Mama anatekeleza ilani, na kazi lazima iendelee.
Ilani ya CCM tangu 2015 ilisema wataendeleza mchakato wa katiba mpya
Legacy ya shujaa wa Afrika kwa taifa letu, itabaki kizazi na kizazi.As long as amewaacha mamuluki akia Kasim, basi ameliwa . she has to take note of that!
Ndio maana tulishauri apangue "MASALIA YOTE YA MEKO" kama anataka kwenda mbele ,aiendelea kuwakumbatia lazima watamuingiza CHAKA maana hawawezi kwenda tofauti na MEKO maana watanekana MANDUMILAKUWILI.
Kama ya Idd Amin! Mobutu? Hitler? Mussolin? and the like! au tu define legacy kwanza?Legacy ya shujaa wa Afrika kwa taifa letu, itabaki kizazi na kizazi.
Meko ni nani?
Masalia ni kina nani?
Rais SSH amekua akifanya kazi na nani kabla ya kuwa rais?