900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
job ndugaiNitajie mpinzani ata mmoja apa Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
job ndugaiNitajie mpinzani ata mmoja apa Tanzania
usivyo na adabu mtoto aliyelelewa na single mothers utamjua tu huwa anavyochungulia mamake akikazwa na bahariaNakuka za makalioni kama mama yako anavyopewa.
Kumbe huko ufipani wote mlishaunga juhudii??job ndugai
Nawe unafanania vile unapost vitu vya kubeza ili upate kimlija cha kunyonye lkn aah ndio hivyo huna nyota inakubidi utie unafki kama hivi wakukumbuke anyway kazi nzuri lkn.Zamani wanasiasa wa upinzani walikuwa wakisimama kuongea ulikuwa unaona jamii nzima inazizima. Na kila mtu anaona wameongea hoja za msingi.
Siku hizi hakuna anayeona kama kuna la msingi wameongea na jamii ina wapuuza huku ikiwaponda kimoyomoyo na kimaneno.
Mfano ni Halima Mdee anaongea pumba tupu bungeni,Zitto Kabwe anakosa point mpaka andanganya mafuriko ya rufiji yalisababishwa na bwawa la stieglers kubomoka. Mbowe analialia kama mtoto, maana habari za kampuni yake binafsi kufungiwa akaunti zinatuhusu vipi?
Kipi kinawasibu hawa watanzania?
Hata wewe pia post yako imekosa mvuto pia haina mashiko ni hoja dhaifu.Zamani wanasiasa wa upinzani walikuwa wakisimama kuongea ulikuwa unaona jamii nzima inazizima. Na kila mtu anaona wameongea hoja za msingi.
Siku hizi hakuna anayeona kama kuna la msingi wameongea na jamii ina wapuuza huku ikiwaponda kimoyomoyo na kimaneno.
Mfano ni Halima Mdee anaongea pumba tupu bungeni,Zitto Kabwe anakosa point mpaka andanganya mafuriko ya rufiji yalisababishwa na bwawa la stieglers kubomoka. Mbowe analialia kama mtoto, maana habari za kampuni yake binafsi kufungiwa akaunti zinatuhusu vipi?
Kipi kinawasibu hawa watanzania?
Kwa jinsi walivyojitanabaisha kwenye msiba wa magufuli,wamejiweka katika hali ya kutoaminika tenaZamani wanasiasa wa upinzani walikuwa wakisimama kuongea ulikuwa unaona jamii nzima inazizima. Na kila mtu anaona wameongea hoja za msingi.
Siku hizi hakuna anayeona kama kuna la msingi wameongea na jamii ina wapuuza huku ikiwaponda kimoyomoyo na kimaneno.
Mfano ni Halima Mdee anaongea pumba tupu bungeni,Zitto Kabwe anakosa point mpaka andanganya mafuriko ya rufiji yalisababishwa na bwawa la stieglers kubomoka. Mbowe analialia kama mtoto, maana habari za kampuni yake binafsi kufungiwa akaunti zinatuhusu vipi?
Kipi kinawasibu hawa watanzania?
Kujiliwaza kutakusaidia tu kupata japo lepe la usingizi.Mbona Zitto na Mbowe wameongea juzi ila kama wamepuuzwa na jamii?
Maybe!!Stupid.