Kwanini wanataka kuzuia Rais Samia Suluhu asiende kinyume na Hayati Magufuli?

Kwanini wanataka kuzuia Rais Samia Suluhu asiende kinyume na Hayati Magufuli?

Unawafananisha wachaga wasomi na waelewa na nyie SUKUMA GANG msiokua na SHULE kichwani, hata siku hamjui ina masaa mangapi. .. kweli?!?!
Mtawachukia wachaga mpaka mwisho wa dunia, hamuwapati kwa lolote.. Ng'o.
Hahahaaaaaa . . . ngoja nipite tu kwanza. Nitarudi kwa kishindo one day
 
MUSIGAJI Magufuli hakurithi serikali bali alishinda uchaguzi kulingana na ilani aliyotumia na hivyo akaunda serikali ya kutekeleza ilani ile
Yoda kutokumalizika kwa ahadi za ilani siyo tatizo, ila kusitisha ahadi za ilani ni tatizo. Utasikiwa wanasema tumetekeleza ahadi zetu kwa asilimia kadhaa ikiwa na maana ya kuwa kuna ambazo hawakuweza kuzianza. Lakini kusema baadaye kuwa kuna ahadi hazikutekelezwa kwa sababu eti kiongozi amebadilia siyo sahihi kabisa.
maruudaniel Urais siyo personalirties bali ni institution ambayo ipo kikatiba. Katiba yetu inasema mtu kugombea urais lazima ateuliwe na chama chake, hairuhudu kila mtu kugombea urais ili kujijingea kihistoria. Ukiwa rais kupitia CCM ni lazima ufanye kulingana na sera za CCM
Magufuli alikana ishu ya katiba mpya, akasema hakuinadi wakati ipo ndani ya ilani aliyokabidhiwa (ya mwaka 2015)
 
Unawafananisha wachaga wasomi na waelewa na nyie SUKUMA GANG msiokua na SHULE kichwani, hata siku hamjui ina masaa mangapi. .. kweli?!?!
Mtawachukia wachaga mpaka mwisho wa dunia, hamuwapati kwa lolote.. Ng'o.
Hahahaa nimefurahi, dunia ya leo sio shule uliyonayo kichwani ni vile unaweza kutumia rasilimali chache zilizopo kukunufaisha. Wachaga wasomi wapo, wachaga mbumbumbu na walevi kama 'mwenyekiti' pia wapo
 
Kwa hiyo aliyokuwa anatekeleza mtangulizi wake yalikuwa ni Ilani ?, mboa alikuwa anajiendea tu ??, na ndio maana alikuwa akisema serikali yake, nyie hamna ilani kila mtu na lwake, yule alikuwa anafanya ilani ya chato, ndio maan leo wanaopinga aliyokuwa akiyafanya si ccm haohao, ?wewe na ndugai nani ccm zaidi ??
Haya Da Maria Sarungi
 
Ni ukweli usiofichika kuwa kuna mkakati wa ndani ya Bunge na baadhi ya Mawaziri wakiongozwa na PM mwenyewe kum pre empty Rais Mama Samia ili ajikute anafanya kazi bila kwenda kinyume na mtangulizi wake JPM.

Mkakati huo unaoendeshwa kimahesabu sina hakika kama Rais ameshaushtukia au kwa vile timu ya wasaidizi wake ni ileile anaweza kuwa anafunikwa na blanketi na halioni hilo?

Je, ni kwa nini mbinu hizo chafu zinafanywa? Je, mama haoni kuwa kuendelea na wasaidizi wasio kubaliana kifikra kuwa yeye ni Rais kwa sasa itakwamisha mipango yake?
Ukipata bahati ya kufahamu nia ya ndani ya mtoto wa Joseph ndio utawaelewa, kwa nini wako hivyo.
 
Mamluki wa jiwe watampa tabu sana akichelewa kufanya kweli dhidi ya mamluki basi itakula kwa Mama.
As long as amewaacha mamuluki akia Kasim, basi ameliwa . she has to take note of that!
 
Aliyoyafanya sio mambo ya kufikiria kwani ni mazao ya shetani baba wa uharibifu, na hii nchi sio yenu nyie ccm
Nchi ni yetu bwashe. Asikudanganye mtu huo ndo ukwel. Yaan mtahangaika hukoo mwisho wa siku ikulu inajulikana nani anaenda
 
Wewe Paskali zoba kweli, siamini jinsi ulivyokuwa unamsujudu JPM nilidhani alipokufa basi ungekaa kimya, nimeshangaa juzi kuona clip moja inakuonesha unasema kwamba Samia ni rais bora na anakwenda kufanya mambo makubwa zaidi ya JPM.

