Kwanini wanasisasa wa upinzani wamepoteza mvuto katika jamii? Ni uthibitisho kuwa jamii haiwaamini tena?

Kwanini wanasisasa wa upinzani wamepoteza mvuto katika jamii? Ni uthibitisho kuwa jamii haiwaamini tena?

Zamani wanasiasa wa upinzani walikuwa wakisimama kuongea ulikuwa unaona jamii nzima inazizima. Na kila mtu anaona wameongea hoja za msingi.

Siku hizi hakuna anayeona kama kuna la msingi wameongea na jamii ina wapuuza huku ikiwaponda kimoyomoyo na kimaneno.

Mfano ni Halima Mdee anaongea pumba tupu bungeni,Zitto Kabwe anakosa point mpaka andanganya mafuriko ya rufiji yalisababishwa na bwawa la stieglers kubomoka. Mbowe analialia kama mtoto, maana habari za kampuni yake binafsi kufungiwa akaunti zinatuhusu vipi?

Kipi kinawasibu hawa watanzania?
Mdee ni mwanachama wa chama cha ndugai au naye ndugai unashindana naye
 
Zamani wanasiasa wa upinzani walikuwa wakisimama kuongea ulikuwa unaona jamii nzima inazizima. Na kila mtu anaona wameongea hoja za msingi.

Siku hizi hakuna anayeona kama kuna la msingi wameongea na jamii ina wapuuza huku ikiwaponda kimoyomoyo na kimaneno.

Mfano ni Halima Mdee anaongea pumba tupu bungeni,Zitto Kabwe anakosa point mpaka andanganya mafuriko ya rufiji yalisababishwa na bwawa la stieglers kubomoka. Mbowe analialia kama mtoto, maana habari za kampuni yake binafsi kufungiwa akaunti zinatuhusu vipi?

Kipi kinawasibu hawa watanzania?
Mbowe kabla hata ya kujisafisha na uongo wake wa kulewa na kuangushwa na konyagi kisha kulitangazia taifa kwamba amepigwa na wasiojulikana, amekuja na igizo jingine kwamba alifilisiwa na akaunti zake zote zilifungwa na TRA!!

Kama ni kweli alikuwa wapi kuyasema haya? Badala yake akawa anaitisha press conference akiwa amevaa gloves feki huku akiwa amejifungia kwenye lockdown hewa.

Ina maana Mbowe alikuwa tayari kuita waandishi wa habari na kuwaelezea alivyokimbia bunge na kwenda lockdown uchwara kuliko kuwaelezea alivyofungiwa akaunti zake zote ikiwemo ya mshahara?

Mbowe hili ni taifa la watu wanaojitambua na kamwe hutafanikiwa kwenye hiyo biashara yako mpya uliyokula 10% ili ulete chanjo ya corona nchini.
 
@idundugu yangu, bado tu unatumika? Kwani kile kitengo cha 7000 bado kinapiga kazi?


Wewe ni wa hiyo sana. Dakekizako
 
Zamani wanasiasa wa upinzani walikuwa wakisimama kuongea ulikuwa unaona jamii nzima inazizima. Na kila mtu anaona wameongea hoja za msingi.

Siku hizi hakuna anayeona kama kuna la msingi wameongea na jamii ina wapuuza huku ikiwaponda kimoyomoyo na kimaneno.

Mfano ni Halima Mdee anaongea pumba tupu bungeni,Zitto Kabwe anakosa point mpaka andanganya mafuriko ya rufiji yalisababishwa na bwawa la stieglers kubomoka. Mbowe analialia kama mtoto, maana habari za kampuni yake binafsi kufungiwa akaunti zinatuhusu vipi?

Kipi kinawasibu hawa watanzania?
Tunamwamini marehemu aliyeugua kisirisiri na kufa kisisiri.
 
Zamani wanasiasa wa upinzani walikuwa wakisimama kuongea ulikuwa unaona jamii nzima inazizima. Na kila mtu anaona wameongea hoja za msingi.

Siku hizi hakuna anayeona kama kuna la msingi wameongea na jamii ina wapuuza huku ikiwaponda kimoyomoyo na kimaneno.

Mfano ni Halima Mdee anaongea pumba tupu bungeni,Zitto Kabwe anakosa point mpaka andanganya mafuriko ya rufiji yalisababishwa na bwawa la stieglers kubomoka. Mbowe analialia kama mtoto, maana habari za kampuni yake binafsi kufungiwa akaunti zinatuhusu vipi?

Kipi kinawasibu hawa watanzania?
Sometimes come out with some thinkable point!! Not this thrash. Talking like Facebook boy
 
Zamani wanasiasa wa upinzani walikuwa wakisimama kuongea ulikuwa unaona jamii nzima inazizima. Na kila mtu anaona wameongea hoja za msingi.

Siku hizi hakuna anayeona kama kuna la msingi wameongea na jamii ina wapuuza huku ikiwaponda kimoyomoyo na kimaneno.

