Kwanini wanasisasa wa upinzani wamepoteza mvuto katika jamii? Ni uthibitisho kuwa jamii haiwaamini tena?

Kwanini wanasisasa wa upinzani wamepoteza mvuto katika jamii? Ni uthibitisho kuwa jamii haiwaamini tena?

Unaweza kujitekenya na ukacheka mwenyewe. Waachie mikutano yote ya ndani na hadhara uone moto wa upinzani? Kwani kwenye campaign hamkuona? Upinzani haujafa ccm kuweni macho.
 
Zamani wanasiasa wa upinzani walikuwa wakisimama kuongea ulikuwa unaona jamii nzima inazizima. Na kila mtu anaona wameongea hoja za msingi.

Siku hizi hakuna anayeona kama kuna la msingi wameongea na jamii ina wapuuza huku ikiwaponda kimoyomoyo na kimaneno.

Mfano ni Halima Mdee anaongea pumba tupu bungeni,Zitto Kabwe anakosa point mpaka andanganya mafuriko ya rufiji yalisababishwa na bwawa la stieglers kubomoka. Mbowe analialia kama mtoto, maana habari za kampuni yake binafsi kufungiwa akaunti zinatuhusu vipi?

Kipi kinawasibu hawa watanzania?
Nawe unafanania vile unapost vitu vya kubeza ili upate kimlija cha kunyonye lkn aah ndio hivyo huna nyota inakubidi utie unafki kama hivi wakukumbuke anyway kazi nzuri lkn.
 
Zamani wanasiasa wa upinzani walikuwa wakisimama kuongea ulikuwa unaona jamii nzima inazizima. Na kila mtu anaona wameongea hoja za msingi.

Siku hizi hakuna anayeona kama kuna la msingi wameongea na jamii ina wapuuza huku ikiwaponda kimoyomoyo na kimaneno.

Mfano ni Halima Mdee anaongea pumba tupu bungeni,Zitto Kabwe anakosa point mpaka andanganya mafuriko ya rufiji yalisababishwa na bwawa la stieglers kubomoka. Mbowe analialia kama mtoto, maana habari za kampuni yake binafsi kufungiwa akaunti zinatuhusu vipi?

Kipi kinawasibu hawa watanzania?
Hata wewe pia post yako imekosa mvuto pia haina mashiko ni hoja dhaifu.
 
Zamani wanasiasa wa upinzani walikuwa wakisimama kuongea ulikuwa unaona jamii nzima inazizima. Na kila mtu anaona wameongea hoja za msingi.

Siku hizi hakuna anayeona kama kuna la msingi wameongea na jamii ina wapuuza huku ikiwaponda kimoyomoyo na kimaneno.

Mfano ni Halima Mdee anaongea pumba tupu bungeni,Zitto Kabwe anakosa point mpaka andanganya mafuriko ya rufiji yalisababishwa na bwawa la stieglers kubomoka. Mbowe analialia kama mtoto, maana habari za kampuni yake binafsi kufungiwa akaunti zinatuhusu vipi?

Kipi kinawasibu hawa watanzania?
Kwa jinsi walivyojitanabaisha kwenye msiba wa magufuli,wamejiweka katika hali ya kutoaminika tena
 
Nawe unafanania vile unapost vitu vya kubeza ili upate kimlija cha kunyonye lkn aah ndio hivyo huna nyota inakubidi utie unafki kama hivi wakukumbuke anyway kazi nzuri lkn.
Stupid.
 
Back
Top Bottom