Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
- Thread starter
- #41
Hivi matendo maovu yaliyo jitokeza baada ya 2015 ndizo ahadi walizoweka kwa pamoja Magu na mama?Aisee tulieni kidogo, mama anailani mkononi ambayo anatakiwa kuitekeleza kama walivyo ahidi yeye na Magu kwenye uchaguzi ulioisha. Asipo tekeleza walicho ahidi atakuwa ma maswali ya kujibu 2025.
Kwasasa sio rahisi kwenda kinyume na mipango ya jpm ambayo waliahidi pamoja kwenye kampeni.
Sidhani kama ni kweli, hayo hayakuwepo kwenye ilani bali yalikuwa yake mwenyewe JPM na mama kesha onyesha hayataki lakini wasaidizi wanataka ayaendeleze