Kwanini wanataka kuzuia Rais Samia Suluhu asiende kinyume na Hayati Magufuli?

Kwanini wanataka kuzuia Rais Samia Suluhu asiende kinyume na Hayati Magufuli?

Ni ukweli usiofichika kuwa kuna mkakati wa ndani ya Bunge na baadhi ya Mawaziri wakiongozwa na PM mwenyewe kum pre empty Rais Mama Samia ili ajikute anafanya kazi bila kwenda kinyume na mtangulizi wake JPM...
Kwa nn aende kinyume? Unataka airudishe nchi msoga..kwenye shamba la bibi au? Unataka aache kukamilisha mirad mikubwa ya kimkakati alioiacha jpm? Unataka wezi waanze kuiuza nchi yetu?

Kaa kimyaa tuache tuiendeleze nchi yetu.
 
Kamanda hivi mnafikiri kwa upuuzi mnaweza kuifitinisha serikali? Muda unakuja, hamtapata mnayoyata mrudie kazi yenu ya ramli na matusi
Mkuu lazima hivi sasa muwe na mawazo chanya. Siyo kila wakati ni wa kukejeli. Tunahiaji Kiongozi mwenye kufuata Katiba na Sheria za Nchi.

Endapo Mama nae atawasikiliza hao Masalia wa mwendazake tujiandae kwa pigo lingine toka kwa Muumba wetu.
 
Rekebisha hapo hakuna ilani ilowaweka madarakani ila walipora madaraka na kulazimisha ushindi.
Hayo ni maoni yako!

Tunajua kuwa waliomba kura kwa kutangaza ilani ya CCM kuwa mkituchagua sisi tutafanya mambo haya. Samia alipiga kampeini sana kwenye kanda ya kusini, Magufuli akapiga kampeini kanda ya kati, Magharibi na ya kanda ya ziwa, wakati Majaliwa akipiga kampeini kanda ya pwani na kaskazini.

Baada ya uchaguzi matokeo yakawa kuwa walipata silimia 84% na kuingia madarakani. Sasa kama hukubaliani na matokeo hayo, huo ni utaratibu mwingine tena, ila tunajua kuwa walinadi ilani yao wakachaguliwa na kuingia madarakani.
 
Ni ukweli usiofichika kuwa kuna mkakati wa ndani ya Bunge na baadhi ya Mawaziri wakiongozwa na PM mwenyewe kum pre empty Rais Mama Samia ili ajikute anafanya kazi bila kwenda kinyume na mtangulizi wake JPM..
Akili yako umeoacha wapi na kiviacha vidole vijiandikie vyenyewe upupu huu! Kuna shida gani kuyaendeleza mazuri ya JPM! Yaani unataka mama atelekeze miradi yote ilioanzishwa na JPM?

Yaani unataka mama awaachie wala rushwa na mafisadi watamalaki😡! Yaani unataka mama uikane ilani ya uchaguzi aliyoinadi! Hivi watu wengine mkoje, mbona mnamchukia hivyo mama yetu huyu! Maana ni wazi, asipofanya hivyo ni sawa na kujitundika mwenyewe! Ova!
 
Ni ukweli usiofichika kuwa kuna mkakati wa ndani ya Bunge na baadhi ya Mawaziri wakiongozwa na PM mwenyewe kum pre empty Rais Mama Samia ili ajikute anafanya kazi bila kwenda kinyume na mtangulizi wake JPM...
Akili yako umeoacha wapi na kiviacha vidole vijiandikie vyenyewe upupu huu! Kuna shida gani kuyaendeleza mazuri ya JPM! Yaani unataka mama atelekeze miradi yote ilioanzishwa na JPM?

Yaani unataka mama awaachie wala rushwa na mafisadi watamalaki😡! Yaani unataka mama uikane ilani ya uchaguzi aliyoinadi! Hivi watu wengine mkoje, mbona mnamchukia hivyo mama yetu huyu! Maana ni wazi, asipofanya hivyo ni sawa na kujitundika mwenyewe! Ova!
 
Rais SSH amesema tusahau kidogo
Samia akitaka tumchague kiulainiiiii aseme katiba mpya mchakato utaendelea kama tutamrudisha 2025.....mchakato utaanza 2026....na kukiwa na Tume huru ya uchaguzi CCM byebye....then 2030 utakuwa uchaguzi bora kuliko zote na yeye atakuwa amemaliza nngwe yake
 
Tatizo hata uganda alitaka kusema honorable president maaaa akajishitukia fuatilia hotuba yake nyuma means hajiamini kama yy ni kweli raisi
 
Ngoja mfungo uishe.
Atawatimua woote wajuaji
Kwani mfungo unamzuwia kufanyakazi?
Alitakiwa avunje Baraza la mawaziri mpema nakupanga safu mpya.
AKICHEZA NA NYANI ATAVUNA MABUA.

Pale kuna watu hakutakiwa wawepo.
1. Pm
2. Kabudi
3. Mwigulu
4. Jaffo
5. Alikosea kumteua mpango kuwa VP nk.
Kundi hili lingevunjwa hata wabunge wapumbavu Kama kina
Msukuma
Lusinde
Jerry slaa
Ndugai
Wangeogopa.
 
Samia alikosea sana kumuacha PM Majaliwa kwenye nafasi yake, pia wale ministers kama akina Biteko na Kalemani angewafutilia mabali kwasababu wale ni elements za magu na watamsumbua sana uko mbele, kwanza hawamuheshimu lakini pia hawamkubali
Yeye Samia ni element ya nani?

Ujinga ni kufikiri kwamba Samia ataenda kinyume na Magufuli
 
Kama ningekuwa mimi Samia nafukuza wote hao vidudu mtu wa Magu kwenye system, yeye ndio ana power sasa hivi hakuna sababu yeyote ya kukaa pamoja na watu wanaotaka aeneleze mabaya ya mtangulizi wake, Samia fukuzia mbali hao wakora watakuharibia kazi, miaka minne ya urais inatosha sana wasikubabaishe na 2025 yao
Na wewe siyo Samia sasa,

Yule ni ccm hawezi kugeuka kuwa bavicha na aendeshe nchi kwa mtazamo wako wa kibavicha
 
Kwa nn aende kinyume? Unataka airudishe nchi msoga..kwenye shamba la bibi au? Unataka aache kukamilisha mirad mikubwa ya kimkakati alioiacha jpm? Unataka wezi waanze kuiuza nchi yetu?
Kaa kimyaa tuache tuiendeleze nchi yetu.
Aliyoyafanya sio mambo ya kufikiria kwani ni mazao ya shetani baba wa uharibifu, na hii nchi sio yenu nyie ccm
 
Back
Top Bottom