulani hivi kwenye kushuhudia.Ukitaka kuliamini hilo,angalia ule mfano wa kwenye biblia.Walitendewa kumi lakini ni mmoja tu alierudi kwa Yesu kushukuru.Mpaka Yesu akamuuliza wale wenzio wako wapi???Kama sijakosea.Sasa wenzetu waislam wana ujasiri sana aisee.Tofauti sana na sisi wakristu
Angalia chanel yao kwenye azam aisee hata mimi nimeona hilo waislam kibao yaaniPicha muhimu
Acha unafiki napingana na wewe yaani watu wenyewe wananyanyuka kwenda kutoa ushuhuda angalia kwenye tv utaona sio wanapangwa acha mihemuko wewewanawake wana emotional sana kuliko wanaume pia wanawake wengi ndio wanaongoza kwenda kwa waganga kuhusu waislam uemtumia kigezo kujua inamaana unataka kuniambia wale wote wanaokwenda waislam ni wengi kuliko wakristo pia huenda njia ya kuvuta watu ili watu wakubali huyu jamaa ana nguvu l
Wewe unamihemuko sana wengi tu tena wengine wakifika hapo wanabadili din wazi wazi fatilia hilo mimi nimeshuhudia kwenye tv wazi kabisa na wengine swala tano kabisaa mbona kuna shehe kabisa niliona fatilia utagundua nacho semaUnajuaje kama ni Waislamu ?
Unajua kama Waislamu wengi wanatoka katika Uislamu bila kujijua ? Mpaka mtu anaenda huko ujue huyo si Muislamu tena sababu anakuwa amekiuka mafunzo ya Uislamu na kuona aliyo kuja nayo Mtume hayatoshelezi. Sasa kwa ushahidi gani utuambie hao ni Waislamu ?
Tabu ni pale unapinga wakati hujui kitu😆😆😆 shuhudia hata kupitia tv tu ujionee mwenyewe na hata wangepangwa mbona watu kibao wanapona na wengine biashara zao zinafanikiwa nina ushahidi kabisa nilishuhudia watu
Bila shaka wewe unamihemuko tu hebu heshimu imani za watu mbona nyie mnapiga mawe jiwe kule maka eti mnampiga shetani🤣🤣🤣😀😁 waarabu waliwawezaUnamwamin mtu anajiita nabii mwamposa we uliona wapi nabii akawa mnyakyusa subirin muda wa sadaka tu ufike hilo ndo lengo la yeye kupiga piga kelele
Hivi we kweli na akili zako unaamini mnyakyusa ni nabii?Bila shaka wewe unamihemuko tu hebu heshimu imani za watu mbona nyie mnapiga mawe jiwe kule maka eti mnampiga shetani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji16] waarabu waliwaweza
vazi si kigezo cha imani. ni kwa ajili ya kujisitiri. wapo wanawake wengi wakristo huvaa hivyo kusitiri miili yaoNipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha
Kweli yesu ni jibu
USSR
Wewe umeshuhudia mimi naandika elimu na uhalisia.Wewe unamihemuko sana wengi tu tena wengine wakifika hapo wanabadili din wazi wazi fatilia hilo mimi nimeshuhudia kwenye tv wazi kabisa na wengine swala tano kabisaa mbona kuna shehe kabisa niliona fatilia utagundua nacho sema
Wewe unayako tuWewe umeshuhudia mimi naandika elimu na uhalisia.
Wangapi wanashuhudia maigizo ?
Huyo jamaa ni ccm, sasa ccm na akili wapi na wapi!Hamna ukweli wowote wale wanapewa pesa kutoa ushuhuda na sio waislamu wale wengine wakristo wanatoka mikoani ile ni marketing level ambayo ni promotion kuwa makini wali serious na magonjwa wapo hospital aende
Kama una akili timamu unashindwa kutambua kitu kidogo kama icho
Kila mtu na kipawa chake alichopewa usimjaji mtu kwa kumuangalia usoni mungu humpa mtu ambaye wewe hutegemei jitafakari sana nduguHivi we kweli na akili zako unaamini mnyakyusa ni nabii?
Wajinga ndo mliwaoKila mtu na kipawa chake alichopewa usimjaji mtu kwa kumuangalia usoni mungu humpa mtu ambaye wewe hutegemei jitafakari sana ndugu
Nina yangu wakati naandika uhalisia.Wewe unayako tu
Waonyeshe wanachopaswa kuona..! ENipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha
Kweli yesu ni jibu
USSR