Hivi sio wewe uliyesema kwamba JPM ndio mwanzo na mwisho? kweli nimeamini unaendeshwa na njaa na kuusaka uteuzi, wewe si ulisema JPM ameletwa na Mungu tusimpuuze? sasa yu wapi?
  1. JPM alikuwa ni tinga tinga, amechonga barabara, na kupanda milima hadi juu ya mlima, sasa Samia ndio ampokea pale Mlimani yeye ata serereka tuu kwenye mteremko hivyo anakuja kuimalizia kazi ya JPM na atajenga Tanzania nzuri kuliko ile ya JPM.
  2. Ni kweli JPM ni nabii iliyeletwa na Mungu kuinyoosha Tanzania, na ni kweli ameinyoosha. Sasa Samia anaichukua nchi iliyo nyooka.
  3. Yes JPM alikuwa ndio mwanzo na mwisho. Mwanzo ni Mungu amemleta Tanzania na mwisho ni Mungu amemchukua. Hivyo JPM ni mwanzo wa JPM na akafikia mwisho wa JPM.
  4. Ni kwenye aliletwa na Mungu na tusimpuuze, sasa ni Mungu mwenyewe amemchukua na yuko kwa Mungu Baba wa mbinguni.
  5. Mungu aliyemleta JPM ndie aliyemleta Samia, hivyo sasa Samia ndio kila kitu!.
P
 
"Kodi ya dhuluma, hapana"! Hii ni moja kati ya departure nzuri sana. Naamini na ule uozo na unyang'anyi wa DPP kwenye kesi za kubumba za uhujumu uchumi na money laundering hawezi kuendelea nao.

Ilani ya uchaguzi ya ccm haina shida. Shida ilikuwa ni namna inavyotekelezwa.

Unaweza kupambana na ufisadi bila kuonea watu. Unaweza kukusanya kodi bila kuonea watu. Kuwapa watu uhuru wa maoni, habari na kufanya siasa ni haki za kikatiba.....kunyima haki Hizi haikuwahi kuwa ilani ya ccm.

Sasa mama aki depart kwenye hayo mambo ya hovyo hovyo ya JPM kuna shida gani?

JPM alikuwa ana abuse sana madaraka yake makubwa kama Rais, hakuwa na staha pia unazotegemea Rais wa nchi awe nazo (e.g. Rais anawezaje kumwambia mwananchi wake kuwa " abaki na mavi yake nyumbani" ....tena hadharani! Alikuwa anatia aibu tu)
Mwendazake alikuwa anatukosea sana kwa tabia zake, kuna vitu mtu akifanya unaona kabisa ubongo hauko sawasawa. Mungu amurehemu
 
  • Thanks
Reactions: SMU
  1. JPM alikuwa ni tinga tinga, amechonga barabara, na kupanda milima hadi juu ya mlima, sasa Samia ndio ampokea pale Mlimani yeye ata serereka tuu kwenye mteremko hivyo anakuja kuimalizia kazi ya JPM na atajenga Tanzania nzuri kuliko ile ya JPM.
  2. Ni kweli JPM ni nabii iliyeletwa na Mungu kuinyoosha Tanzania, na ni kweli ameinyoosha. Sasa Samia anaichukua nchi iliyo nyooka.
  3. Yes JPM alikuwa ndio mwanzo na mwisho. Mwanzo ni Mungu amemleta Tanzania na mwisho ni Mungu amemchukua. Hivyo JPM ni mwanzo wa JPM na akafikia mwisho wa JPM.
  4. Ni kwenye aliletwa na Mungu na tusimpuuze, sasa ni Mungu mwenyewe amemchukua na yuko kwa Mungu Baba wa mbinguni.
  5. Mungu aliyemleta JPM ndie aliyemleta Samia, hivyo sasa Samia ndio kila kitu!.
P
Paschal mayalla si mtu mwa kumwamini kama wengine, ni mtu wa fursa msaka tonge.
 
I
Ni ukweli usiofichika kuwa kuna mkakati wa ndani ya Bunge na baadhi ya Mawaziri wakiongozwa na PM mwenyewe kum pre empty Rais Mama Samia ili ajikute anafanya kazi bila kwenda kinyume na mtangulizi wake JPM.

Mkakati huo unaoendeshwa kimahesabu sina hakika kama Rais ameshaushtukia au kwa vile timu ya wasaidizi wake ni ileile anaweza kuwa anafunikwa na blanketi na halioni hilo?

Je, ni kwa nini mbinu hizo chafu zinafanywa? Je, mama haoni kuwa kuendelea na wasaidizi wasio kubaliana kifikra kuwa yeye ni Rais kwa sasa itakwamisha mipango yake?
Inabidi kuondoa wasukuma waliovamia serikalini la sivyo mambo hayatakuwa vyema.
 
Shoga kwani nilikuibia bwana!?
Maana una hasiraaaaa...... kunywa maji ulale
Kwani tatizo nini? Mbona mnaonekana hamjaridhika samia kushika nchi? Mlitakaje labda ? Aapishwe majaliwa?
 
Kwa maoni yangu ni kuwa Mama samia Amerithi serikali ambayo yeye alikuwa sehemu yake na ilikuwa na malengo kulingana na ilani ya uchaguzi iliyowaweka madarakani pale, kwa hiyo swala ni ukamilishaji wa ilani ile.

Ni maoni yangu tu, siyo kuwa kwa vile karithi serikali na yeye ndiyo bosi basi ilani yao haina maana tena ila yeye ataleta ya kwa kwake tofauti; sidhani kama kweli mambo yanatakiwa yawe hivyo. Wenzetu husema elections have consequences, ambazo yeye atatakiwa azisimamie siyo kuwa azifute.
sio kwamba ni mawazo yako Bali uko sahihi asilimia zote,Suala ataiachaje ilani aloinadi mwenyewe?.hii misukule ya mbowe acha iendelee kusubiri mkono ondoke kama afanyavyo fisi.
 
mlijaribu kutaka kuifuta legacy ya Magufuli mkavamiwa na dondola
 
Back
Top Bottom