Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,804
- 2,128
Huenda nawe ni DC hivi! Hii ni Hasara kwako Taifa kuwa na watu wanafikiri kiwango hiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatufanya wajinga wakati wanajuanaMdee ni mwanachama wa chama cha ndugai au naye ndugai unashindana naye
Atafanyaje wakati ndiyo kitengo kinamwingizia mkate wake wa kila siku?@idundugu yangu, bado tu unatumika? Kwani kile kitengo cha 7000 bado kinapiga kazi?
Wewe ni wa hiyo sana. Dakekizako
Ni MtanzaniaWewe ni binadamu?
Kwani wewe ni chawa?Wewe ni binadamu?
Wewe ungekuwa unajitambua kamwe husingeikataa report ya CAGKila siku nakuambia wewe ni bwege usiyejitambua.
He isSometimes come out with some thinkable point!! Not this thrash. Talking like Facebook boy
Yule ndiye mwambaMbowe alitoa hotuba ya statesman!! It was a true speech of the year!!
CHADEMA ndiyo tumaini la Watanzania wapenda haki na mshikamano.CdM will always be respected!!
Ebu toa ngonjera zenu hizo nyinyi Mataga wa lumumbaTatizo la upinzani hawatumii sayansi ya siasa katika mapambano yao na hawasomi mazingira na upepo wa siasa badala yake huvamia na kuropoka bila kufanya uchambuzi wa reaction ya jamii kwa wanayosema.dr silaa aliweza kwenda kisayansi lakini siyo Mbowe, Zito, nk. A lon way to go. Angalia kumsema hayati Magufuli kisiasa haiwalipi zaidi ya kujichafua soma mood ya watanzania baba vinginevyo unaweza kujifanyia political suicide
Pipa na funiko mnapongezanaSwadakta.
Huyu ni sawa na bendera tuHuo ni mtizamo wako na mipaka ya fikra zako. umejenga image endelea kuamini hivo.
Umejuwaje?[emoji23][emoji23][emoji23]Sukuma Gang mumeishiwa hoja sasa,mlianza kumnunia Samia naye kawadharau tu mnaanza kujipendekeza pendekeza kwake kwa kuanza kuwasema wapinzani ambao hawapo kwenye Serikali mpo wenyewe tu. Tuliwaambia kuwa Rais wa JMT ni Mama Samia,huo ndiyo ukweli wenyewe au nasema uongo nyie wahutu mnaojivika Usukuma? Hamtaki rudini kwenu Burundi.
ThubuuutuuuuuuKama CCM inajiamini turudie uchaguzi mkuu wa 2020.
Ulitaka hiyo jamii ifanyeje labda? Umemuona mfanyabiashara yeyote mkubwa akijitokeza kupingana na Mbowe? Ni mwananchi gani anayejielewa aliyempuuza Mbowe? Ni kwa vipi Zitto kapuuzwa na wapi?Mbona Zitto na Mbowe wameongea juzi ila kama wamepuuzwa na jamii?
Mwacheni aendelee kuotaAcha uongo, Mdee ni chama kipi cha upinzani? Ndugayi Part? Alafu Mbowe na Zitto hawapo bungeni, kalete uongo mwingine! Pia kama Wewe siyo pepo, hiyo watu kuponda upinzani kimoyo moyo umeisomaje?!
Bado yupo usingiziniKwani mzee Halima Mdee ni mbunge wa upinzani? Chama kipi cha upinzani? Yule mzee Halima yuko CCM kwa Sasa.
Mkuu muwache huyo aendelee kusinziaZamani zipi hizo? Usisahau uchaguzi mkuu ulikuwa takribani miezi 5 tu iliyopita na pasi shaka unajua kilichotokea katika uchaguzi huo pamoja na umma kufungiwa kapuni kwa miaka 5 net