IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Kumbe ni ya bavicha?Aliyoyafanya sio mambo ya kufikiria kwani ni mazao ya shetani baba wa uharibifu, na hii nchi sio yenu nyie ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni ya bavicha?Aliyoyafanya sio mambo ya kufikiria kwani ni mazao ya shetani baba wa uharibifu, na hii nchi sio yenu nyie ccm
Ubaya upo Tena mkubwa Sana.Kuna ubaya gani kumfuata mtangulizi wake?
Kwa maoni yangu ni kuwa Mama samia Amerithi serikali ambayo yeye alikuwa sehemu yake na ilikuwa na malengo kulingana na ilani ya uchaguzi iliyowaweka madarakani pale, kwa hiyo swala ni ukamilishaji wa ilani ile. Ni maoni yangu tu, siyo kuwa kwa vile karithi serikali na yeye ndiyo bosi basi ilani yao haina maana tena ila yeye ataleta ya kwa kwake tofauti; sidhani kama kweli mambo yanatakiwa yawe hivyo. Wenzetu husema elections have consequences, ambazo yeye atatakiwa azisimamie siyo kuwa azifute.
Ni kweli, mawazo binafsi ya Magufuri hayawezi kurithiwa, ila sera zote zilizo kwenye ilani ya CCM aliyeokuwa akitekeleza zitarithiwa.Huwezi kurithi mambo ya hovyo tena mengine mlikuwa mnapangiwa na mwendazake tu hayo katika ilani. Hata yaliyokuwapo utekelezaji wake ulikuwa wa hovyo.
Ikibidi hivyo na yeye ajipangue!Ndio maana tulishauri apangue "MASALIA YOTE YA MEKO" kama anataka kwenda mbele ,aiendelea kuwakumbatia lazima watamuingiza CHAKA maana hawawezi kwenda tofauti na MEKO maana watanekana MANDUMILAKUWILI.
Aende kinyume, kwani yeye ni mpinzani? Au kaja na ilani tofauti ya uchaguzi?Ni ukweli usiofichika kuwa kuna mkakati wa ndani ya Bunge na baadhi ya Mawaziri wakiongozwa na PM mwenyewe kum pre empty Rais Mama Samia ili ajikute anafanya kazi bila kwenda kinyume na mtangulizi wake JPM....
Yeye mwenyewe mama ni masalia ya Meko na ndio maana hadi sasa bado havai hata barakoa kumuenzi Meko.Ndio maana tulishauri apangue "MASALIA YOTE YA MEKO" kama anataka kwenda mbele ,aiendelea kuwakumbatia lazima watamuingiza CHAKA maana hawawezi kwenda tofauti na MEKO maana watanekana MANDUMILAKUWILI.
Haijalishi kufanya nao kazi, je alikuwa anaridhika na utendaji ndani ya system?Meko ni nani?
Masalia ni kina nani?
Rais SSH amekua akifanya kazi na nani kabla ya kuwa rais?
1. MFUMO uliomweka JPM madarakani ndio uliomweka SSH madarakani. Hawezi kuubadili yeye binafsi.Ni ukweli usiofichika kuwa kuna mkakati wa ndani ya Bunge na baadhi ya Mawaziri wakiongozwa na PM mwenyewe kum pre empty Rais Mama Samia ili ajikute anafanya kazi bila kwenda kinyume na mtangulizi wake JPM....
Ilani ya Sisiem ilikuwa inaeleza wazi kuwa wanafunzi watakaobeba mimba wangali shuleni watarejeshwa shuleni mara baada ya kujifungua.Kwa maoni yangu ni kuwa Mama samia Amerithi serikali ambayo yeye alikuwa sehemu yake na ilikuwa na malengo kulingana na ilani ya uchaguzi iliyowaweka madarakani pale, kwa hiyo swala ni ukamilishaji wa ilani ile. Ni maoni yangu tu, siyo kuwa kwa vile karithi serikali na yeye ndiyo bosi basi ilani yao haina maana tena ila yeye ataleta ya kwa kwake tofauti; sidhani kama kweli mambo yanatakiwa yawe hivyo. Wenzetu husema elections have consequences, ambazo yeye atatakiwa azisimamie siyo kuwa azifute.
Hiyo ya watoto wazazi kurudi shule siwezi kuijibu kwa vile sina data nayo, lakini hili kuhamia Dodoma ilikuwa ni unfinished business ya Ilani ya CCM ya miaka mingi iliyopita, na yeye alitaka kumalizia. Siyo kuwa kila ahadi iliyomo kwenya ilani hupata nafasi ya kukamilishwa ila siyo vizuri kukana ahadi iliomo kwenye ilani hiyo.Ilani ya Sisiem ilikuwa inaeleza wazi kuwa wanafunzi watakaobeba mimba wangali shuleni watarejeshwa shuleni mara baada ya kujifungua.
Pamoja na ukweli kuwa ilani hiyo ndiyo iliyomnaji JPM 2015 lkn baada ya kuingia madarakani aliapa kutomrejesha shuleni mwanafunzi yeyote atakayepata ujauzito. Yapo mengi sana aliyafanya ambayo hayapo kwenye ilani, kama kuhamia dodoma nk
Hivyo ilani ni tiketi tuu ya kukuingiza madarakani, ukishaingia unaamua uonavyo
kumuacha Kasimu lilikuwa kosa kubwa sana , sasa wameanza kupanga kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye , atavuna alichopandaAs long as amewaacha mamuluki akia Kasim, basi ameliwa . she has to take note of that!
Nyie uchaguzi si huwa mnaiba? Mnahofu ya nn?Kwa maoni yangu ni kuwa Mama samia Amerithi serikali ambayo yeye alikuwa sehemu yake na ilikuwa na malengo kulingana na ilani ya uchaguzi iliyowaweka madarakani pale, kwa hiyo swala ni ukamilishaji wa ilani ile. Ni maoni yangu tu, siyo kuwa kwa vile karithi serikali na yeye ndiyo bosi basi ilani yao haina maana tena ila yeye ataleta ya kwa kwake tofauti; sidhani kama kweli mambo yanatakiwa yawe hivyo. Wenzetu husema elections have consequences, ambazo yeye atatakiwa azisimamie siyo kuwa azifute.
😇😇😇 watu aise ...Ubaya upo Tena mkubwa Sana.
Yule alitutesa sana, tulimwona anagawa pesa mitaani kama zake, kutufunga korokoroni kwa uonevu, kuamua Mambo ya kitaifa yeye na ndugai
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]"Kodi ya dhuluma, hapana"! Hii ni moja kati ya departure nzuri sana. Naamini na ule uozo na unyang'anyi wa DPP kwenye kesi za kubumba za uhujumu uchumi na money laundering hawezi kuendelea nao...
Pumba tupu; Samia yuko pale kutoka na uchaguzi huo huo, kwa hiyo povu la niniNyie uchaguzi si huwa mnaiba? Mnahofu ya nn?
Pm anahangaika na Mambo ya jiwe hajui kuwa Kuna utawala mpya, ningekuwa Mimi nawatoa na weka watu wangu watakaolewa maono yangu na sio ya mwendazake
mboa hatari sana. Lakini nina imani CDF atamlinda na majambazi hayakumuacha Kasimu lilikuwa kosa kubwa sana , sasa wameanza kupanga kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye , atavuna alichopanda