Kwanini wanataka kuzuia Rais Samia Suluhu asiende kinyume na Hayati Magufuli?

Kwanini wanataka kuzuia Rais Samia Suluhu asiende kinyume na Hayati Magufuli?

Kwa maoni yangu ni kuwa Mama samia Amerithi serikali ambayo yeye alikuwa sehemu yake na ilikuwa na malengo kulingana na ilani ya uchaguzi iliyowaweka madarakani pale, kwa hiyo swala ni ukamilishaji wa ilani ile. Ni maoni yangu tu, siyo kuwa kwa vile karithi serikali na yeye ndiyo bosi basi ilani yao haina maana tena ila yeye ataleta ya kwa kwake tofauti; sidhani kama kweli mambo yanatakiwa yawe hivyo. Wenzetu husema elections have consequences, ambazo yeye atatakiwa azisimamie siyo kuwa azifute.
Mkuu lakini awamu ya tano mambo mengi yalikwenda nje ya ilani ya chama na maamuzi mengi yalikuwa one man show.
Shida ni kuwa viongozi wengi pengine kuliko wakati mwingine wowote waligeuka kuwa waoga hata kushauri tuu.
 
"Kodi ya dhuluma, hapana"! Hii ni moja kati ya departure nzuri sana. Naamini na ule uozo na unyang'anyi wa DPP kwenye kesi za kubumba za uhujumu uchumi na money laundering hawezi kuendelea nao.

Ilani ya uchaguzi ya ccm haina shida. Shida ilikuwa ni namna inavyotekelezwa.

Unaweza kupambana na ufisadi bila kuonea watu. Unaweza kukusanya kodi bila kuonea watu. Kuwapa watu uhuru wa maoni, habari na kufanya siasa ni haki za kikatiba.....kunyima haki Hizi haikuwahi kuwa ilani ya ccm.

Sasa mama aki depart kwenye hayo mambo ya hovyo hovyo ya JPM kuna shida gani?

JPM alikuwa ana abuse sana madaraka yake makubwa kama Rais, hakuwa na staha pia unazotegemea Rais wa nchi awe nazo (e.g. Rais anawezaje kumwambia mwananchi wake kuwa " abaki na mavi yake nyumbani" ....tena hadharani! Alikuwa anatia aibu tu)
 
Hoja yako itakuwa vilid ikiwa tu JPM angelikuwa akitekeleza miradi ambayo ilikuwa kwenye ilani iliyokuwa imemuweka madarakani.
Ilani ya CCM tangu 2015 ilisema wataendeleza mchakato wa katiba mpya
Nanaamini kila mmoja anahitaji kufanya kitakachomjenga kiutendaji na kihistoria.
Kwa uelewa au matendo asilazimishwe mtu kuyaridhi kwani sio kila cha kuridhi ni hekima kama sio hivyo hakuna haja ya kuufuata mfumo wa mwenye mamuzi yak
MUSIGAJI Magufuli hakurithi serikali bali alishinda uchaguzi kulingana na ilani aliyotumia na hivyo akaunda serikali ya kutekeleza ilani ile
Yoda kutokumalizika kwa ahadi za ilani siyo tatizo, ila kusitisha ahadi za ilani ni tatizo. Utasikiwa wanasema tumetekeleza ahadi zetu kwa asilimia kadhaa ikiwa na maana ya kuwa kuna ambazo hawakuweza kuzianza. Lakini kusema baadaye kuwa kuna ahadi hazikutekelezwa kwa sababu eti kiongozi amebadilia siyo sahihi kabisa.
maruudaniel Urais siyo personalirties bali ni institution ambayo ipo kikatiba. Katiba yetu inasema mtu kugombea urais lazima ateuliwe na chama chake, hairuhudu kila mtu kugombea urais ili kujijingea kihistoria. Ukiwa rais kupitia CCM ni lazima ufanye kulingana na sera za CCM
 
Mama anatekeleza ilani, na kazi lazima iendelee.
Acheni kiishi kwa njozi! Ilani ilikuwa kukumbiza wawekezaji? Kuua uhuru wa habari? Kubana maslahi ya watumishi au kuua sekta ya kilimo?
Mama kayakataa yote hayo, jee anapingana na ilani ya uchaguzi wenu?
 
Ni ukweli usiofichika kuwa kuna mkakati wa ndani ya Bunge na baadhi ya Mawaziri wakiongozwa na PM mwenyewe kum pre empty Rais Mama Samia ili ajikute anafanya kazi bila kwenda kinyume na mtangulizi wake JPM.
Mkakati huo unaoendeshwa kimahesabu sina hakika kama Rais ameshaushtukia au kwa vile timu ya wasaidizi wake ni ileile anaweza kuwa anafunikwa na blanketi na halioni hilo?
Jee ni kwa nini mbinu hizo chafu zinafanywa? Jee mama haoni kuwa kuendelea na wasaidizi wasio kubaliana kifikra kuwa yeye ni Rais kwa sasa itakwamisha mipango yake?
Kivipi? Hebu toa ufafanuzi huo mkakati upoje? Ulichokiandika ni lawama tu pasipo kudadafua,we ni msomi hebu jaribu kutueleza huo mkakati upoje?
 
