Kwanini wanaoshuhudia miujiza kwa Mwamposa wengi ni waislam tena wanawake?

Kwani Uislamu haumtambui masiha? Wenye mafunzo ya kweli ya uislamu wanamtambuwa Masiha na ndiye anayehubiribiwa kwa Mwamposa ambaye wengi mnatambuwa kwa jina la Yesu na wengine wanamtambuwa kama Issa bin Mariam.
Kwa Mwamposa kunahubiriwa Ushirikina.

Masihi ni mja na ni mtume wa Allah tunamuamini na tuna mkubali.
 

No logic in this
 
Waislam wanaamini Kwa haraka HIvyo inakuwa rahisi kupokea,Wakristo wameizoea sana Dini wanafanya ibada Kwa mazoea mazoea wenzetu hao wan nidhamu sana ya ibada
 
Acha unafiki napingana na wewe yaani watu wenyewe wananyanyuka kwenda kutoa ushuhuda angalia kwenye tv utaona sio wanapangwa acha mihemuko wewe
 
Wewe unamihemuko sana wengi tu tena wengine wakifika hapo wanabadili din wazi wazi fatilia hilo mimi nimeshuhudia kwenye tv wazi kabisa na wengine swala tano kabisaa mbona kuna shehe kabisa niliona fatilia utagundua nacho sema
 
Unamwamin mtu anajiita nabii mwamposa we uliona wapi nabii akawa mnyakyusa subirin muda wa sadaka tu ufike hilo ndo lengo la yeye kupiga piga kelele
Bila shaka wewe unamihemuko tu hebu heshimu imani za watu mbona nyie mnapiga mawe jiwe kule maka eti mnampiga shetani🤣🤣🤣😀😁 waarabu waliwaweza
 
Bila shaka wewe unamihemuko tu hebu heshimu imani za watu mbona nyie mnapiga mawe jiwe kule maka eti mnampiga shetani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji16] waarabu waliwaweza
Hivi we kweli na akili zako unaamini mnyakyusa ni nabii?
 
Nipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha

Kweli yesu ni jibu

USSR
vazi si kigezo cha imani. ni kwa ajili ya kujisitiri. wapo wanawake wengi wakristo huvaa hivyo kusitiri miili yao
 
Wewe unamihemuko sana wengi tu tena wengine wakifika hapo wanabadili din wazi wazi fatilia hilo mimi nimeshuhudia kwenye tv wazi kabisa na wengine swala tano kabisaa mbona kuna shehe kabisa niliona fatilia utagundua nacho sema
Wewe umeshuhudia mimi naandika elimu na uhalisia.

Wangapi wanashuhudia maigizo ?
 
Huyo jamaa ni ccm, sasa ccm na akili wapi na wapi!
 
Hivi we kweli na akili zako unaamini mnyakyusa ni nabii?
Kila mtu na kipawa chake alichopewa usimjaji mtu kwa kumuangalia usoni mungu humpa mtu ambaye wewe hutegemei jitafakari sana ndugu
 
Nipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha

Kweli yesu ni jibu

USSR
Waonyeshe wanachopaswa kuona..! E
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…