Kwanini wanaoshuhudia miujiza kwa Mwamposa wengi ni waislam tena wanawake?

Ni rahisi zaidi Mwislam kupokea Uponyaji kuliko Mkristu!

1.Wakristu kwa tofauti za Madhehebu yetu, inafanya tuwe na Vikao vingi mioyoni mwetu...." Hivi kweli maji yenye Upako yataniponya!?" Mbona Padre alinambia mafuta ya Upako ni Usanii?* N.k....

2.Mwislam yy Hana Vikao hivyo,. Akiona Ndugu jamaa ama rafiki kapona, akimuuliza anamwambia Wewe amini Yesu atakuponya, anaambiwa ukiamini tu umepona, ataona Shuhuda atakuza Imani yake, atakua na Imani isiyoyumba na siku yake anapokea Uponyaji!!

Waislam wanapokea Uponyaji wanaendelea na Uislam wao, wanaopenda wanabadirisha dini!
 
Ila kuwa Muislam inataka moyo sana, mambo ya kuamini majini sjyo mchezo
 
Nipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha

Kweli yesu ni jibu

USSR
Mkuu ile inaitwa Stage Managed, yaani Kwenye Mikutano ya Jamaa wale wabao toa shuhuda ni watu kutoka sehemu nyingine kabisa.

Kama yuko Singida watakao toa ushuhuda lazima awachukue Mwanza, au Arusha au kwingine,
 
Aibu gani? Wacha kuw Brainwash, wale ni watu wanaandaliwa na huwa wanachukuliwa mbali kabisa, Akiwa Arusha usitarajie kuona mtu kapona unaye mjua never, ni watu wanayoa ushuhuda lakini ni sura ngeni kabisa.

Zile ni trick za ku attract watu hakuna miujiza wala nini
 
Wale sio Waisilamu ila kinacho fanyika wanapachikwa majina ya Kiisilamu na wanavalishwa kabisa na mavazi, Zile ni trick na inasikitisha kwamba asilimia kubwa ya watu wanaingia kwenye ile mitego
 
Hayo ni maigizo ili watu wenye uwezo mdogo wa kuchanganua waende wakapigwe,In short hiyo ni biashara watu wanapangwa watoe shuhuda wasizoshuhudia na wanalipwa kwa hayo.
Yes wale wato miujiza huwa ni wako trained kabisa na kama anafanya mkutano Bukoba basi wato miujiza watatolewa hata Mwanza au Kigoma, make anajua akitumia wa pale pale watu watashituka
 
Kumbe unajua,
 

mnapotaja idadi ya waislam huwa mnakuwa mmezingatia kiwango chao cha imani!!!au majina kwanza??

unafiki ndugu zetu hautawafikisha popote.
binafsi simwamini mwamposa,lakini pia siwezi kuwa na shaka na imani za wanaoenda pale maana mimi sio muumba wao.
 
Hizi ndio nyakati ambazo mwanadamu anatakiwa matumizi yake ya akili yawe juu kuliko hisia.........kwani nyakati hizi zinapoishia fikra zako katika kutafakari ndio unapoanzia mtaji wa watu kutafakari kwa niaba yako kwa faida yao.......

by Kikulacho chako (JF Member)
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Je wale wanao amini kuwa kuna majini wazuri na wabaya utawafanya nini?
Utapeli kwa mwamvuli wa Dini nitaukomesha. Sijui KUSAFISHA NYOTA nk nawaondoa na kiwafuta kwenye uso wa Dunia.
 
mnapotaja idadi ya waislam huwa mnakuwa mmezingatia kiwango chao cha imani!!!au majina kwanza??
Imani.
unafiki ndugu zetu hautawafikisha popote.
binafsi simwamini mwamposa,lakini pia siwezi kuwa na shaka na imani za wanaoenda pale maana mimi sio muumba wao.
Sababu wewe ni mjinga katika hili.
 
Mimi nina ushuhuda wa jirani yangu alienda hadi Muhimbili hakupona na ameponea kwa Mwamposa
 
Mimi nina ushuhuda wa jirani yangu alienda hadi Muhimbili hakupona na ameponea kwa Mwamposa

tatizo gani mkuu??

maana Yesu alizurula kueneza injili,njiani akatenda miujiza.
hawa ndugu zetu kwa sasa wamekaa ktk mahekalu yao wanasubiri wagonjwa wawafate,na mahubiri ni kuhusu kufanikiwa kimaisha na mali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…