Mkuu ile inaitwa Stage Managed, yaani Kwenye Mikutano ya Jamaa wale wabao toa shuhuda ni watu kutoka sehemu nyingine kabisa.Nipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha
Kweli yesu ni jibu
USSR
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwamposa ni TAPELI, Nikija kuwa Rais watu kama wale ni JELA milele.
Aibu gani? Wacha kuw Brainwash, wale ni watu wanaandaliwa na huwa wanachukuliwa mbali kabisa, Akiwa Arusha usitarajie kuona mtu kapona unaye mjua never, ni watu wanayoa ushuhuda lakini ni sura ngeni kabisa.Wewe utakuwa ni mgeni mkuu.Mimi mwenyewe ninafuatilia hapa.ila nikuambie tu kuwa wengi wanaotendewa hususani sisi wakristu huwa tunakuwaga kama na aibu fulani hivi kwenye kushuhudia.Ukitaka kuliamini hilo,angalia ule mfano wa kwenye biblia.Walitendewa kumi lakini ni mmoja tu alierudi kwa Yesu kushukuru.Mpaka Yesu akamuuliza wale wenzio wako wapi???Kama sijakosea.Sasa wenzetu waislam wana ujasiri sana aisee.Tofauti sana na sisi wakristu
Wale sio Waisilamu ila kinacho fanyika wanapachikwa majina ya Kiisilamu na wanavalishwa kabisa na mavazi, Zile ni trick na inasikitisha kwamba asilimia kubwa ya watu wanaingia kwenye ile mitegoUnajuaje kama ni Waislamu ?
Unajua kama Waislamu wengi wanatoka katika Uislamu bila kujijua ? Mpaka mtu anaenda huko ujue huyo si Muislamu tena sababu anakuwa amekiuka mafunzo ya Uislamu na kuona aliyo kuja nayo Mtume hayatoshelezi. Sasa kwa ushahidi gani utuambie hao ni Waislamu ?
Yes wale wato miujiza huwa ni wako trained kabisa na kama anafanya mkutano Bukoba basi wato miujiza watatolewa hata Mwanza au Kigoma, make anajua akitumia wa pale pale watu watashitukaHayo ni maigizo ili watu wenye uwezo mdogo wa kuchanganua waende wakapigwe,In short hiyo ni biashara watu wanapangwa watoe shuhuda wasizoshuhudia na wanalipwa kwa hayo.
Kumbe unajua,Hamna ukweli wowote wale wanapewa pesa kutoa ushuhuda na sio waislamu wale wengine wakristo wanatoka mikoani ile ni marketing level ambayo ni promotion kuwa makini wali serious na magonjwa wapo hospital aende
Kama una akili timamu unashindwa kutambua kitu kidogo kama icho
Unajuaje kama ni Waislamu ?
Unajua kama Waislamu wengi wanatoka katika Uislamu bila kujijua ? Mpaka mtu anaenda huko ujue huyo si Muislamu tena sababu anakuwa amekiuka mafunzo ya Uislamu na kuona aliyo kuja nayo Mtume hayatoshelezi. Sasa kwa ushahidi gani utuambie hao ni Waislamu ?
Utapeli kwa mwamvuli wa Dini nitaukomesha. Sijui KUSAFISHA NYOTA nk nawaondoa na kiwafuta kwenye uso wa Dunia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Je wale wanao amini kuwa kuna majini wazuri na wabaya utawafanya nini?
Umeona eenhh?!!!. Mjanja yule hawezi kwenda Hospitalini kwasababu huko kuna wagonjwa kweli kweli.Wangempa kitengo pale muhimbili hospital aponye magonjwa sugu ndio tungejua yeye mwamba,sio hizo drama za kupanga watu anazozifanya huko mafichoni kawe.
Ukiwaza hivyo huwezi kuwa Rais.Mungu hataki hivyo,Jifunze Hekima ya MUNGU ya kumuacha mtu afanye yake Japo hukubaliani nae.Mwamposa ni TAPELI, Nikija kuwa Rais watu kama wale ni JELA milele.
Imani.mnapotaja idadi ya waislam huwa mnakuwa mmezingatia kiwango chao cha imani!!!au majina kwanza??
Sababu wewe ni mjinga katika hili.unafiki ndugu zetu hautawafikisha popote.
binafsi simwamini mwamposa,lakini pia siwezi kuwa na shaka na imani za wanaoenda pale maana mimi sio muumba wao.
Sawa ila ndo tunawaongoza we na baba ako tangu unazliwaHuyo jamaa ni ccm, sasa ccm na akili wapi na wapi!
Mimi nina ushuhuda wa jirani yangu alienda hadi Muhimbili hakupona na ameponea kwa Mwamposamnapotaja idadi ya waislam huwa mnakuwa mmezingatia kiwango chao cha imani!!!au majina kwanza??
unafiki ndugu zetu hautawafikisha popote.
binafsi simwamini mwamposa,lakini pia siwezi kuwa na shaka na imani za wanaoenda pale maana mimi sio muumba wao.
Imani.
Sababu wewe ni mjinga katika hili.
Mimi nina ushuhuda wa jirani yangu alienda hadi Muhimbili hakupona na ameponea kwa Mwamposa