Mfano ni Halima Mdee anaongea pumba tupu bungeni,Zitto Kabwe anakosa point mpaka andanganya mafuriko ya rufiji yalisababishwa na bwawa la stieglers kubomoka. Mbowe analialia kama mtoto, maana habari za kampuni yake binafsi kufungiwa akaunti zinatuhusu vipi?

Kipi kinawasibu hawa watanzania?
Tatizo la upinzani hawatumii sayansi ya siasa katika mapambano yao na hawasomi mazingira na upepo wa siasa badala yake huvamia na kuropoka bila kufanya uchambuzi wa reaction ya jamii kwa wanayosema.dr silaa aliweza kwenda kisayansi lakini siyo Mbowe, Zito, nk. A lon way to go. Angalia kumsema hayati Magufuli kisiasa haiwalipi zaidi ya kujichafua soma mood ya watanzania baba vinginevyo unaweza kujifanyia political suicide
 
Tatizo la upinzani hawatumii sayansi ya siasa katika mapambano yao na hawasomi mazingira na upepo wa siasa badala yake huvamia na kuropoka bila kufanya uchambuzi wa reaction ya jamii kwa wanayosema.dr silaa aliweza kwenda kisayansi lakini siyo Mbowe, Zito, nk. A lon way to go. Angalia kumsema hayati Magufuli kisiasa haiwalipi zaidi ya kujichafua soma mood ya watanzania baba vinginevyo unaweza kujifanyia political suicide
Swadakta.
 
Zamani wanasiasa wa upinzani walikuwa wakisimama kuongea ulikuwa unaona jamii nzima inazizima. Na kila mtu anaona wameongea hoja za msingi.

Siku hizi hakuna anayeona kama kuna la msingi wameongea na jamii ina wapuuza huku ikiwaponda kimoyomoyo na kimaneno.

Mfano ni Halima Mdee anaongea pumba tupu bungeni,Zitto Kabwe anakosa point mpaka andanganya mafuriko ya rufiji yalisababishwa na bwawa la stieglers kubomoka. Mbowe analialia kama mtoto, maana habari za kampuni yake binafsi kufungiwa akaunti zinatuhusu vipi?

Kipi kinawasibu hawa watanzania?
Sukuma Gang mumeishiwa hoja sasa,mlianza kumnunia Samia naye kawadharau tu mnaanza kujipendekeza pendekeza kwake kwa kuanza kuwasema wapinzani ambao hawapo kwenye Serikali mpo wenyewe tu. Tuliwaambia kuwa Rais wa JMT ni Mama Samia,huo ndiyo ukweli wenyewe au nasema uongo nyie wahutu mnaojivika Usukuma? Hamtaki rudini kwenu Burundi.
 
Zamani wanasiasa wa upinzani walikuwa wakisimama kuongea ulikuwa unaona jamii nzima inazizima. Na kila mtu anaona wameongea hoja za msingi.

Siku hizi hakuna anayeona kama kuna la msingi wameongea na jamii ina wapuuza huku ikiwaponda kimoyomoyo na kimaneno.

Mfano ni Halima Mdee anaongea pumba tupu bungeni,Zitto Kabwe anakosa point mpaka andanganya mafuriko ya rufiji yalisababishwa na bwawa la stieglers kubomoka. Mbowe analialia kama mtoto, maana habari za kampuni yake binafsi kufungiwa akaunti zinatuhusu vipi?

Kipi kinawasibu hawa watanzania?
Acha uongo, Mdee ni chama kipi cha upinzani? Ndugayi Part? Alafu Mbowe na Zitto hawapo bungeni, kalete uongo mwingine! Pia kama Wewe siyo pepo, hiyo watu kuponda upinzani kimoyo moyo umeisomaje?!
 
Zamani wanasiasa wa upinzani walikuwa wakisimama kuongea ulikuwa unaona jamii nzima inazizima. Na kila mtu anaona wameongea hoja za msingi.

Siku hizi hakuna anayeona kama kuna la msingi wameongea na jamii ina wapuuza huku ikiwaponda kimoyomoyo na kimaneno.

Mfano ni Halima Mdee anaongea pumba tupu bungeni,Zitto Kabwe anakosa point mpaka andanganya mafuriko ya rufiji yalisababishwa na bwawa la stieglers kubomoka. Mbowe analialia kama mtoto, maana habari za kampuni yake binafsi kufungiwa akaunti zinatuhusu vipi?

Kipi kinawasibu hawa watanzania?
Zamani zipi hizo? Usisahau uchaguzi mkuu ulikuwa takribani miezi 5 tu iliyopita na pasi shaka unajua kilichotokea katika uchaguzi huo pamoja na umma kufungiwa kapuni kwa miaka 5 net
 
Jamii imewapuuza.hawana jipya labda wakija wengine wenye ushawishi wa sera nzuri kama alivyokua Dr.Slaa.
 
Back
Top Bottom