Ni ukweli usiofichika kuwa kuna mkakati wa ndani ya Bunge na baadhi ya Mawaziri wakiongozwa na PM mwenyewe kum pre empty Rais Mama Samia ili ajikute anafanya kazi bila kwenda kinyume na mtangulizi wake JPM.
Mkakati huo unaoendeshwa kimahesabu sina hakika kama Rais ameshaushtukia au kwa vile timu ya wasaidizi wake ni ileile anaweza kuwa anafunikwa na blanketi na halioni hilo?
Jee ni kwa nini mbinu hizo chafu zinafanywa? Jee mama haoni kuwa kuendelea na wasaidizi wasio kubaliana kifikra kuwa yeye ni Rais kwa sasa itakwamisha mipango yake?
Wakati Magufuli akiwa Rais, SSH si alikuwa Makamu wake? Sasa Je, kwani SSH hakuwa sehemu ya uongozi na mipango na sera za Serikali ya JPM?

Nina imani majibu unayo, na kama jibu lako ni ndiyo sasa kuna ubaya gani kwa SSH kutekeleza yale yaliyoachwa na aliyekuwa Bossi wake??
 
Ndio maana tulishauri apangue "MASALIA YOTE YA MEKO" kama anataka kwenda mbele ,aiendelea kuwakumbatia lazima watamuingiza CHAKA maana hawawezi kwenda tofauti na MEKO maana watanekana MANDUMILAKUWILI.
Aisee tulieni kidogo, mama anailani mkononi ambayo anatakiwa kuitekeleza kama walivyo ahidi yeye na Magu kwenye uchaguzi ulioisha. Asipo tekeleza walicho ahidi atakuwa ma maswali ya kujibu 2025.

Kwasasa sio rahisi kwenda kinyume na mipango ya jpm ambayo waliahidi pamoja kwenye kampeni.
 
Ndio maana tulishauri apangue "MASALIA YOTE YA MEKO" kama anataka kwenda mbele ,aiendelea kuwakumbatia lazima watamuingiza CHAKA maana hawawezi kwenda tofauti na MEKO maana watanekana MANDUMILAKUWILI.
Kwanini usiseme hata yeye mwenyewe ajitoe kwenye selikali kabisa.?

Hivi masalia ya meko ni yapi.? Au mnafikiri Samia anaongoza kwa tiketi ya bavicha?
 
Ni ukweli usiofichika kuwa kuna mkakati wa ndani ya Bunge na baadhi ya Mawaziri wakiongozwa na PM mwenyewe kum pre empty Rais Mama Samia ili ajikute anafanya kazi bila kwenda kinyume na mtangulizi wake JPM.
Mkakati huo unaoendeshwa kimahesabu sina hakika kama Rais ameshaushtukia au kwa vile timu ya wasaidizi wake ni ileile anaweza kuwa anafunikwa na blanketi na halioni hilo?
Jee ni kwa nini mbinu hizo chafu zinafanywa? Jee mama haoni kuwa kuendelea na wasaidizi wasio kubaliana kifikra kuwa yeye ni Rais kwa sasa itakwamisha mipango yake?
Yale majizi yakiongozwa na yule mpaka yomboo kichwani yalizoea kula bila kunama huku yakimpamba marehemu, sasa kibao kimegeuka. Kati ya watu wezi huyu paka piko ni mmojawapo na ni mweupe sana kichwani.
 
Yale majizi yakiongozwa na yule mpaka yomboo kichwani yalizoea kula bila kunama huku yakimpamba marehemu, sasa kibao kimegeuka. Kati ya watu wezi huyu paka piko ni mmojawapo na ni mweupe sana kichwani.
Una hasira sana na wenye nazo huo umasikini hautaisha kwa kuwaonea wivu wenye nazo.
 
Sidhani kama ilani imesema kila kitu maana kusema ilani tu basi hata Ndungai au Polepole anaweza kuwa Rais maana siatatekeleza ilani tu, hapana Kiongozi lazima awe na uwezo wa ushawishi na kuweka sera na mazingira rafiki ya kibiashara na uchumi ili nchi iende mbele hakuna ilani inasema sote tuishi kama mashetani hayo yalikuwa maono yake Mama kaja sote tuishi kama malaika.
 
Acheni uchonganishi Nyie mburura Nyumbu mlioachwa hewani mpige warawara,
Mnaweza Nyie kumpangia rais cha kufanya?
si mumpangie mwenyekiti wenu wa Saccos.
 
VP je Yuko kwenye mpango huo??
Samia alikosea sana kumuacha PM Majaliwa kwenye nafasi yake, pia wale ministers kama akina Biteko na Kalemani angewafutilia mabali kwasababu wale ni elements za magu na watamsumbua sana uko mbele, kwanza hawamuheshimu lakini pia hawamkubali
 
Samia alikosea sana kumuacha PM Majaliwa kwenye nafasi yake, pia wale ministers kama akina Biteko na Kalemani angewafutilia mabali kwasababu wale ni elements za magu na watamsumbua sana uko mbele, kwanza hawamuheshimu lakini pia hawamkubali

Naamini uko sawa kabisa
 
Back
Top Bottom